Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Ajabu sana laki tano kwa wiki, rav 4 na matusi debe eti anyamaze mbona mama yake Dai alimtunza ht hizo laki mbili hakuwa anapewa? mie Hamisa ni shujaa wangu tena kama mnafuatilia kwa undani binti huyu asingefikia kutoa zile picha kama mzazi mwenzie angemheshimu, amechukua muda sana. Haki ya mtoto ni muhimu kuliko pesa na matusi.

Kinachoonekana huyu mondi kazoea gonga nisepe kama alivyofanyia wengine sasa kakutana na luba safari hii wacha aisome namba kwanza
 
Aah aisee nimezidi kuwashangaa hawa ndugu zetu wanaovaa suruali. Mtu yupo busy "nimempa sh ngapi sijui vitu gani" Aah afu sijui alikuwa anavitoa huku moyoni vinamuuma, huto tuvitu ndo tu tungereplace "acceptance" yake kwa mwanae? Nonsense, amshukuru Hamissa kamsaidia kuondoa dhambi ya kumkana mwanae, tena afanye na TOBA
Kwa mwanaume kama mimi kosa la diamond kubwa ni kumkana mtoto on public siku ya interview, lile swali alitakiwa ajibu kwa sura mbili 1. Angewaeleza waandishi sipo tayari kujibu hilo swali lakini muda mwingine nitajibu 2 . Angekubali mtoto ni wangu lakini sina mahusiano zaidi na mama yake naomba radhi kwa familia yangu na mashabiki na wote waliokwazika na hili.
 
First dating 2010, wakarudia tena wakatoa nyimbo ya salome, means mapenzi yalikua ya muda mrefu hayo halafu mnataka nini tena simply yameisha
 
Hehehe wanaume wa kiafrika ni [emoji90][emoji90][emoji90]
Hehehehe....haya heri yetu harufu inatoka kwenye tundu moja ......wenye mawili sasa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni ujinga mtupu kutaka Zari na mondi waachane Mimi nlikua nataka mtoto apate public recognition only that
Tena angemkubali mapema sidhani hata kama ingekuwa big deal kwa Zari, japo yes angeumia and all that but, sidhani kama Zari angemuacha Dai kisa kuzaa na Hamissa, hata baada ya kuwa baby momma, she will never be a threat to zari. "Acceptance" kitu cha msingi sana
 
Nampongeza Hamisa ana akili nyingi sana japo watu wanamuona mjinga. Baba wa mtoto ni huyo na mtoto keshazaliwa na alichofanya ni kuweka wazi tu majina ya baba wa mtoto hajaongeza neno.

Eti hajui kula na kipofu! Kula nini? Ili baadae mtoto amlaumu mama umenificha babangu na baba ajitetee ni mamako alikuwa hataki tujuane vizuri.
Hamisa aendelee kutukanwa kinuka chupi, bitch n.k wakati walikata mauno wote, angejua ana familia angejiheshimu au anunue malaya wa usiku mmoja avae condom ngumu.

Mi siyawezi ya Hamisa ila anayeweza ukizaa na mtu usifiche awajibike kwa mauno yako ova.
Sikh hizi tunatambulisha baba za watoto istagram ?
 
So officially Diamond ana watoto wawili wa kwake I mean biologically Tifah na huyu nani vileeee Prince Abdul! Hongera zake. Tulizana sasa ujenge familia ndani ya Madale
 
Kinachoonekana huyu mondi kazoea gonga nisepe kama alivyofanyia wengine sasa kakutana na luba safari hii wacha aisome namba kwanza
Kakutana na mtaalam usikute kamtegeshea makusudi

Hili ni funzo kwangu
 
Kila mtanzania na mtu yeyote popote Leo hii anajua mtoto wa Hamisa ni Abdul Naseeb na sio Abdul asiyejulikana. Huo tu ni ushujaa baada ya kukataliwa hadharani na hayo Mengineyo ya matunzo sheria itachukua mkondo wake pale Diamond ataposhindwa kufanya hivyo maana Ustawi wa jamii wapo kwa ajili yao
Je diamond angemkana leo asingekua mtoto wake?

Mwanaume ameikubali mimba,ameilea na anamuhudumia mtoto shida iko wapi?familia ya dai inajua hakuna aliyekataa mtoto ila hamisa alikua anataka umaarufu aonekane na dunia nzima kua kazaa na daimond
 
Back
Top Bottom