Ibrahim Nzunda
Member
- Dec 7, 2012
- 23
- 21
Mahitaji kwa ajili ya kampuni
1. Namba za Nida (kila mtu yake)
2. TIN numbers (Kila mtu yake,TIN yoyote aliyonayo kwa jina lake)
3. Phone, email, (kila mtu yake)
4. P. O. Box zenu.
5. Mahali mnapokaa kila mtu
6. Memorandum & Articles of Associtaion iliyopigwa mhuri wa mwanasheria
7. Pesa ya usajili ( gharama za usajili check brela.go.tz )
Utajaza form online na nyingine mbili. na kusubmit hiyo memart
__
NB: kazi ya tin ni kama kazi ya Namba ya nida. kwa ajili ya usajili sio biashara. ya biashara utatumia tin ya kampuni baada ya kusajili kampuni.
so kama huna tin APPLY NON-BUSINESS TIN Via ots.tra.go.tz
__
NB: Idadi minimum ni wawili (wewe na mwenzako. NDIVYO SHERIA INATAKA).
So kama wewe ndiye mmiliki mkuu basi Tafuta mtu mpatie chini ya 1%ili wewe umiliki zaidi ya 99% (mke/mume/ndugu/rafiki/mtoto wako/ etc).
JE UNAHITA MSAADA KUANDAA DOCS NA KUFANYA APPLICATION? , au huna muda ? TUNASAIDIA(Consulting) KWA HARAKA NA UFANISI👇🏾👇🏾 KAZI(SCOPE) YA UPANDE WETU NI;
1. Kuandaa Memorandum and articles of association
2. mwanasheria
3. kujaza forms zote zinazotakiwa
4. na kufanya application online
-----------
Call 0754210627
info@nzundatech.co.tz
1. Namba za Nida (kila mtu yake)
2. TIN numbers (Kila mtu yake,TIN yoyote aliyonayo kwa jina lake)
3. Phone, email, (kila mtu yake)
4. P. O. Box zenu.
5. Mahali mnapokaa kila mtu
6. Memorandum & Articles of Associtaion iliyopigwa mhuri wa mwanasheria
7. Pesa ya usajili ( gharama za usajili check brela.go.tz )
Utajaza form online na nyingine mbili. na kusubmit hiyo memart
__
NB: kazi ya tin ni kama kazi ya Namba ya nida. kwa ajili ya usajili sio biashara. ya biashara utatumia tin ya kampuni baada ya kusajili kampuni.
so kama huna tin APPLY NON-BUSINESS TIN Via ots.tra.go.tz
__
NB: Idadi minimum ni wawili (wewe na mwenzako. NDIVYO SHERIA INATAKA).
So kama wewe ndiye mmiliki mkuu basi Tafuta mtu mpatie chini ya 1%ili wewe umiliki zaidi ya 99% (mke/mume/ndugu/rafiki/mtoto wako/ etc).
JE UNAHITA MSAADA KUANDAA DOCS NA KUFANYA APPLICATION? , au huna muda ? TUNASAIDIA(Consulting) KWA HARAKA NA UFANISI👇🏾👇🏾 KAZI(SCOPE) YA UPANDE WETU NI;
1. Kuandaa Memorandum and articles of association
2. mwanasheria
3. kujaza forms zote zinazotakiwa
4. na kufanya application online
-----------
Call 0754210627
info@nzundatech.co.tz