Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
Saitah amar!!..Hivi Waislam Si wanaruhusiwa kuwa na zaidi ya mke mmoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saitah amar!!..Hivi Waislam Si wanaruhusiwa kuwa na zaidi ya mke mmoja?
Aisee nipo Japan huku na sielewi kiswahili vizuri ila kwa hili Hamisa ni fala!!!
Hawawezi kuachana nakuambiaaalidhani anamuumiza Zari....
inawezekana lengo lake limetimia then she end up being a looser
Umesema?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee nipo Japan huku na sielewi kiswahili vizuri ila kwa hili Hamisa ni fala!!!
Sayu sayu . Idoma khae ?Saitah amar!!..
Yaani Ni kweli kabisaa..Akili nyingi zipi hizo? Kapewa kila kitu hili akae kimya wakati Diamond akiwalea wote, yeye na mtoto.
Kile kidogo alichokua anapata nacho kimeminywa ndio akili yenyewe? Angekaa kimya akaishi maisha ya kula raha tu
Hata mim yaan mtoto wangu afanywe wa siri hapana,,nampongeza HamisaAkili nyingi kutambua haki ya mtoto kumtambua na kubainisha mzazi wake. Asipotoa matumizi atapelekwa ustawi wa jamii atoe matumizi kwa % aone kama hajatoa kubwa zaidi ya hiyo.
Kulea ni zaidi ya hela baba ajulikane hata Hamisa akifa mtoto akimbilie kwa babe. Siri ni kama wasingezaa wamezaa mtoto sio siri.
*nasisitiza mimi siyawezi* wanaoweza wakomae.
Hahaaaaaaa daaaaa FyatuNi mambo ya Williamson mine Mwadui huko, mara wamekamata kifurushi Airport, mara wamefunga mgodi, mara wamefungua ...yaani ni vululuvululu hata mimi sifuatilii.
Na ndio kinachokujaKama hamisa anaona dili kuzaa azae watatu ili awe kampuni zari kwa idadi ya watt.
Huu ujinga wa wanawake sijui utaisha lini kwakwel i
Nimeshawambia Kuwa Baada ya Interview hioi tayari Dimond atapigwa Vchini na kama hataapigwa chini atakuwa amepoteza credibility za kuwa kwenye mahusiano ya upendoi kama awali..
Yaani huu ni mtegoa mkubwa kwa Dimona na Zari kaucheza vizuri.. Sasas hivi Zari kuja Bongo tena itakuwa kwa masharti.. Amemuambia kuwa a google ajue maana ya neno Deformation
Acheni kuongea kishabiki jmn. Hivi ni wanawake wangapi wanaweza samehe kosa kama hili?Yaan zari atakuwa mwanamke wa ajabu kama ataachana na diamond kisa diamond kazaa na Hamisa.
Hivi ni wanawake wangapi tena wenye ndoa zao haya yanawatokea? Sio ishu kbs wala hamtakiwi kumuwazia kbs. zari anajua anachokitaka
Usiskilize uongo wa way zari mpende baba wa watt wao ili upate kichwa cha mwanaume cha kusimama nyumban kwako kama baba
zari ni mlokole...hawez kuolewa ndoa ya kiislamlabda akiamua kurudi uislamuni..but hawez..Hivi Waislam Si wanaruhusiwa kuwa na zaidi ya mke mmoja?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] domo sasa kapata akili next akichepuka achepuke na watu wenye class zao kama kina dillish ni sawa ila sio watu wenye njaa hivi nadhani kaona madhara yake....Hahaa hawezi yaani mjinga hamisa cjapata kuona kapoteza 70 kwa siku sasa mtoto ataanza kupewa lak 2 kwa mwezi HV hamisa ana vidato vingapi jamani maani sio kwa ujinga huu
fuatilia anachooandika Zari kwenye Snap Chat Yake ndio utajua kuwa ameamua kumwaga manyanga kistaarabu..Ndio maana ameshindwa kujibu ni lini au wapi aliyaongea hayo kwa Zari.
Tena huyo dilish ndio hawezi kuvumilia kama hamisa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] domo sasa kapata akili next akichepuka achepuke na watu wenye class zao kama kina dillish ni sawa ila sio watu wenye njaa hivi nadhani kaona madhara yake....