Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Kwani nchi si iko mikononi mwao. Shida iko wapi?
 
Shikamoo mzee. Kwahiyo unamaanisha mhimili wa rais ni mtu mmoja tu mzee.
Wewe ndio unadhani urais ni mtu mmoja maana unataka kutuonyesha kwamba hayo yote yakifanyika Rais kalala tu he knows nothing kinachoendelea kule bungeni.
 
Watajuana acha wakatane mapanga sisi tutazika tu.
Mungu atuepushie. Hatutaziweza hizo gharama za misiba ikiwemo kuzungusha maiti mikoa kadhaa, siku mbili za mapumziko, maombolezo siku 21, magwaride ya kurudiarudia, vyombo vyote vya habari kutumia airtime yote kwenye msiba (sijui wanafidiaje lost revenue), vifo vya waombolezaji wanaokanyagana wakigombea fursa ya kuona maiti nk. Hapana, Mungu awajaalie waishi tu.
 
Ile siku wanakaa kikao, wanapelekewa wajeda ili kulinda usalama wao.
Na wengine wanawekwa ndani kwa tuhuma za uhujumu uchumi
Usicheze na mtu aitwaye Amiri jeshi mkuu
Kile kiti cha amiri jeshi ni dhaifu tu endapo jeshi halikutii. Kinyume na hapo hakuna mbunge wala waziri anayeweza kumtoa Rais madarakani kwa mtindo wowote ule ukiondoa kifo au umaututi. Labda raia tena kwa maandamano makubwa sana yanayoambatana na vifo ndio wenye uwezo huo.
 
Sawa tu. Sisi wanyonge hatupungukiwi wala kuongezewa kitu.
 
Marhaba. Isingekuwa hivyo, msingehangaishwa na itakuwaje baada ya Magufuli.
Lazima mahangaiko yawepo kwa sababu hao wengi wakishagongana kimaslahi ni tabu. Na masnitch yanakuwemo humohumo miongoni mwao.
 
Genge la ccm hulijui. Liko backed na wahuni wengine humohumo.kwenye vyombo vinavyoitwa vya dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…