Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
- Thread starter
-
- #121
Soma ibara ya 46Wala. Hata kuvunja bunge ipo ndani ya katiba. Mkikaa mnawaza kupiga kura usalama unampa taarifa raisi na yeye anavunja bunge na kuitisha upya uchaguzi huku jeshi likiwa nyuma yake.
Kwa katiba yetu kuna vitu vitatu tu vinaweza mtoa raisi:
Nguvu ya uma
Jeshi lililoasi(Usalama, mabakabaka, polisi)
Kifo au ugonjwa beyond repair.
SawaSoma ibara ya 46
KikweteKama ulimsikia kiongozi mmoja wakati anatoa salamu za kumuaga JPM akitamka mwaka 2022, ilihali akizungumzia tukio la mwaka 2020 hebu na anyooshe mkono.
Wabunge hawa hawawezi kupiga kura ya kutokuwa na imani na serikali/rais maana kufanya hivyo ni ili turudi kwenye uchaguzi!!!! . Wengi wanajua hawatarudi kuwa wabunge tena 🤣 🤣Umenena vema, "aliyeondoka", siyo "aliyepo"
Wakati huo usalama/ TISS Wamelewa na kulala?Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Vijana mlioachwa na Magu mwendazake mbona mnakuwa wakali hivyo? Hamtaniwi jameni? (in Uhuru's voice)Huna mamlaka ya kuninyamazisha. Kama unafahamu ibara ya katiba inayosema tofauti na nilivyosema iweke hapa tuelimishane.
Reaction sahihi kwa mtu asiyejua jambo siyo kumnyamazisha, ni kumjuza asichokijua.
mambo yanaanzaga hv hv mdg mdg kiutani utaniSequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nani anateua tume ya uchaguz na viongozi wa vyombo vya usalama?!Ndiyo hivyo ni issue ya "timing" tu.
Kwani haujui Rais anaweza kutangaza kulivunja Bunge?Weka vifungu mkubwa. Ibara ya ngapi hiyo?
Wananchi tutamwambia Rais AVUNJE BUNGESequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Anaweza kuipangua Kiholela Bunge likichukia kabla ya kumpiga Kura Rais ya kutokuwa na Imani nae ANAVUNJA BUNGEHatujafikia kiwango hicho Ila itafikiwa endapo Rais ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Kwanza avunje Baraza lote la mawaziri, aanze upya hata Kama baadhi yao watarudiWala msimtishe rais na atapangua safu na mambo yataenda kama kawaida kama alivyo fanya mtangulizi wake kwa safu aliyo ikuta maana kuiacha safu iliyopo kama ilivyo ni kukaribisha kuhujumiwa na kundi la mtangulizi wake ambalo sasa limeanza kuaminishwa kuwa mtangulizi kahujumiwa
Lakini pia kundi hilo linamikakati ya kuonesha umma kwamba hakuna rais atakaye mzidi huyo wa kwao kiutendaji na kwamba huyo alikuwa masihi na nabii mtukufu kweli kweli hawezi kutokea tena mwingine.
Ila pangua yake lazima iwe ya kimkakati kama alivyo fanya mtanguliz wake atatoka mmoja mmoja taratibu hadi wataisha wote na wqtakao baki ni wale tu ambao hawana upambe.
Mambo hayaendi hivyo mkuu. Ile ni taasisiSequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Kumbuka Raisi ni mw kt wa chama na spika nawabunge wapo chini yake.
[emoji16][emoji16][emoji16]Haya yote yanafanyika huku mabaka baka wakiwa wapo tu wanaangalia mnavyocheza na amiri jeshi wao. Labda kama na wao hawamtaki.
😂😂😂Una akili wewe,jipe5 tena mwenyewe!Hapo no 5. Rais anawawahi anavunja bunge. Mchezo kwisha