Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Ila Zari jamani anajionaga mzuri na Diamond hawezi tongoza mwanamke mwingine apa dunia...ila yamemkuta kiumbe mwenzangu mungu ampe uvumilivu nahisi leo atazidi kumkumbuka [HASHTAG]#IVAN[/HASHTAG] the DONE
 
Watu wanampongeza Diamond kwa sababu alikuwa anampa Hamisa 70k kwa siku ni kama alikuwa anamlipa hela ili akae kimya.

Kwenye interview kuna wakati anasema eti kuna siku alikuwa anaenda kumuona mtoto ila akaahirisha kwa sababu aliambiwa kategeshewa shilawadu wampige picha,baba wa namna gani unaogopa kuonana na mwanao kisa wambea!!?
 
Watoto wa tandale piga Keleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tatizo ni kushikiwa akili na mitandao ya kijamii badala ya kutumia akili... makosa yametokea tayari basi rekebisha kwa kutumia akili na kuhakikisha wewe na mwanao ni priority.
 
Wewe uoni kwamba dai huyo mtoto angemfanya kama mtu ambae anamke alafu pembeni anamchepuko
 
Ila Zari jamani anajionaga mzuri na Diamond hawezi tongoza mwanamke mwingine apa dunia...ila yamemkuta kiumbe mwenzangu mungu ampe uvumilivu nahisi leo atazidi kumkumbuka [HASHTAG]#IVAN[/HASHTAG] the DONE

Kama umeumbwa kutokujiamini na kujikubali basi unatia huruma zari anajiamini na kujikubali ndo mana diamond kasema atatambaa had south anajua msimamo wa baby mama wake
 
Tusi judge sana kwa kusikiliza stori upande mmoja ngoja Hamisa aitwe tubalance story tuone Nani mjinga kati Yao usikute ahadi zilikuwa hewa hazikutimilizwa je
Au aliahidiwa makubwa zaidi je tuliza munkari
Yule demu story zilizopo aliaidiwa ndoa
 
Kwahiyo ww unaamini hamisa alibeba mimba ya diamond kwakuwa anampenda sana?!...je kwa majizo napo ilikuwa ni kwa mapenzi?!
 
Maneno yako mazuri unajua wengine hayajawafika haya ndo maana wanachukulia kirahisirahisi ...inahitaji sana hekima kwa ku-handle haya mambo maana siku zote malezi ya mtoto yanatakiwa yaende sambamba mahusiano mema ya wazazi hata kama wameachana ama mmoja yupo kwenye mahusiano yake
 
Kwahiyo ww unaamini hamisa alibeba mimba ya diamond kwakuwa anampenda sana?!...je kwa majizo napo ilikuwa ni kwa mapenzi?!
Anajua mwenyewe moyoni mwake coz kila aliyezaa ndo anajua kwa nini ameamua kuzaa.
 
Anajua mwenyewe moyoni mwake coz kila aliyezaa ndo anajua kwa nini ameamua kuzaa.
Basi tuache kusema kama hakufuata umaarufu na hela za diamond kama kweli tunaamini ukweli anao mwnyw moyoni
 
Familia nzima wenyewe wanajuana eti hadi ampost kwenye page yake ndo anakua baba kamili
 
Yule demu story zilizopo aliaidiwa ndoa
Atakuwa mpumbavu kama aliamini! Na hata kama kweli, ndo hapo alipotakiwa kupeleka mambo kimya kimya! There's no way mwanaume mwenye familia anaweza kutangaza hadharani kirahisi rahisi tu kwamba kapiga mimba kwenye mechi za mchangani!!

Nadhani alipobugi Hamisa ni ile kuona Zari sio mke wa ndoa kumbe ndoa sio makaratasi wala kiapo mbele ya sheikh au padri bali ni commitment! Hata kama ndo imefungwa kanisani au msikitini jana; kama haina commitment, hiyo sio ndoa compared na maisha ya uhawara yenye commitment ndani yake!
 
Ubinafsi na kukomoana ni ugonjwa mbaya sana.... Mama inabidi uwe makini sana katika maamuzi sababu mtoto wewe ndio unashinda nae na kadiri anavyozidi kukua unazidi kumuelewesha situation kulingana na umri wake.
Uadui ukiwepo ni bora ukaishia kuwa uadui wa kawaida lakini sometimes mara kurogana, mara kuwekeana vikwazo katika maisha ya kila siku, kuuana, kujeruhi.... etc. Why kufika huko while kila mtu akikubali makosa yake na kufikia muafaka kusimamia njia sahihi maisha yanaendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…