Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Uwezo wa kuwahi anao kwasababu wapo wanaompenda kwenye system na watampenyezea tu taarifa mapema. Anamvua uanachama spika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ngoma inaishia hapo.Mpaka awahi! Na katiba inasema akivunja bunge uchaguzi unarudiwa. Kama alivyosema "Bwege" (mbunge mmoja wa awamu iliyopita), "ngoma inaanza upyaaaaa". Wasiyemtaka wanamshughulikia huko huko!
Hapo kwenye kuvunja Bunge kuna watu hawatotoboa uchaguzi tena wengi sana. Hapo ndo watajua hawajui.Hapo no 5. Rais anawawahi anavunja bunge. Mchezo kwisha
Yaani kama katiba na sheria za bunge zina ruhusu, hata Ndugai ana takiwa aachie nafasi ya uspika aliyo nayo. Huyu spika amelinajisi bunge na sheria kwa maslahi yakena tumbo lake.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Siyo kila anayehoji jambo ni mpinzani. Kwa taarifa yako sasa hivi wapinzani wamekaa pembeni kabisa waangalie hili tifu linaloendelea ndani ya CCM. Hii vita ya nafasi ya VP ni ya kwenu wenyewe CCM, wapinzani hawamo na hawawezi kuingilia mambo yenu ya ndani.Mnadai katiba mpya wakati hii iliyopo hamuijui
Ninachokisema vote of no confidence inawezekana na ikafanikiwa na raisi akaondolewa madarakani ilihali bunge likawa limoja raisi anaondolewa wala haihitaji sijui TISS wala sijui Nani nje ya bunge,bunge linadhamana kubwa na mamlaka hayo endapo tu wakiamuaUnachokisema ni sahihi. Hata hivyo, ukifuatilia tamaduni za Mabunge ya Jumuia ya Madola utakua unaelewa ninachokisema. Kuja na hoja ya namna Hiyo kama haina uungwaji mkono haufiki popote. Vote of no confidence sio kama hoja Nyingine zinazowasilishwa na Wabunge individual. Kazima kuanzia Kwenye "Corridor".
Umewaza kiundaniSequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Na Mama ametembelea humu akachukua hatua bora kabisa. Kwa kumteua Dr Philip Mpango, amemaliza kazi, amewazidi akili wote waliotaka kumtegeshea makamu kimeo.