Mahinyila mfuasi wa Lissu ashinda nafasi ya M/kiti Bavicha Taifa

Mahinyila mfuasi wa Lissu ashinda nafasi ya M/kiti Bavicha Taifa

Anaonekana ana sera nzuri. Ataongeza ubunifu kuwafikia vijana wengi na kuwapambania vijana wenzake wakidakwa na dola kwa makosa ya uonevu ukimsikiliza katika speech yake kuomba kura.
Sasa Anatakiwa Apewe Wakuendana naye sio wampe Mr Fursa.
 
Mwamba kachoka sana, Aachie Kiti Kulinda heshima yake haitakuwa busara sana akitolewa kwa Ballot Box
 
Katika kipindi Chadema umaarufu wao umeongezeka ni kipindi hiki, naona kuna mchezo kama unachezwa hivi, tunawezafikiri Mbowe na Lissu wanachukiana kumbe wana kazi jambo, huwa nawaza hivi Mbowe angesema sigombei, Lissu angechuana na nani? nadhani hata uchaguzi usinge trend hivi, yaani mpaka habari zingine za kisiasa hazisikiki kwa sababu ya CHADEMA
🤔 🤔🤔
 
Kwa nilivyoona vijana wanaimba Lissu Lissu Lissu ni indicator kwa upepo ulivyo. Mbowe akifanya figisu basi ajue amekipasua chama. 70% ya chadema ni vijana, kwahiyo Team Mbowe kuangushwa inaonyesha muelekeo wa chama.

Mbowe asome alama za nyakati asitake kuondolewa kama Mugabe
Hawa vibaka ndiyo wanampoteza
 

Attachments

  • GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
    GgorHp4XUAAE0_u.jpeg
    51.3 KB · Views: 1
Unataka kutuambia kwamba CDM inakwenda kuongozwa na ropo.
Ropo baada ya kugombea uenyekiti?

Si huyu mlitaka awe rais wa nchi?

Hivi machawa wa Mbowe alinyonya ubongo wenu wote?
 
Back
Top Bottom