Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Japo ni zinaa,kafanya vizuri kukubali!
At least ile dhambi yake ya kutekelezwa na baba yake imeishia hapo,maana angekataa dhambi ile ile ingeendelea!
Atubu kwa mola wake,na maisha yaendelee!
By the way,nashukuru tumepata damu ya kitanzania,wale waliokuwa wanasema wale watoto aliyozaa na Zari ni wa Ivan watakosa la kusema!
Atapata support kubwa ya wanawake watanzania waliokuwa wanamchukia kwa sababu ya Zari!
 
Unajua huo ni mpango wa familia ya dai wameusuka wenyewe ili kumnanga zari ukiangalia hiyo move
wanamzingua tu zari hapa.hakuna lolote...angekuwa na akili angemweleza zari tangu hiyo mimba ipo.ili waelewane ndani..Kitendo cha kuendelea kuficha hadi kuumbuliwa ni usaliti mkubwa kwa zari.
Infact imesemwa sana kuwa mama yake na familia nzima wanampenda huyo mobeto zaidi ya zari.Kuna tukio wote watatu walishona sare.Diamond inabidi amheshimu Mungu.Yule mwanamke wa Kiganda yuko very strong and very focused.Ni mtu ambaye mwanaume yoyote makini angependa kuwa naye
 
Malaya haridhika wala hafugiki,hawara nae anataka jamii imjue sijui ndio maajabu wa mwanamke wa kiswahili.
Hivi angenyamaza tu angekula kimyakimya ila kakaa na wauzaji wenzie ndio wakamjaza maneno atoe picha

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
hakutumia busara katika hili kabisa amesahau mtoto ni wababa na mama kama baba kakubali na familia inalitambua ilo sijui aliwashwa nini ,,,nahisi alijua atamkomoa zari kumbe laah kajikomoa mwenyewe kujipost half naked nayo ni ufala tuu
 
afu mshikaji we zwazwa kweli..Ulitaka aache mali za wanawe zichukuliwe na watu wengine??? zari ni mwanamke strong na ndio maana amekuwa imara kuilea familia yake na hata wale watoto wake wakubwa
Kama umeelewa hapo nasi utakuwa unaelewa na 'kifuatacho'!
 
wanamzingua tu zari hapa.hakuna lolote...angekuwa na akili angemweleza zari tangu hiyo mimba ipo.ili waelewane ndani..Kitendo cha kuendelea kuficha hadi kuumbuliwa ni usaliti mkubwa kwa zari.
Infact imesemwa sana kuwa mama yake na familia nzima wanampenda huyo mobeto zaidi ya zari.Kuna tukio wote watatu walishona sare.Diamond inabidi amheshimu Mungu.Yule mwanamke wa Kiganda yuko very strong and very focused.Ni mtu ambaye mwanaume yoyote makini angependa kuwa naye
ile familia waswahili tuu lazima wamchague mswahili mwenzao ,,,ila zari wanamponda tuu ila wengi wao wanatamani kuwa na mwanamke strong tena anaye jielewa kama yule
 
hakutumia busara katika hili kabisa amesahau mtoto ni wababa na mama kama baba kakubali na familia inalitambua ilo sijui aliwashwa nini ,,,nahisi alijua atamkomoa zari kumbe laah kajikomoa mwenyewe kujipost half naked nayo ni ufala tuu
Kwa akili yake mtoto ni wa instagram ha ha ha atamlisha like na 200k ya kisheria sasa pumbavu!
 
ile familia waswahili tuu lazima wamchague mswahili mwenzao ,,,ila zari wanamponda tuu ila wengi wao wanatamani kuwa na mwanamke strong tena anaye jielewa kama yule
Zari bonge la mwanamke yani, nna imani pale ni focus tu amna ushoga wa kupiga umbea zaidi ya few friends wa kufanya nao business na maendeleo zaidi kumind her own business na familia kwanza.
Nahisi anapata shida sana ku cope na waswahili wa Tandale. Ndio maana Diamond hataki kuachia ngazi the woman is very different na wanawake wengi washamba washamba aliowahi kutokaga nao.
 
