Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,523
Japo ni zinaa,kafanya vizuri kukubali!
At least ile dhambi yake ya kutekelezwa na baba yake imeishia hapo,maana angekataa dhambi ile ile ingeendelea!
Atubu kwa mola wake,na maisha yaendelee!
By the way,nashukuru tumepata damu ya kitanzania,wale waliokuwa wanasema wale watoto aliyozaa na Zari ni wa Ivan watakosa la kusema!
Atapata support kubwa ya wanawake watanzania waliokuwa wanamchukia kwa sababu ya Zari!
At least ile dhambi yake ya kutekelezwa na baba yake imeishia hapo,maana angekataa dhambi ile ile ingeendelea!
Atubu kwa mola wake,na maisha yaendelee!
By the way,nashukuru tumepata damu ya kitanzania,wale waliokuwa wanasema wale watoto aliyozaa na Zari ni wa Ivan watakosa la kusema!
Atapata support kubwa ya wanawake watanzania waliokuwa wanamchukia kwa sababu ya Zari!