Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Kuna mambo hajayaweka wazi kwa zari..baada ya hapa huenda yakamkost sana.....
 
Hakumkana ilikuwa ndani ya makubaliano yao....sasa Hamisa na uswahili wake akajua anamkomoa Zari....

Mtu amelea mimba mpka kujifungua hadi gharama na vifaa vya Mtoto unataka nini tena kama sio kuuza gazeti.?

hahahaaaaaaaaaaaaa walikua wamekubalina.........
 
DIAMOND NI MJINGA SANA. HAKUTAKIWA KUKUBALI HADHARANI HATA KAMA MTOTO NI WAKE. ANGEMTAFUTA TU HAMISA KWA SIRI WANGEYAZUNGUMZA UPYA, WAKAELEWANA. HAYA ALIYOZUNGUMZA REDIONI ANGEYABORESHA NA KUZUNGUMZA NA HAMISA.

AKUMBUKUE KUWA, ZARI INGAWA ALIKUWA ANA WASIWAS KUWA MTOTO NI WA MONDI LAKIN HAKUWA NA UHAKIKA, KUMTHIBITISHIA NI DHARAU, KUMDHALILISHA NA KUMFANYA ASIKUAMINI KABISA.


ILA SIMLAUMU MONDI, ELIMU NDOGO KULIKO ZARI.

DIAMOND, MWANAUME KOROMEO (KUVUMILIA)
 
Hamisa hajielewi yaani kwa maelezo ya diamond kama ni kweli hamisa angemsikiliza akakaa kimya angepata mambo mengi mazuri na pengine angepewa hata mtaji wa biashara kwa ajili ya mtoto sasa kwa ujinga wake na uswahili kaharibu
Kabisa, na huyu dawa yake ampeleke mtoto kwa zari akose hata hela anayopata now
 
Leo nimeingia ofisi fulani, namtafuta mtu naambiwa yuko staff lounge. Nikaingia huko nakuta kundi nauliza kuna nini mnaangalia kwenye TV ? Naambiwa Diamond anahojiwa Clouds TV.

Nimetoka hapo nimekuja lunch nakuta wafanyakazi wote wamezunguka TV najiuliza hawa vipi nilipoangalia nikakumbuka ni mahojiano ya Diamond!

Hata JF hawako nyuma thread ya hayo mahojiano inakimbia kweli kweli. Ama kweli udaku unapendwa....
 
Usisahau haya majambo hufanyika. Naamini kuna siku Hamisa naye alifikiria kuitoa (wanted huwa inabadilika na kuwa unwanted mama)
 
ila Wanaume jamani..................., uwiiii jamani
haya mambo yanaumiza hadi maini.....
 
Yani hata mimi nimemuonea huruma amejiharibia sana kwa kutaka tu mtoto ajulikane ni wa nani kumemponza
 
Unabishana tu! Mama wa huyo Ongala akutuma mtu atukanwe mama Kalli au kwamba ana mtoto ambaye hajulikani kama Kali au Jesca! Aliitwa bitch baada ya kupiga picha za mama Dai na dada yake kwa media! Kama umeambiwa nahitaji privacy kwenye mahusiano umekubali then unavunja makubaliano just because umkomoe mke mwenzio hata mimi nakukana! Diamond kwa kazi yake bad publicity inaweza ikamuharibia hata kazi yake then awe maskini, hivi kuna mwanaume anaweza kumsifia mpenzi anayeweza kutishia usalama wa kipato chake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…