Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Nampongeza Hamisa ana akili nyingi sana japo watu wanamuona mjinga. Baba wa mtoto ni huyo na mtoto keshazaliwa na alichofanya ni kuweka wazi tu majina ya baba wa mtoto hajaongeza neno.

Eti hajui kula na kipofu! Kula nini? Ili baadae mtoto amlaumu mama umenificha babangu na baba ajitetee ni mamako alikuwa hataki tujuane vizuri.
Hamisa aendelee kutukanwa kinuka chupi, bitch n.k wakati walikata mauno wote, angejua ana familia angejiheshimu au anunue malaya wa usiku mmoja avae condom ngumu.

Mi siyawezi ya Hamisa ila anayeweza ukizaa na mtu usifiche awajibike kwa mauno yako ova.
 
Hehehehe na hili ndo lilikuwa tegemeo la wengi ila Domo amewapiga bao la kisigino ...huko walipo hawaamini masikio yao..Namsubilia mange na post yake itakayokuja sijui atazuga nini

Haya andaeni matarumbeta mkamsaidie Diamond mgomba msamaha kwa Zari maana Zari kasema ni uongo mtupu huko snapchat
 
kila mtu na maisha yake ndugu, hatufanani. kwa heshima uliyonayo humu jf wala hukuwa na sababu ya kuandika thread hii. tusubirie mambo mazito tujadili
 
Unabishana tu! Mama wa huyo Ongala akutuma mtu atukanwe mama Kalli au kwamba ana mtoto ambaye hajulikani kama Kali au Jesca! Aliitwa bitch baada ya kupiga picha za mama Dai na dada yake kwa media! Kama umeambiwa nahitaji privacy kwenye mahusiano umekubali then unavunja makubaliano just because umkomoe mke mwenzio hata mimi nakukana! Diamond kwa kazi yake bad publicity inaweza ikamuharibia hata kazi yake then awe maskini, hivi kuna mwanaume anaweza kumsifia mpenzi anayeweza kutishia usalama wa kipato chake?
Hivi Diamond atakua ni mwanaume wa kwanza kua na bad publicity? Acha kuongea ujinga wewe marasi tu watoto wao wa michepuko wanajulikana sembuse wa Diamond? Haya sasa kakubali ngoja tuone akishindwa kufanya show au kukubalika na mashabiki
 
Nampongeza Hamisa ana akili nyingi sana japo watu wanamuona mjinga. Baba wa mtoto ni huyo na mtoto keshazaliwa na alichofanya ni kuweka wazi tu majina ya baba wa mtoto hajaongeza neno.

Eti hajui kula na kipofu! Kula nini? Ili baadae mtoto amlaumu mama umenificha babangu na baba ajitetee ni mamako alikuwa hataki tujuane vizuri.
Hamisa aendelee kutukanwa kinuka chupi, bitch n.k wakati walikata mauno wote, angejua ana familia angejiheshimu au anunue malaya wa usiku mmoja avae condom ngumu.

Mi siyawezi ya Hamisa ila anayeweza ukizaa na mtu usifiche awajibike kwa mauno yako ova.

Akili nyingi zipi hizo? Kapewa kila kitu hili akae kimya wakati Diamond akiwalea wote, yeye na mtoto.
Kile kidogo alichokua anapata nacho kimeminywa ndio akili yenyewe? Angekaa kimya akaishi maisha ya kula raha tu
 
MAB
Kuna watu na midomo yao.wamemponza Hamisa...
Alidhani kuzaa njia ya kumiliki duuu....![/QOGAZ WA USWAZI WAMEMDANGANYA SASA ONA BADALA YA LAKI TANO KWA WIKI ATAKULA LAKI 2 KWA MWEZI HAHAHAHA USWAHILI KAZI KWELI BEAUTY WITH NO BRAINS HAKANA HATA BIASHARA NI UJINGA UJINGA WA INSTA AKALE INSTA SASA
 
DIAMOND NI MJINGA SANA. HAKUTAKIWA KUKUBALI HADHARANI HATA KAMA MTOTO NI WAKE. ANGEMTAFUTA TU HAMISA KWA SIRI WANGEYAZUNGUMZA UPYA, WAKAELEWANA. HAYA ALIYOZUNGUMZA REDIONI ANGEYABORESHA NA KUZUNGUMZA NA HAMISA.