Tuishie hapa hatutaweza kuelewana. Motive ya Hamisa ipo clear kabisa why alitaka mtoto awe public which was not malezi ni ujinga tu wa Instagram. As a matter of fact hakuna mtoto wa maarufu na maarufu atafichika forever rather wangeagree diplomatic way ya kusolve issues for the baby na sio huu ujinga alofanya.
Mtoto atatunzwa kama mwanzo na muda ukifika baba eke atamchukua, afanye hima kuzaa mtoto wa tatu child support itop up...
Uterus yake mtaji wake tatizo hana nyota ya kuekwa ndani. Aendelee tu kudanga.
Nice dayyyyy.
We una akili sana!! Yaani huyu Hamisa angekuwa mjanja, angeendelea kuzitafuna za Chibu kwa miaka kadhaa ijayo! Na kwavile wanawake hupenda kutegeshea mimba penye pesa, am sure na mvuto ule alionao angetandikwa mimba ya pili very soon na hivyo kuendelea kula maisha bila stress kwa gia za watoto!!!

Na kama ulivyosema, there's no way mtoto wa Diamond na Hamisa anaweza kuwa siri kwa 3+ years, no way! Hata Diamond mwenyewe alifahamu kwamba it's just a matter of time lazima ingefahamika tu!!! Na huku mitaani wanaume ndivyo tunavyofanya! Unapiga mimba mchangani; unakubaliana na uliyempiga mimba kwamba "tufanye siri ili mama nanii asijue lakini na-take responsibility!"

Kwa mwanamke mjanja, anapiga kimya provided mwanaume anatimiza wajibu wake! Ukikutana na hawa akina dada zetu tuliokua nao huku Mbagala, hata kama mlikubaliana lazima atafute njia ya kufikisha ujumbe kwa wife!!

Kilichotokea kwa Hamisa ndo kile Waswahili wanasema "Mtaka yote kwa pupa, huko yote!"
 
Yani ile ilikuwa kula na kipofu. Mama mtoto wetu asiteseke gari ya clinic,,,70k kila siku about 500k a week...Labour private dola 3500 akakabidhiwa kwa specialist akajifungue salama...Haya kama haitoshi mtoto kashazaliwa akaambiwa mama angalia basi biashara gani itafaa uweze endesha maisha yako na mtoto vizuri nitakupa mtaji. Japo yalitokea bila kuwa planned ila jamaa aliomba privacy tu ili asivuruge image yake ikiwa ana mwanamke official tayari ndani bi.Zarina hassan.

Hivi ni ubinadamu na uwajibikaji kiasi gani jamaa amefanya kama mzazi wa mtoto hapo mpaka kufikia kuona kuwa eti kuna haja ya ku expose privacy alioomba ummpe kama sio kukosa akili.? Hamisa ni mswahili tu...!
Aliona kupiga kazi ni ngumu... bora awe anapewa tu ili ashow off insta vizuri.... Yule ana nature ya kudanga sio kutafuta, kwa hela alizonazo majizzo sidhani kama angeomba mtaji angenyimwa
 
hakutumia busara katika hili kabisa amesahau mtoto ni wababa na mama kama baba kakubali na familia inalitambua ilo sijui aliwashwa nini ,,,nahisi alijua atamkomoa zari kumbe laah kajikomoa mwenyewe kujipost half naked nayo ni ufala tuu
Kunguru hafugiki hata mtoto wa kwanza unaweza kuta sio wa majey

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Zari bonge la mwanamke yani, nna imani pale ni focus tu amna ushoga wa kupiga umbea zaidi ya few friends wa kufanya nao business na maendeleo zaidi kumind her own business na familia kwanza.
Nahisi anapata shida sana ku cope na waswahili wa Tandale. Ndio maana Diamond hataki kuachia ngazi the woman is very different na wanawake wengi washamba washamba aliowahi kutokaga nao.
Zarina hassan huwa anafanya biashara gani?
 
True I stand with Kiba haumizwi na skendo za mahusiano hata akiachana na madem zake wala huoni mapovu wala kashfa kimya kimya kama jokate pamoja na kuwa wameachana ila bado alimsapoti alipotoa nyimbo yake
Wema bado anamsapoti Mondi
 
Back
Top Bottom