Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Inauma sana yaan watu wanatoa hadi video ya chambua kama karanga,,unakua unajua ni maswala ya kazi kumbe watu wanakulana na mimba juuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ni nywele na hamisa ndio kaamua kuwasikiliza walimwengu, katika maisha usijifananishe case yako na ya mwingine eti kisa zari anapewa $2500 per month na yeye anataka hahah dohSasa hapa kajiharibia officially.... kaishia kupewa child support ya serikali..... kamalaya tatizo na hajui kutumia umaarufu wake kwa faida. Kakosa yote sasa wanaompa kichwa wakampe sasa hizo laki 5 za kila wiki.... Insta inampa kichwa as if ndo inalea mtoto.
Hahahahahahahaah,,, kumbe nawe ushakutana nayo mi nachekaga kinoma yanihuu ujinga nauona sana youtube aisee unavuma sana siku hizi. mi mwenyewe nipo korea kaskazini hapa sijui kiswahili kabisa ila nmeejitahidi kukujuza tu.
Waooo this is new.zari ni mlokole...hawez kuolewa ndoa ya kiislamlabda akiamua kurudi uislamuni..but hawez..
na hata watoto wake anawalea kwa misingi ya ukristo
Sawa ila hatokuwa na njaa itakayozidi kujiharibia fame na reputation yakeTena huyo dilish ndio hawezi kuvumilia kama hamisa
Sio siri ni kuheshimiana tu, ni agreement tu...Mi sitakuoa ila ntakutunza na mtoto nipo katikati ya mahusiano na Mke wangu, sasa ukishavuruga serious relationshipa na credibility yangu unapata faida gani na wala sitakuoa.Hata mim yaan mtoto wangu afanywe wa siri hapana,,nampongeza Hamisa
Tatizo naye yupo too selective...sasa hivi atakuwa anaviziwa mtoto wa Bakhresa.Kama hamisa anaona dili kuzaa azae watatu ili awe kampuni zari kwa idadi ya watt.
Huu ujinga wa wanawake sijui utaisha lini kwakwel i
Halafu tena kwakuonesha kiburi unaenda kutangaza wazi kwenye media tena mubashara. Zari akiweza kuendelea na Diamond apewe tuzoAcheni kuongea kishabiki jmn. Hivi ni wanawake wangapi wanaweza samehe kosa kama hili?
Umechepuka tena kavu na mtoto juu kama vile haitoshi kwenye kitanda hicho hicho.
Utoto upi huo nyie kila siku ndo mliokua mnaongoza kumtukana kuna kumita malay.a anayetafuta kiki kupitia Diamond mnafikiri anamoyo wa Chuma? Pesa haina thamani mbele ya Utu.Eti unapokea 500,000 kwa wiki wakati mbele za watu anakuita Malaya unaitafuta kiki hili halivumiliki hata kidogo.Tutakesha! Diamond hajakataa mtoto tatizo ni utoto wa Hamisa kuwasikiliza magwiji wa Insta
Unadhani kwann kabla ya interview watu walikua wanauliza Diamond atakataa au atamkubali mtoto wa HamisaTutakesha! Diamond hajakataa mtoto tatizo ni utoto wa Hamisa kuwasikiliza magwiji wa Insta
Nimesoma baadhi ya comments za wanaume, nimeishia kuumia. Majority ya wanaume hawajali hisia za watoto wao, wao wanachojali ni kutoa pesa tu. Eti mtu kakomaa "nimempa millioni 7, nimemnunulia Rav 4", so kama unampa hela ndo umkane mwanao? That's too from a person aliyekanwa na baba ake, angalau yeye alipewa hata na jina la mzee Naseeb, naona Hamissa aliambiwa atumie jina la baba ake as if yeye ndo alimtia mimba. Mtu kumkubali mtoto wake hata kama ana uwezo wa kumpa sh 200 means a lot to the kid. Hivi huyu mtoto angekuaje kwneye mazingira ya kumuona baba anaspend some quality times na watoto wake wengine afu wewe mwenzangu hata kupiga picha na baba ni uchochezi maana picha ikivuja ni tatizo, watu wanaelewa kweli what it means to be a father? Huyu mtoto angekua kwenye saikolojia ya hali gani? Tena bora baba anayekukataa mazima, kuliko ambaye anakufanya siri sijui anakuonea aibu kisa nini sijui. Afu baba zima na akili zake linakuja eti "Hamissa kajikosesha mengi", pumbaff linawaza material things tu. Hivi kuna mmama anayebeba mimba miezi 9 akashindwa kumlea mwanae hata kama ni kwa kunywa uji?Hivi unaijua Recognition wewe!? Ni zaidi ya pesa,kitendo cha Diamond kumkubali tu mtoto wa Hamisa hata asipotoa mia ni faraja kwa Hamisa,msituletee mambo yenu kuna tendo la siri ila hakuna mtoto wa siri watoto wote wote wote wana baba zao wawatunze wasiwatunze ni lazima wajulikane na sio kumkataa kataa kisa unaleta sent kumi zako
Hata tifa na nillan wanalelewa kikristo?zari ni mlokole...hawez kuolewa ndoa ya kiislamlabda akiamua kurudi uislamuni..but hawez..
na hata watoto wake anawalea kwa misingi ya ukristo
Hivi uislam unamfaham yule mtoto ni diamond?Hivi Waislam Si wanaruhusiwa kuwa na zaidi ya mke mmoja?
Kama humfuatilii diamond unfanya nini huku?[HASHTAG]#seduceMe[/HASHTAG] link on bio
Tangu jana nilitoa sababu zangu kwa nini namfatilia Alikiba.
wa kina nani hawawezi kuachana....Hawawezi kuachana nakuambiaa
Shida watu wanaongea tu hawajui huyo mtoto angekuja kupata shida baadae tuHata mim yaan mtoto wangu afanywe wa siri hapana,,nampongeza Hamisa
Mimi na nani?Utoto upi huo nyie kila siku ndo mliokua mnaongoza kumtukana kuna kumita malay.a anayetafuta kiki kupitia Diamond mnafikiri anamoyo wa Chuma? Pesa haina thamani mbele ya Utu.Eti unapokea 500,000 kwa wiki wakati mbele za watu anakuita Malaya unaitafuta kiki hili halivumiliki hata kidogo.