Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,523
Ndio shida wa madem ya uswazi yeye kila kitu picha mpka chooni pichaNdo shida kuchukua viroboto, huyu bwana standard na high class yote zari aliyomuweka kaipukutisha km majani. Ye kazoea vya Tandaleeeee
wanamzingua tu zari hapa.hakuna lolote...angekuwa na akili angemweleza zari tangu hiyo mimba ipo.ili waelewane ndani..Kitendo cha kuendelea kuficha hadi kuumbuliwa ni usaliti mkubwa kwa zari.Unajua huo ni mpango wa familia ya dai wameusuka wenyewe ili kumnanga zari ukiangalia hiyo move
hakutumia busara katika hili kabisa amesahau mtoto ni wababa na mama kama baba kakubali na familia inalitambua ilo sijui aliwashwa nini ,,,nahisi alijua atamkomoa zari kumbe laah kajikomoa mwenyewe kujipost half naked nayo ni ufala tuuMalaya haridhika wala hafugiki,hawara nae anataka jamii imjue sijui ndio maajabu wa mwanamke wa kiswahili.
Hivi angenyamaza tu angekula kimyakimya ila kakaa na wauzaji wenzie ndio wakamjaza maneno atoe picha
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Hahahahah kabisa, inaonesha ni jinsi gani akili yake inaishia kwenye urefu wa mkojo wake akichutama..Wanawake wenye akili za hamisa ndo watakubali huu upuuzi aloufanya
Kama umeelewa hapo nasi utakuwa unaelewa na 'kifuatacho'!afu mshikaji we zwazwa kweli..Ulitaka aache mali za wanawe zichukuliwe na watu wengine??? zari ni mwanamke strong na ndio maana amekuwa imara kuilea familia yake na hata wale watoto wake wakubwa
ile familia waswahili tuu lazima wamchague mswahili mwenzao ,,,ila zari wanamponda tuu ila wengi wao wanatamani kuwa na mwanamke strong tena anaye jielewa kama yulewanamzingua tu zari hapa.hakuna lolote...angekuwa na akili angemweleza zari tangu hiyo mimba ipo.ili waelewane ndani..Kitendo cha kuendelea kuficha hadi kuumbuliwa ni usaliti mkubwa kwa zari.
Infact imesemwa sana kuwa mama yake na familia nzima wanampenda huyo mobeto zaidi ya zari.Kuna tukio wote watatu walishona sare.Diamond inabidi amheshimu Mungu.Yule mwanamke wa Kiganda yuko very strong and very focused.Ni mtu ambaye mwanaume yoyote makini angependa kuwa naye
Kwa akili yake mtoto ni wa instagram ha ha ha atamlisha like na 200k ya kisheria sasa pumbavu!hakutumia busara katika hili kabisa amesahau mtoto ni wababa na mama kama baba kakubali na familia inalitambua ilo sijui aliwashwa nini ,,,nahisi alijua atamkomoa zari kumbe laah kajikomoa mwenyewe kujipost half naked nayo ni ufala tuu
aende kwa mange akamshauri waanzishe compaign ya kumchangia huko instagram maana hamisa ndo anavujisha hivi vyote kupitia hao kina mange alaf kwenye media anajifanya no ,,bullshi*Kwa akili yake mtoto ni wa instagram ha ha ha atamlisha like na 200k ya kisheria sasa pumbavu!
tunapunguza stress za makinikia tukisubiri noah zetu mubashara.
HIVI NIPO JF AU FB MBONA SIELEWIELEWI AU JF IMEVAMIWA
Zari bonge la mwanamke yani, nna imani pale ni focus tu amna ushoga wa kupiga umbea zaidi ya few friends wa kufanya nao business na maendeleo zaidi kumind her own business na familia kwanza.ile familia waswahili tuu lazima wamchague mswahili mwenzao ,,,ila zari wanamponda tuu ila wengi wao wanatamani kuwa na mwanamke strong tena anaye jielewa kama yule
We una akili sana!! Yaani huyu Hamisa angekuwa mjanja, angeendelea kuzitafuna za Chibu kwa miaka kadhaa ijayo! Na kwavile wanawake hupenda kutegeshea mimba penye pesa, am sure na mvuto ule alionao angetandikwa mimba ya pili very soon na hivyo kuendelea kula maisha bila stress kwa gia za watoto!!!Tuishie hapa hatutaweza kuelewana. Motive ya Hamisa ipo clear kabisa why alitaka mtoto awe public which was not malezi ni ujinga tu wa Instagram. As a matter of fact hakuna mtoto wa maarufu na maarufu atafichika forever rather wangeagree diplomatic way ya kusolve issues for the baby na sio huu ujinga alofanya.
Mtoto atatunzwa kama mwanzo na muda ukifika baba eke atamchukua, afanye hima kuzaa mtoto wa tatu child support itop up...
Uterus yake mtaji wake tatizo hana nyota ya kuekwa ndani. Aendelee tu kudanga.
Nice dayyyyy.
Aliona kupiga kazi ni ngumu... bora awe anapewa tu ili ashow off insta vizuri.... Yule ana nature ya kudanga sio kutafuta, kwa hela alizonazo majizzo sidhani kama angeomba mtaji angenyimwaYani ile ilikuwa kula na kipofu. Mama mtoto wetu asiteseke gari ya clinic,,,70k kila siku about 500k a week...Labour private dola 3500 akakabidhiwa kwa specialist akajifungue salama...Haya kama haitoshi mtoto kashazaliwa akaambiwa mama angalia basi biashara gani itafaa uweze endesha maisha yako na mtoto vizuri nitakupa mtaji. Japo yalitokea bila kuwa planned ila jamaa aliomba privacy tu ili asivuruge image yake ikiwa ana mwanamke official tayari ndani bi.Zarina hassan.
Hivi ni ubinadamu na uwajibikaji kiasi gani jamaa amefanya kama mzazi wa mtoto hapo mpaka kufikia kuona kuwa eti kuna haja ya ku expose privacy alioomba ummpe kama sio kukosa akili.? Hamisa ni mswahili tu...!
Kunguru hafugiki hata mtoto wa kwanza unaweza kuta sio wa majeyhakutumia busara katika hili kabisa amesahau mtoto ni wababa na mama kama baba kakubali na familia inalitambua ilo sijui aliwashwa nini ,,,nahisi alijua atamkomoa zari kumbe laah kajikomoa mwenyewe kujipost half naked nayo ni ufala tuu
Zarina hassan huwa anafanya biashara gani?Zari bonge la mwanamke yani, nna imani pale ni focus tu amna ushoga wa kupiga umbea zaidi ya few friends wa kufanya nao business na maendeleo zaidi kumind her own business na familia kwanza.
Nahisi anapata shida sana ku cope na waswahili wa Tandale. Ndio maana Diamond hataki kuachia ngazi the woman is very different na wanawake wengi washamba washamba aliowahi kutokaga nao.
Very smart woman, hana mambo ya kitoto kabisa, thus y i feel that kuna haja ya kuwa na mahusiano na wanawake waliokomaa kiakili
.
HIVI NIPO JF AU FB MBONA SIELEWIELEWI AU JF IMEVAMIWA
Wema bado anamsapoti MondiTrue I stand with Kiba haumizwi na skendo za mahusiano hata akiachana na madem zake wala huoni mapovu wala kashfa kimya kimya kama jokate pamoja na kuwa wameachana ila bado alimsapoti alipotoa nyimbo yake