Advicer
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 560
- 281
mambo ya binadamu hayo.....eheee sema jimwage leo...hii interview ilibidi ahojiwe na mchomvu na B12 na sudi mbea wetusaa 10:30
washaintroduce kuwa leo watakuwa na diamond. na inaonekana hii interview inasubiriwa sana kwa sababu wamesema wanaungana na clouds tv. sasa hivi zinapigwa ngoma katika kusogeza sogeza muda. now linapigwa dude la young killer ft harmonize.
saa 10:45
inapigwa ngoma ya ben pol..kidume.
saa 10:47
inapigwa ngoma ya joh makini ft. davido. tuendelee kusubiri
saa 10:51
inapigwa nyimbo ya Nandi sijui inaitwaje...nasikia tu moyooo moyoooo...tundelee kuwa wavumilivu wapenda ubuyu wenzangu.
saa 11:03
mahojiano ndo yameanza..
saa 11:03
diamond: ni mimi ndiye huposti kwenye account yangu ya instagram. sijawa maarufu kiasi cha kuajiri mtu kwa ajili ya konipostia.
saa 11:13
anaaanza kutoa maelezo..lakini ameanza kwa kusisitiza kuwa kuwa mtoto siyo wake. na anaanza kama ifuatavyo
saa 11:15
daimond: hamisa tumefahamiana naye kuanzia 2010 na tukawa na mahusiano lakini tukaachana. ilikuwa ni kabla ya kuanza mahusiano na wema.
sasa 11:23
katikati aliingia shetani lakini nikamwambia kuwa nina familia. haya tuliyofaya tubaki siri yetu mimi na wewe. nikampigia nikamuuliza lakini akasema yeye hahusiki. lakini baadaye akaniambia kuwa ana ujauzito wangu. na nikaanza kuilea lakini nikamwambia ninailea kwa sababu kama baba. zari alikuwa akiniuliza nikawa namwambia ni uzushi.
saa 11:28
nilimwambia kuwa mimi kwa namna yoyote siwezi kuachana na zari.
mama yake alinifuata akaniuliza kwa nini siongei na mwanae mimi nikamwambia kuwa mwanao anachukua karibu laki tano kwa wiki, nimemnunulia rav 4 na nimemwambia kuwa atafute mradi mimi nikamsadia.
nilitoka London na nilipofika nikalala na mwanangu
Update nyingine kufuata.