Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Wala. Hata kuvunja bunge ipo ndani ya katiba. Mkikaa mnawaza kupiga kura usalama unampa taarifa raisi na yeye anavunja bunge na kuitisha upya uchaguzi huku jeshi likiwa nyuma yake.

Kwa katiba yetu kuna vitu vitatu tu vinaweza mtoa raisi:
Nguvu ya uma
Jeshi lililoasi(Usalama, mabakabaka, polisi)
Kifo au ugonjwa beyond repair.
Soma ibara ya 46
 
Wabongo hakika muwatamu sana ,mim nyuma ya keyboard nacheka na comments zenu
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Wakati huo usalama/ TISS Wamelewa na kulala?
 
Saizi watu bado wanamkumbuka Jpm lakini ngoja mwezi uiishe wote wanapoteana, kila mtu anangalia ulaji wake kwa Mama..!
Mtu ukishazikwa unasahaulika..!
 
Huna mamlaka ya kuninyamazisha. Kama unafahamu ibara ya katiba inayosema tofauti na nilivyosema iweke hapa tuelimishane.
Reaction sahihi kwa mtu asiyejua jambo siyo kumnyamazisha, ni kumjuza asichokijua.
Vijana mlioachwa na Magu mwendazake mbona mnakuwa wakali hivyo? Hamtaniwi jameni? (in Uhuru's voice)
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
mambo yanaanzaga hv hv mdg mdg kiutani utani
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Wananchi tutamwambia Rais AVUNJE BUNGE
 
Hatujafikia kiwango hicho Ila itafikiwa endapo Rais ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Anaweza kuipangua Kiholela Bunge likichukia kabla ya kumpiga Kura Rais ya kutokuwa na Imani nae ANAVUNJA BUNGE
 
Wala msimtishe rais na atapangua safu na mambo yataenda kama kawaida kama alivyo fanya mtangulizi wake kwa safu aliyo ikuta maana kuiacha safu iliyopo kama ilivyo ni kukaribisha kuhujumiwa na kundi la mtangulizi wake ambalo sasa limeanza kuaminishwa kuwa mtangulizi kahujumiwa

Lakini pia kundi hilo linamikakati ya kuonesha umma kwamba hakuna rais atakaye mzidi huyo wa kwao kiutendaji na kwamba huyo alikuwa masihi na nabii mtukufu kweli kweli hawezi kutokea tena mwingine.

Ila pangua yake lazima iwe ya kimkakati kama alivyo fanya mtanguliz wake atatoka mmoja mmoja taratibu hadi wataisha wote na wqtakao baki ni wale tu ambao hawana upambe.
Kwanza avunje Baraza lote la mawaziri, aanze upya hata Kama baadhi yao watarudi
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Mambo hayaendi hivyo mkuu. Ile ni taasisi
 
Haya yote yanafanyika huku mabaka baka wakiwa wapo tu wanaangalia mnavyocheza na amiri jeshi wao. Labda kama na wao hawamtaki.
[emoji16][emoji16][emoji16]

Muulize anajua walichofanya hao mabaka baka mpaka mama akapewa nchi !? Au anadhani mambo yanakwenda bila plan

Majuzi alisikia speech ya Mabeyo alipokuw a anasema kwamba watafanya kazi na kumsupport raisi !? Anashindwa kutambua kuwa kauli hiyo ilikuwa ni mkwara kwa wanao taka kutibua Hali ya usalama wa nchi!!
 
Back
Top Bottom