Hakusoma alama za nyakatiHiyo ndio akili zetu za kiume ila hawa wadada aka matimu wanakomaa na ajulikane publically kumbe wanaharibu mahusiano ya watoto wa Zari na mtoto wa Hamisa na mama zao pia. Ndugai aliulizwa una watoto wangapi akajibu mwanaume haulizwi ana watoto wangapi na hakuna mwanamke aliyejitokeza kusema mwanangu amekanwa kwa sababu anajua anapata huduma na baba anamtambua! Ila hawa wadada kesho tu angeenda Insta
Umeona alichoandika zari snapachatMi namuunga mkono amsamehe tu hakuna namna akikataaa kusamehe atawapa ushindi maadui
Hakumkana ilikuwa ndani ya makubaliano yao....sasa Hamisa na uswahili wake akajua anamkomoa Zari....Kwa nini alimkana sasa?hv do u know hamisa ametukanwa Mara ngapi na mashabiki mpk na zari mwenyewe?angepaswa akubali toka mwanzo
Atasema alichokitaka kimetokea amekubali mtoto
Hamisa hajielewi yaani kwa maelezo ya diamond kama ni kweli hamisa angemsikiliza akakaa kimya angepata mambo mengi mazuri na pengine angepewa hata mtaji wa biashara kwa ajili ya mtoto sasa kwa ujinga wake na uswahili kaharibuHamisa ni mwanamke mzuri asie na akili, lakini sasa naamini mama ana sehemu kubwa katika kuchangia tabia ya mtoto regardless ya umri, hamisa ni copy ya mama yake sishangai
Bora mseme nyie wanaume hio akili ya hamisa maana tukisema sie tunaambiwa ni uwivu
Maana yake ya niniNimeshawambia Kuwa Baada ya Interview hioi tayari Dimond atapigwa Vchini na kama hataapigwa chini atakuwa amepoteza credibility za kuwa kwenye mahusiano ya upendoi kama awali..
Yaani huu ni mtegoa mkubwa kwa Dimona na Zari kaucheza vizuri.. Sasas hivi Zari kuja Bongo tena itakuwa kwa masharti.. Amemuambia kuwa a google ajue maana ya neno Deformation
Tena atatembea kwa magoti[emoji23] [emoji23] [emoji23]Amenichekesha sana dimond eti siachani na zari hata iweje ikitokea zari ameniacha ntavua buti nitembee hadi SA huku nasema baby nisamehe baby nisamehe hahahhahahahahhaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu wambeya
Sifa ya Mondi ni kuhonga ndio maana wanapanga foleni yaan jamaa kwenye papuchi anakuwaga bwege kabisaaaaaa... lolHaha siamn uyu jamaa inaonekana ana mkuyenge wa maana,,...si kwa kugonga huku na mitoto anayopiga kumlilia aisee huyu dogo anatumia mcongo si kawaida
Lakin kama kakana kuwa dai anadanganyaDuh I feel so sorry for Zari jamani... Duh
ile nimependa hiyo snapchat alivyosema ana respect ndio maana she is silent
Kabisa,wajinga wamemshauri apate umaarufu kuliko matunzo ya mtoto,angekaa kimya Dai angeendelea kwenda kisirisiri na kucheza na mtoto wake na kumpatia mahitaji muhimu,ukute hadi mjengo angemshushia ili asipate shida kwenye Nyumba za kupanga.Kwa akili hizi ndio maana tuna watoto wa mitaani wengi! Mwanamke mwenye akili anafikiria future ya watoto wake no matter what na hapa ndipo Zari anapowafunika dada zangu wa kibongo!
unatamani wewe ndiyo upewe mimba ya siri ili upewe laki 5 kwa wiki??
Hua hapost kiti hana uhakika nacho
Samahani kwani ndoa walishafunga nahoji tu??Tutamlaumu Diamond kwa sababu tuko Jukwaan hapa
Mwanaume gan yuko taya kukir hadharani kwamba amezaa nje ya ndoa yake in Public?
Mwanamke Gan yuko tayar Mumewe Akiri hadharani kwamba ana mtoto nje ya ndoa?
Clinton Alicheat kabisa kwa Monica lakin Hillary mpka kesho hawez kuja kusema mumewe alicheat.
Diamond ameshakir so what next?
What is future ya mtoto ambae anakataliwa hadharani? Hivi unamjenga vipi huyo mtoto kisaikolojia katika jamii inayomfahamu kua amekataliwa hadharani? Tena huku mamake akiitwa Bitch !! Kisa tu watembelee Rav 4 na wale chakula kizuri etc.Kwa akili hizi ndio maana tuba watoto wa mitaani wengi! Mwanamke mwenye akili anafikiria future ya watoto wake no matter what na hapa ndipo Zari anapowafunika dada zangu wa kibongo!
Anapost Mara nyingi sana sema labda nawe umelishwa unga wa ndele ni mmojawapo wa waumini wake watiifuHua hapost kiti hana uhakika nacho
Bi dada hii umenena ukweli! Namhurumia Daimond maana kiboko cha Hamisa hasa kutoka kwa influence ya mama yake haitamuacha salama. Tuna uzoefu na hii kitu, ukizaa na mwanamke asiye na aibu na staha ni kunadi maisha yako. Aidha Hamisa alifanya kosa la kuonyesha picha za kitandani kwa Diamond maana Zari hatamsamehe na zahama zitakwenda kwa mtoto maskini. Naona wanawake wengi kwa ubinafsi wao huwa hawafikirii watoto wao. Mimi ...Hivi unaijua Recognition wewe!? Ni zaidi ya pesa,kitendo cha Diamond kumkubali tu mtoto wa Hamisa hata asipotoa mia ni faraja kwa Hamisa,msituletee mambo yenu kuna tendo la siri ila hakuna mtoto wa siri watoto wote wote wote wana baba zao wawatunze wasiwatunze ni lazima wajulikane na sio kumkataa kataa kisa unaleta sent kumi zako
Akiwa hana uhakika anasema na anafutaAnapost Mara nyingi sana sema labda nawe umelishwa unga wa ndele ni mmojawapo wa waumini wake watiifu