Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

saa 10:30
washaintroduce kuwa leo watakuwa na diamond. na inaonekana hii interview inasubiriwa sana kwa sababu wamesema wanaungana na clouds tv. sasa hivi zinapigwa ngoma katika kusogeza sogeza muda. now linapigwa dude la young killer ft harmonize.

saa 10:45
inapigwa ngoma ya ben pol..kidume.

saa 10:47
inapigwa ngoma ya joh makini ft. davido. tuendelee kusubiri

saa 10:51
inapigwa nyimbo ya Nandi sijui inaitwaje...nasikia tu moyooo moyoooo...tundelee kuwa wavumilivu wapenda ubuyu wenzangu.

saa 11:03
mahojiano ndo yameanza..

saa 11:03
diamond: ni mimi ndiye huposti kwenye account yangu ya instagram. sijawa maarufu kiasi cha kuajiri mtu kwa ajili ya konipostia.

saa 11:13
anaaanza kutoa maelezo..lakini ameanza kwa kusisitiza kuwa kuwa mtoto siyo wake. na anaanza kama ifuatavyo

saa 11:15
daimond: hamisa tumefahamiana naye kuanzia 2010 na tukawa na mahusiano lakini tukaachana. ilikuwa ni kabla ya kuanza mahusiano na wema.

sasa 11:23
katikati aliingia shetani lakini nikamwambia kuwa nina familia. haya tuliyofaya tubaki siri yetu mimi na wewe. nikampigia nikamuuliza lakini akasema yeye hahusiki. lakini baadaye akaniambia kuwa ana ujauzito wangu. na nikaanza kuilea lakini nikamwambia ninailea kwa sababu kama baba. zari alikuwa akiniuliza nikawa namwambia ni uzushi.

saa 11:28
nilimwambia kuwa mimi kwa namna yoyote siwezi kuachana na zari.

mama yake alinifuata akaniuliza kwa nini siongei na mwanae mimi nikamwambia kuwa mwanao anachukua karibu laki tano kwa wiki, nimemnunulia rav 4 na nimemwambia kuwa atafute mradi mimi nikamsadia.

nilitoka London na nilipofika nikalala na mwanangu

Update nyingine kufuata.
mambo ya binadamu hayo.....eheee sema jimwage leo...hii interview ilibidi ahojiwe na mchomvu na B12 na sudi mbea wetu
 
Hahah mwanaume gani atamuoa, juzi majay alilalamika kwamba hamisa bado anamng'ang'ania
Mtu unaambiwa tafuta biashara nitakusupport we upo busy kumrecord umuumize mke mkubwa, asee huyu dada mjinga ajabu
Familia ya bint walitaka kumtumia dai kujinufaisha lakini pia walitegemea kuzaa kwa hamisa dai ataachana na zeboslady....
 
Nyota yake haina shida,mushkeli uko kichwani mwake.demu wakawaida kama yule kuwa na umaarufu alionao ni nyota tosha.
Umaarufu wa nini that's the question..
Nyota gani kupata wanaume wenye hela ila kuishia kuzalishwa, mwenzetu anatumia kizazi chake kumuweka mjini lol
 
Hahah mwanaume gani atamuoa, juzi majay alilalamika kwamba hamisa bado anamng'ang'ania
Mtu unaambiwa tafuta biashara nitakusupport we upo busy kumrecord umuumize mke mkubwa, asee huyu dada mjinga ajabu
Brenda umeona ujinga wa hamisa sasa , mond bado utamlaum?
 
Hongera Hamisa usingevujisha picha, Diamond asingekubali. Finally kanyooka kama shati na sketi ya shule enzi zile.
Unamsikiliza Mondi? Hakukataa ila conditions alizowekewa ndio alikiuka! Nyinyi ndio mmemponza kuna ma side chick wa watu wakubwa nchi hii wanakula neema kwa sababu wako kimya na wana privacy, huyu demu angetulia angetoka kupitia mtoto sasa hivi atakua anakula child support tu
 
Familia ya bint walitaka kumtumia dai kujinufaisha lakini pia walitegemea kuzaa kwa hamisa dai ataachana na zeboslady....
To be specific ni mama wa binti, mdangaji basi na mwanae nae ndio kafundishwa azae ili kupata kitu,aibu kwao
 
Nlipitwa hiyo ya majay kulalamika..... ilikuaje?
Hahah mwanaume gani atamuoa, juzi majay alilalamika kwamba hamisa bado anamng'ang'ania
Mtu unaambiwa tafuta biashara nitakusupport we upo busy kumrecord umuumize mke mkubwa, asee huyu dada mjinga ajabu
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Mbona ameshakubali mkuu eti shetani alimpitia dah shatani huyu anabebeshwa mizigo kweli aise
 
Hakukua na sababu ya Mond kumkataa mtoto anayempa huduma kwa maneno ya kinywa chake redioni. Kitendo kile ni bora hata hiyo huduma asingetoa kwa maana hata mtoto akikua atayakuta haya tunayoyafanya Leo kwenye social media na huo uhusiano wa baba na mtoto unaousema hapa hautokua mwema si kwa sababu ya Hamisa ila ni kwa sababu ya Diamond mwenyewe, kwa maana hakuna sehemu Hamisa aliyomtukana Diamond ila Mond amenukuliwa mara kadhaa akimtukana Hamisa na mwanae.
N.B mtoto atakua tu hata bila huduma ya baba,wanawake wa Leo sio wa mwaka 47 umshushie kichapo alafu avumilie tu kisa anawaza watoto atawapeleka wapi
Word
 
Unamsikiliza Mondi? Hakukataa ila conditions alizowekewa ndio alikiuka! Nyinyi ndio mmemponza kuna ma side chick wa watu wakubwa nchi hii wanakula neema kwa sababu wako kimya na wana privacy, huyu demu angetulia angetoka kupitia mtoto sasa hivi atakua anakula child support tu
Ni muda tu,soon mtoto wa pili anakuja. Na kwa nini alitaka mwanae awe private ? Tofauti ya Dully na wa South Africa ni nini ?
 
Back
Top Bottom