Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Wapinzani katika ubora wenu mmeanza tena kutuletea ramli zenu chonganishi!!!

FYI utabiri wako will never come to pass - Serikali ya CHAMA tawala na Wabunge wake hawawezi kuruhusu mpasuko wowote ndani ya Serikali na kwenye CHAMA,wana inbuilt mechanisms za kuhakikisha hilo halitokei hasilani - kama ulisikiliza vizuri rai ya CDF jana kuna kitu alipaswa kujifunza i.e ungefikiri mara mbili kabla hujatuletea bandiko lako hapa. Good day.
Ulivyoandika kama msomi mbombezi kumbe mpiga umbeya tu.
 
Unapangua Kwa hekima, sio unafika unafukuza katibu, Kesho Waziri mkuu, Kesho hivi keshokutwa vile duh
Apangue kwa hekima yake yeye mpanguaji au kwa hekima za wanaopanguliwa?
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Mchezo mchezoni.
Nae rais anaweza kuvunja bunge
 
Ile siku wanakaa kikao, wanapelekewa wajeda ili kulinda usalama wao.

Na wengine wanawekwa ndani kwa tuhuma za uhujumu uchumi

Usicheze na mtu aitwaye Amiri jeshi mkuu
Hujajua wangapi wako upande huu na wangapi upande ule, na hapo bado hujahesabu wale ndumilakuwili na "bendera-fuata-upepo"
 
Wewe ndio unadhani urais ni mtu mmoja maana unataka kutuonyesha kwamba hayo yote yakifanyika Rais kalala tu he knows nothing kinachoendelea kule bungeni.
Katika hao wa kumwambia kinachoendelea, masnitch wamo miongoni mwao. Ni mwendo wa kupotezeana ramani tu. Kama ananisikia aanze na hao before it is too late.
 
Haya yote yanafanyika huku mabaka baka wakiwa wapo tu wanaangalia mnavyocheza na amiri jeshi wao. Labda kama na wao hawamtaki.
Kwahiyo wavunje katiba? Ni utawala wa kijeshi au?
 
Elias John Kuandikwa for VP ndiyo dokezo Hilo ...!
Yuko kambi gani huyu? Tunajua kuna kambi ya marehemu (nimesikia wakiitwa 'yatima') na kuna kambi ya mamvi (imeibuka kutoka mafichoni). Wote wamempania mama. Niliwaelewa wale waliomhakikishia mama ushirikiano kwenye salamu zao jana, wanajua hana kambi na anahitaji kuungwa mkono.
 
Kwahiyo wavunje katiba? Ni utawala wa kijeshi au?
Wala. Hata kuvunja bunge ipo ndani ya katiba. Mkikaa mnawaza kupiga kura usalama unampa taarifa raisi na yeye anavunja bunge na kuitisha upya uchaguzi huku jeshi likiwa nyuma yake.

Kwa katiba yetu kuna vitu vitatu tu vinaweza mtoa raisi:
Nguvu ya uma
Jeshi lililoasi(Usalama, mabakabaka, polisi)
Kifo au ugonjwa beyond repair.
 
Hatujafikia kiwango hicho Ila itafikiwa endapo Rais ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Wala msimtishe rais na atapangua safu na mambo yataenda kama kawaida kama alivyo fanya mtangulizi wake kwa safu aliyo ikuta maana kuiacha safu iliyopo kama ilivyo ni kukaribisha kuhujumiwa na kundi la mtangulizi wake ambalo sasa limeanza kuaminishwa kuwa mtangulizi kahujumiwa

Lakini pia kundi hilo linamikakati ya kuonesha umma kwamba hakuna rais atakaye mzidi huyo wa kwao kiutendaji na kwamba huyo alikuwa masihi na nabii mtukufu kweli kweli hawezi kutokea tena mwingine.

Ila pangua yake lazima iwe ya kimkakati kama alivyo fanya mtanguliz wake atatoka mmoja mmoja taratibu hadi wataisha wote na wqtakao baki ni wale tu ambao hawana upambe.
 
I think not everything is about timing!

Atakapolivunja bunge na “ngoma ikaanza upya” , nani anakua ni Rais kwa muda huo wakati ‘ngoma’ ikiandaliwa ianze upya?

VP anayekuwepo Ana mamlaka gani juu ya Rais katika kipindi cha kuandaa “ngoma” kwa mujibu wa katiba ya JMT?

Jeshi la Ulinzi na Usalama lina nafasi gani katika hii equation?

CDF, miguu yake itakuaje? Mmoja ndani mwingine nje? Yote miwili ndani? Yote miwili nje?

Hotuba yake ya Leo ya CDF, wewe mtoa mada umepata ‘ujumbe’ gani?
Rais akivunja bunge yeye anabaki kuwa rais.
 
Wala. Hata kuvunja bunge ipo ndani ya katiba. Mkikaa mnawaza kupiga kura usalama unampa taarifa raisi na yeye anavunja bunge na kuitisha upya uchaguzi huku jeshi likiwa nyuma yake.

Kwa katiba yetu kuna vitu vitatu tu vinaweza mtoa raisi:
Nguvu ya uma
Jeshi lililoasi(Usalama, mabakabaka, polisi)
Kifo au ugonjwa beyond repair.
Hapo kwenye kuitisha uchaguzi tena hapo wabunge hawatakubali kufika huko maana wanajua walivyo upata ubunge huo na wana hakika likitokea hilo hawata rudi tena hapo watatii tu mamlaka iliyopo.
 
Wala msimtishe rais na atapangua safu na mambo yataenda kama kawaida kama alivyo fanya mtangulizi wake kwa safu aliyo ikuta maana kuiacha safu iliyopo kama ilivyo ni kukaribisha kuhujumiwa na kundi la mtangulizi wake ambalo sasa limeanza kuaminishwa kuwa mtangulizi kahujumiwa

Lakini pia kundi hilo linamikakati ya kuonesha umma kwamba hakuna rais atakaye mzidi huyo wa kwao kiutendaji na kwamba huyo alikuwa masihi na nabii mtukufu kweli kweli hawezi kutokea tena mwingine.

Ila pangua yake lazima iwe ya kimkakati kama alivyo fanya mtanguliz wake atatoka mmoja mmoja taratibu hadi wataisha wote na wqtakao baki ni wale tu ambao hawana upambe.
Umeielewa lakni comment yangu au umekrupuka na hangover
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Hakuna kitu kama hicho kitatokea,jeshi liko nyuma ya Raisi Samia suluhu Hassan.Unafikiri rahisi kihivyoo eeeh.
Rejea hotuba ya General Mabeyo jana.
 
Hapo kwenye kuitisha uchaguzi hapo wabunge hawatakubali kufika huko maana wanajua walivyo upata ubunge huo watatii tu.
Watamuasi spika. Uitishe uchaguzi wa ubunge upya kisha uwaite wapinzani na kuahidi free and fair election mbunge gani atataka kuangalia hilo movie la kutisha usiku akiwa mwenyewe kwenye ukumbi wenye giza?
 
Back
Top Bottom