Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Mpaka awahi! Na katiba inasema akivunja bunge uchaguzi unarudiwa. Kama alivyosema "Bwege" (mbunge mmoja wa awamu iliyopita), "ngoma inaanza upyaaaaa". Wasiyemtaka wanamshughulikia huko huko!
Uwezo wa kuwahi anao kwasababu wapo wanaompenda kwenye system na watampenyezea tu taarifa mapema. Anamvua uanachama spika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ngoma inaishia hapo.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Yaani kama katiba na sheria za bunge zina ruhusu, hata Ndugai ana takiwa aachie nafasi ya uspika aliyo nayo. Huyu spika amelinajisi bunge na sheria kwa maslahi yakena tumbo lake.
 
Mnadai katiba mpya wakati hii iliyopo hamuijui
Siyo kila anayehoji jambo ni mpinzani. Kwa taarifa yako sasa hivi wapinzani wamekaa pembeni kabisa waangalie hili tifu linaloendelea ndani ya CCM. Hii vita ya nafasi ya VP ni ya kwenu wenyewe CCM, wapinzani hawamo na hawawezi kuingilia mambo yenu ya ndani.
 
Unachokisema ni sahihi. Hata hivyo, ukifuatilia tamaduni za Mabunge ya Jumuia ya Madola utakua unaelewa ninachokisema. Kuja na hoja ya namna Hiyo kama haina uungwaji mkono haufiki popote. Vote of no confidence sio kama hoja Nyingine zinazowasilishwa na Wabunge individual. Kazima kuanzia Kwenye "Corridor".
Ninachokisema vote of no confidence inawezekana na ikafanikiwa na raisi akaondolewa madarakani ilihali bunge likawa limoja raisi anaondolewa wala haihitaji sijui TISS wala sijui Nani nje ya bunge,bunge linadhamana kubwa na mamlaka hayo endapo tu wakiamua
 
Namsifu sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa uteuzi aliofanya, amewazidi akili wabashiri wote! Dr Philip Mpango ni chaguo sahihi 100%, hayuko katika yale makundi, na zaidi sana ni mtu principled, mchapa kazi, mwenye hekima sana, mpole na mwadilifu. Wataendana vizuri sana na bosi wake. Kwa uteuzi huu, tumepata picha halisi ya mwelekeo anaoutaka Mama, ni mwelekeo mzuri kwa taifa.
Wale waliotaka kumvuruga Mama naamini somo limewaingia, sasa wajirekebishe, watulie, tuendelee kuijenga nchi.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Umewaza kiundani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom