Mahmoud Ahmadnejad: Rais aliyekataa mshahara mkubwa na kuendelea kupokea mshahara wa mwalimu na kurudi na kufundisha baada ya miaka 8 ya urais

Itashangaza kwa watu wenye poverty mentality iliyojengwa na wazungu ambao mnawasujudia.

Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwenye siasa na uongozi ktk mashariki ya kati na bara arabu.

Waliokwenda Qatar ni mashuhuda
 
Mkuu una ubishi usio kuwa na msingi wowote.
Kwahilo anabisha bure ila labda hajasikia tusimlaumu MKUU hata IAEA kwenye ripoti zao walitangaza kama jamaa kafikia hizo 90 kwenye kurutibisha
Binafsi nitakua mtu wa mwisho kuamini kama IRAN [emoji1130] hawana nyuk maana Israel [emoji1134] wangekua washawafanyia ushenzi wao
 
Reactions: ITR
TOFAUTISHA wa i
Israel Na WAZAYUNI. UZAYUNI ni itikadi ya kisiasa haina tofauti na Colonialism na sio muonekana wa mtu.
 
Leta hiyo report ya IAEA inayosema Iran wamefanya enrichment ya 90%.
Huwezi fika 90% alafu ukakosa nukes, sasa Iran wamefika lini. Nasubiri source
 
Mkuu una ubishi usio kuwa na msingi wowote.
Msiwe mnajitungia maneno mkikataliwa mnakimbilia kuwaita watu wabishi. Wewe ambaye sio mbishi leta hapa IAEA, Mossad, CIA, Iran, Russia au trusted source yeyote yule lini kasema Iran imefika enrichment ya 90%.

Kwanini mnapenda tantalila nyingi wakati ni suala la kuleta evidence. Unapinga as if hapa tunabishana umri wako ambao wewe ndio unastahili uujue kuliko sisi.
 
Ila Iran iliharibiwa tu kuwekwa chini ya sheria za hovyo za kiislamu,

Isingekuwa hivyo ingekuwa nchi tamu sana
 
Ila Iran iliharibiwa tu kuwekwa chini ya sheria za hovyo za kiislamu,

Isingekuwa hivyo ingekuwa nchi tamu sana
Ingekuwa kama Uturuki, ndio maana Waturuki ukitaka wakuchape makofi waambie hizo sheria
 
Unawaona hao wenye suti?
Hilo gari katika picha si basi la umma hilo ni bus linalotumika kusafirisha abiria airport, na hao waliomzunguka ni walinzi wake.
Hiyo picha ilipigwa mwaka 2014, mwaka mmoja tangu alipomaliza uongozi wake kwa nafasi ya urais. Ilipotolewa in public picha hii, ilitoka na habari hii hii uliyoileta na baadaye ikaja kuthibitika kuwa taarifa haikuwa na ukweli.
 
Asante kwa ufafanuzi mpya ndugu, binafsi nilisadiki taarifa uliosema ni ya awali sikujua kuhusu undani wa jambo hili. Lakini pia hata kama ni bus la aisort rais mstaafu kupanda na kusimama sio jambo la kamaida, vipi Kikwete anaweza pale JKN Airport kupanda basi la airport na akasimama ?

na je ni kweli kwamba bbda ya kustaafu uraisi huyu jamaa aliamua kurudi kua mwalimu wa chuo kazi yake ya awali ?
 
Nasikiaga eti baadhi ya nchi za waafrika wenzetu (majirani) mpaka ufikie kuupata urais ushajijengea maadui kibao, mikono yako imelowa damu ya wapinzani wako sasa unaanzaje kutembea peke yako bila ulinzi na mabunduki ?
 
Enzi za urais wake alitoa kauli kuifuta israel kwenye ramani ya dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…