Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Message Sent, Daudi Lissu kumshinda SauliMahinyila, ambaye ni muumini na mfuasi wa Sera za Lissu, ameshinda na kutangazwa ndiye Mwenyekiti wa Bavicha Taifa.
Wakati wa kutangazwa Kwake, mamia ya Wana Bavicha wameinuka na kuimba kwa kutaja jina la Lissu kwa shauku kubwa!
Unamkumbuka Dr.Mashinji?Msukuma huyo.Kwanini siasa za bongo wasukuma hawapoi,wako front sana kwa jasho na damu kwenye harakati za kuwakomboa watanzania?
Sasa Anatakiwa Apewe Wakuendana naye sio wampe Mr Fursa.Anaonekana ana sera nzuri. Ataongeza ubunifu kuwafikia vijana wengi na kuwapambania vijana wenzake wakidakwa na dola kwa makosa ya uonevu ukimsikiliza katika speech yake kuomba kura.
Hakuna tatizoKuna tatizo?.
Sijui wale kama kambare tu hawana cha kujifunzaUchaguzi wa CHADEMA umesikika kuliko uchaguzi wa USA.
CCM imejifunza nini?
Nani kasema Kuna tatizo?Kuna tatizo?.
KatambiUnamkumbuka Dr.Mashinji?
Mungu ni Mwema sanaChadema inaifundisha CCM demokrasia
Mwamba kachoka sana, Aachie Kiti Kulinda heshima yake haitakuwa busara sana akitolewa kwa Ballot Box
Ngosha wapo bize na mambo ya msingi, upande ule mwingine kazi yao ni sifa za kijinga na kutukana ngoshaMsukuma huyo.Kwanini siasa za bongo wasukuma hawapoi,wako front sana kwa jasho na damu kwenye harakati za kuwakomboa watanzania?
Kushindwa uchaguzi ni aibu?Mbowe ataondoka kwa aibu sana
Unataka kutuambia kwamba CDM inakwenda kuongozwa na ropo.Mbowe ataondoka kwa aibu sana
Kupanga ni kuchagua,Mbowe amechagua fedheha badala ya heshima.Mbowe ataondoka kwa aibu sana
🤔 🤔🤔Katika kipindi Chadema umaarufu wao umeongezeka ni kipindi hiki, naona kuna mchezo kama unachezwa hivi, tunawezafikiri Mbowe na Lissu wanachukiana kumbe wana kazi jambo, huwa nawaza hivi Mbowe angesema sigombei, Lissu angechuana na nani? nadhani hata uchaguzi usinge trend hivi, yaani mpaka habari zingine za kisiasa hazisikiki kwa sababu ya CHADEMA
Hawa vibaka ndiyo wanampotezaKwa nilivyoona vijana wanaimba Lissu Lissu Lissu ni indicator kwa upepo ulivyo. Mbowe akifanya figisu basi ajue amekipasua chama. 70% ya chadema ni vijana, kwahiyo Team Mbowe kuangushwa inaonyesha muelekeo wa chama.
Mbowe asome alama za nyakati asitake kuondolewa kama Mugabe
Ropo baada ya kugombea uenyekiti?Unataka kutuambia kwamba CDM inakwenda kuongozwa na ropo.