If this what you think upo Mars, duniani huwa mtoto hapotei kwa baba yake. As long as yupo hai wataonana tu na kwa mzee aliemridhia atampigisha bata tu kwa uwezoWewe uoni kwamba dai huyo mtoto angemfanya kama mtu ambae anamke alafu pembeni anamchepuko
Hamisa hamna kitu kichwa ni ziro kabisa.Hajui kula na kipofu atakuwa amepoteza vingi kwa Naseeb kwa kutaka sifa au kushinda na Zari.
Yeye alitakiwa apige kimya mpaka ajue msimamo wa mtoto wake atapata nini?
Tangu mimba alianza kujishaua,mwanaume mwenye familia yake huwa hawapendi ujinga wa hivyo hata kama amechepuka lkn huwa wanapenda mchepuko uwe na usiri na heshima kwa familia yake.
kuishi kwa kutegemea K kuna muda wake hata uwe mzuri kama pesa.
Mshamba huyu demu, nimem devalue kwa kasi ya hisa za accacia toka world marketMalaya haridhika wala hafugiki,hawara nae anataka jamii imjue sijui ndio maajabu wa mwanamke wa kiswahili.
Hivi angenyamaza tu angekula kimyakimya ila kakaa na wauzaji wenzie ndio wakamjaza maneno atoe picha
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Yeye alifungua account ya mwanae akaweka majina yake na ya baba wabongo tukafanya yetu umbea. Na Mtu mwenye ukurasa akiandika na kupost mzazi wa mwanae sio mbayaSikh hizi tunatambulisha baba za watoto istagram ?
Any way hawa malaiika watakuja kutuuliza mengi na wakati huo ni watu wazima hatutakuwa na majibuYeye alifungua account ya mwanae akaweka majina yake na ya baba wabongo tukafanya yetu umbea. Na Mtu mwenye ukurasa akiandika na kupost mzazi wa mwanae sio mbaya
jamani Mobeto asingefanya vile Dai angeendelea kukataa mtoto.... ilibid afanye vile akubali mtoto hafichiki kama motoYule demu story zilizopo aliaidiwa ndoa
Maneno kuntuAtakuwa mpumbavu kama aliamini! Na hata kama kweli, ndo hapo alipotakiwa kupeleka mambo kimya kimya! There's no way mwanaume mwenye familia anaweza kutangaza hadharani kirahisi rahisi tu kwamba kapiga mimba kwenye mechi za mchangani!!
Nadhani alipobugi Hamisa ni ile kuona Zari sio mke wa ndoa kumbe ndoa sio makaratasi wala kiapo mbele ya sheikh au padri bali ni commitment! Hata kama ndo imefungwa kanisani au msikitini jana; kama haina commitment, hiyo sio ndoa compared na maisha ya uhawara yenye commitment ndani yake!
Mkuu mpaka leo bado unatumia fb?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nahisi hamisa hiki ndo alichokuwa anakitaka
Nguvu uloitumia kuusoma huu Uzi na kujibu ungeweka kwenye mambo ya msingi ungeingiza sh ngap!Nguvu uliyotumia kuandika huu uzi na kumfuatilia mond ungeipeleka kwenye mambo ya Msingi ungeingiza japo Buku..