Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Kwani tatizo liko wapi zari kazaa watoto na wanaume wawili na mond na yeye kazaa watoto na wake wawili.. ...
Si kwa mashauzi yale lazima aumie Mganda alimrusha roho Ivan kajua kumuua mwenzake kwa presha maana si kwa kuzaa bandika bandua mtoto wa kwanza anazaliwa amekaa miezi mi3 anazaliwa wa2. Hapana chezea wanaume wandalae na wote pigeni keleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hivi kumkataa mtoto ni kutokumpost eeeh
ndio maanake humpost mtoto alaf unampost mama yake unamtukana kua malaya wewe sema ukweli mtaje aliekupa mimba na uyo mzazi mwenzako mnamshambulia mtu mmoja.
 

Wewe nae embu sikiliza interview vizuri. Diamond alikua involved na mtoto sio matunzo tuu alikua anaenda kuona mtoto na anacheza nae na ana spend time nae. Makubaliano yalikua ni kutokutangaza in public kwamba wamezaa na Hamisa alikubali. Kama angeendelea na makubaliano mtoto angekua akimjua baba yake na tena angekua angekua na maisha normal kushinda akina Tiffa ambao wameshawekwa public kila mtu atakua anawawatch na privacy yao ingekua ngumu.
 
Ila swali kwa nini mond alikua anamuita hamisa malaya anampost kabisa yeye na zar wanamtukana tena nakumbuka post iyo baada ya kujifungua tu kalud home baada ya siku 2. Kashaamua kunya amalizie na kujichamba tu hakuna jinsi
 
Kiukweli licha ya kutoipenda couple ya Dai na Mobeto lakini huyu Mobeto anaonekana ni mtamu sana kitandani kuliko mademu wote aliotoka nao Diamond.

Licha ya Mobeto kutokuwa na sifa ya wife material kutokana na ukweli kwamba ni mfujaji hodari wa mali , kupenda starehe kupindukia pia uswahili uliomjaa lakini ukweli unabaki pale pale huyu Mobeto ni moto wa kuotea mbali likija suala zima la kitandani .











Hawa wengine kama vile Wema,Wolper ,Zari ,Penny ,Jokate nk ni wazuri pia ila kwa Mobeto wanasubiri sana .

Ila yote kwa yote Mobeto ni msichana wa Ku eat and run si msichana wa kumuweka ndani kama mke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…