AKUMBUKUE KUWA, ZARI INGAWA ALIKUWA ANA WASIWAS KUWA MTOTO NI WA MONDI LAKIN HAKUWA NA UHAKIKA, KUMTHIBITISHIA NI DHARAU, KUMDHALILISHA NA KUMFANYA ASIKUAMINI KABISA.


ILA SIMLAUMU MONDI, ELIMU NDOGO KULIKO ZARI.

DIAMOND, MWANAUME KOROMEO (KUVUMILIA)

Duuuh!! mkuu sijui umeamkia wapi na kuanza kupost tuu
 
Nampongeza Hamisa ana akili nyingi sana japo watu wanamuona mjinga. Baba wa mtoto ni huyo na mtoto keshazaliwa na alichofanya ni kuweka wazi tu majina ya baba wa mtoto hajaongeza neno.

Eti hajui kula na kipofu! Kula nini? Ili baadae mtoto amlaumu mama umenificha babangu na baba ajitetee ni mamako alikuwa hataki tujuane vizuri.
Hamisa aendelee kutukanwa kinuka chupi, bitch n.k wakati walikata mauno wote, angejua ana familia angejiheshimu au anunue malaya wa usiku mmoja avae condom ngumu.

Mi siyawezi ya Hamisa ila anayeweza ukizaa na mtu usifiche awajibike kwa mauno yako ova.
We ndo unaamka nini!??

Diamond hakukataa mimba wala mtoto..na amehudumiaa...

We vipi!??
 
Majibu ya zari kwa Diamond aliyouwasilisha kwa kutumia mtandao wa kijamii Snapchat.....
 

Attachments

  • IMG_4986.PNG
    IMG_4986.PNG
    193.8 KB · Views: 31
  • IMG_4987.PNG
    IMG_4987.PNG
    197.5 KB · Views: 29
Akili nyingi zipi hizo? Kapewa kila kitu hili akae kimya wakati Diamond akiwalea wote, yeye na mtoto.
Kile kidogo alichokua anapata nacho kimeminywa ndio akili yenyewe? Angekaa kimya akaishi maisha ya kula raha tu

Akili nyingi kutambua haki ya mtoto kumtambua na kubainisha mzazi wake. Asipotoa matumizi atapelekwa ustawi wa jamii atoe matumizi kwa % aone kama hajatoa kubwa zaidi ya hiyo.

Kulea ni zaidi ya hela baba ajulikane hata Hamisa akifa mtoto akimbilie kwa babe. Siri ni kama wasingezaa wamezaa mtoto sio siri.
*nasisitiza mimi siyawezi* wanaoweza wakomae.
 
Hivi Diamond atakua ni mwanaume wa kwanza kua na bad publicity? Acha kuongea ujinga wewe marasi tu watoto wao wa michepuko wanajulikana sembuse wa Diamond? Haya sasa kakubali ngoja tuone akishindwa kufanya show au kukubalika na mashabiki
Ujinga tena? Publicity kwa msanii au mwanamuziki ni mtaji! Hao watoto wa marais na mawaziri umeona mama zao wanashindana na main chick au wanavujisha info sensitive kama za mama mkwe kuja kuona mtoto! U agombanisha mkwe na main chick na unadhani upo sawa! Akili zako ni kama za Mobeto hakujifunza kwa Majizo!
 
Akili nyingi zipi hizo? Kapewa kila kitu hili akae kimya wakati Diamond akiwalea wote, yeye na mtoto.
Kile kidogo alichokua anapata nacho kimeminywa ndio akili yenyewe? Angekaa kimya akaishi maisha ya kula raha tu
Hata dagaa watakula mtoto atakua,kwani Ye Diamond kwa bi Sandra alikua kwa kula Sandwich? Si hayo hayo mamboga ya majani na Leo hii kawa Star anayeijua vyema historia yake na jamii inayomzunguka
 
Back
Top Bottom