Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema hadi wamezidiwa na Ally KibaAende crown FM ya alikiba
Wabongo mnatambiana elimu vichekesho!!Msaliti mkubwa ni elimu yake...
Clouds acheni kujishusha aisee ,mnakubalije kufanya mahajiano na kiumbe ambae mdomo wake hauna brake?
Chadema mna lipi la kusingizia, au nae lema amepata maelekezo kutoka juu.?😆😆😆😆😆
Kumbe na wao wanapata maagizo kutoka juuClouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
Naelewa lakini hizi ziko kwa akina Lema tu ?Dharula ni nyingi ... nyingine ni za binafsi mkuu.
Cdm wangesema ni maagizo toka serikalini I!Naelewa lakini hizi ziko kwa akina Lema tu ?
Hebu fikiria kama dharula ingekuwa upande wa Cloud TV/Radio
Tatizo sheria za vyombo vya habari Tanzania haziko fairNaelewa lakini hizi ziko kwa akina Lema tu ?
Hebu fikiria kama dharula ingekuwa upande wa Cloud TV/Radio
Huyu binamu yake Mbowe ,ana nini cha kupngea zaidi ya kulaani watu na kujiita yeye ni mchaggaa?
Waanzishe radia yao ,yaani wanzidiwa na Ally Kiba? Hii misukule inayojiita akili kubwa wanatia aibu aiseeCdm wangesema ni maagizo toka serikalini I!
Ajabu hamuulizi kwa nini wasafi hawamuita Lisu mpaka leo!! Hivi vyombo vya habari ambavyo vingi ni mateka wa ccm, nini utaamini kutoka kwao? Kama maandamano ya Chadema ambayo yaliruhusiwa na serikali hata TBC chombo cha umma hakikuonyesha hamshangai na hamlalamiki, kweli nyie ni kuhurumiwa sana.Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
😀Chadema hadi wamezidiwa na Ally Kiba
Kwa mara ya kwanza ningesikiliza mahojianoLakini dharula jambo la kawaida ila somo limeeleweka kwamba Watanzania huwa wana hamu kubwa kuwasikiliza hawa wasio ogopa kuikosoa serikali.
Leo kuanzia saa 12 asubuhi watu wengi wali tune Clouds FM ili wamsikie Lema, kuliko hata ingetangazwa Majaliwa au Makamba atakuwepo hapo.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app