Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Ili afanikiwe na chama chake kisirudi ktk zama za kutumia pesa kushinda uchaguzi inabidi apate mtu asie wa makundi.

Mtu anaweka maslahi ya nchi mbele kuliko maslahi yake binafsi au ya kundi lake.

JPM hakuingia na kundi so hakuwa na muda wa kurudisha fadhila kwa mtu yoyote.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Subiri Mabeyo aongee na Samia kwanza.
 
Ondoa SHAKA juu ya hilo Mkuu..
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
 
Elias John Kuandikwa for VP ndiyo dokezo Hilo ...!
Baada ya kuapisha VP, Rais atavunja baraza la mawaziri asubuhi na mida ya mchana atapeleka jina la PM (Majaliwa) bungeni na kesho yake bunge litamthibitisha.

Hapa Rais atakuwa ameondoa minong'ono ya kwamba amevunja katiba ya kuendelea na baraza lile lile la Magufuli

Mawaziri wa sasa walio wengi watarudi na baadhi yao watabadilishwa wizara.

Mwana mpotevu a.k.a mtabiri atapelekwa ofisi ya VP kama kifuta machozi akashughulike na mazingira ambako sauti yake itakuwa ikisikika kwa nadra!
 
Rais akiondolewa na Bunge, na VP naye anaondoka kwa sababu unaitishwa uchaguzi mpya
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Mmh
 
Ndiyo hivyo ni issue ya "timing" tu.

I think not everything is about timing!

Atakapolivunja bunge na “ngoma ikaanza upya” , nani anakua ni Rais kwa muda huo wakati ‘ngoma’ ikiandaliwa ianze upya?

VP anayekuwepo Ana mamlaka gani juu ya Rais katika kipindi cha kuandaa “ngoma” kwa mujibu wa katiba ya JMT?

Jeshi la Ulinzi na Usalama lina nafasi gani katika hii equation?

CDF, miguu yake itakuaje? Mmoja ndani mwingine nje? Yote miwili ndani? Yote miwili nje?

Hotuba yake ya Leo ya CDF, wewe mtoa mada umepata ‘ujumbe’ gani?
 
Mungu atuepushie. Hatutaziweza hizo gharama za misiba ikiwemo kuzungusha maiti mikoa kadhaa, siku mbili za mapumziko, maombolezo siku 21, magwaride ya kurudiarudia, vyombo vyote vya habari kutumia airtime yote kwenye msiba (sijui wanafidiaje lost revenue), vifo vya waombolezaji wanaokanyagana wakigombea fursa ya kuona maiti nk. Hapana, Mungu awajaalie waishi tu.

Katikati ya mistari yako kuna ujumbe.

Kazi nzuri Chief!
 
Ndipo umuhimu wa katiba mpya unaolipa bunge meno ya kutosha unapoonekana
Kile kiti cha amiri jeshi ni dhaifu tu endapo jeshi halikutii. Kinyume na hapo hakuna mbunge wala waziri anayeweza kumtoa raisi madarakani kwa mtindo wowote ule ukiondoa kifo au umaututi. Labda raia tena kwa maandamano makubwa sana yanayoambatana na vifo ndo wenye uwezo huo.
 
Back
Top Bottom