Mahojiano ya Lissu: Hoja tatu kuhusu Abdul kumtembelea nyumbani kwake

Kwa nini unaandika ujinga badala ya kuachia watu wenye uwezo kuhoji?
 
Ni Kweli makengezeza hakatai bahasha ilio nona. Pia ni selfish kwenye mgao. Coz yy ni Mtoto wa mjini hawezi kuishi kifala. Japo ni mwenye kuwapa promo madogo janja Wengi hivyo kajijengea u godfather flan Ivi.
Na hawezi kuachia ngazi Hata DK 1, coz Ndio anaitumia kama fimbo.
Ni mwenye kuvunja makubaliano Muda wowote, anaponusa harufu ya Ankara ,
 
Halafu eti alidai "risiti"!

Toka lini mlipaji ndiye mtowaji risiti?
 
Jambo pekee la maana nililo soma kwenye mada yako hi imbovu ni moja tu -Matatizo makubwa yanayoikumba CHADEMA sasa hivi.
Mengine yote ni takataka tupu.
Ukitaka nipoteze muda kukuonyesha takataka zilipo nitakuonyesha.
 
Nisaidie kuipata video uliyoizungumzia hapa tafadhali.
 
Umeandika pumba nyingi sana hapa, kuhusu Covid 19 kila mtu ameona wanavyolindwa na Bunge la Spika Tulia, pamoja na mahakama za Samia, hapo Mbowe anahusika vipi?

Leta connection ya uhusika wa Mbowe kwenye bunge na mahakama kuwahusu hao Covid 19.
 
Umeandika pumba nyingi sana hapa, kuhusu Covid 19 kila mtu ameona wanavyolindwa na Bunge la Spika Tulia, pamoja na mahakama za Samia, hapo Mbowe anahusika vipi?

Leta connection ya uhusika wa Mbowe kwenye bunge na mahakama kuwahusu hao Covid 19.
Hivi ulienda Shule ? Mlijifunza somo la ufahamu ?
 
Wewe Lumumba Fc acha uongo.

Chadema is here to stay.

Haters mtapata shida sana mwaka huu.
 
Kwamaba Mbowe baada ya ule uchafuzi wa Magufuli alikaa meza moja na magufuli kuunda covid 19??

Hapa Britanica umetupiga on broad Daylight
 
Yaani ukamuhonge Tundu Lissu, ingekuwa rahisi hivyo angeshahongwa kitambo. Hata hivyo naona ni Mungu kaamua kuwaumbua ili Tanzania ipone kutoka mikononi mwa watu hao ifikapo uchaguzi hawataaminika tena.
Absolutely, Yes..

Taratibu wanakuwa dismantled..
 

Umenitaja ili kujipatia umaarufu nini? Mimi toka Mbowe amempokea Lowassa msimamo wangu uko wazi kuwa hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm. Tunaweza kupishana kwenye uwasilishaji maana mimi sitoi maoni yangu kwa utashi wako.
 
Siku hiyo haiwezekani Abdul awe alibeba pesa za kumpelekea Lissu kwa sababu kiwango walikuwa hawajakubaliana. Je angebeba pesa kiasi gani bila kuafikiana dau. Kwa uelewa wangu siku hiyo ilikuwa ni mazungumzo ya kuwekana sawa wakishakubaliana kiwango cha rushwa ndio sasa Abdul angerudisha ripoti na utaratibu ungefanyika wa Lissu kupewa hizo pesa.

Kwa thamani ya Lissu kwa sasa pesa isingepungua shilingi bilioni moja na pengine angehitaji alipwe kwa dola na angeelekeza alipwe kwa njia gani. Na hapa madalali au akaunti za siri nje ya nchi hutumika.

Kuhusu kupelekwa na huyo kiongozi wa CHADEMA hilo sio kosa kwa sababu ni kawaida ukiwa na maelewano ya karibu na mtu unaweza kuombwa umuunganishe huyo mtu na mwingine kwa mazungumzo hasa yanapokuwa ya mahasimu wawili na sio busara kukataa. Watu hawakatai wito wanakataa ujumbe. Hivyo kumlaumu huyo kiongozi ni ufinyu wa uelewa..
 
Umenitaja ili kujipatia umaarufu nini? Mimi toka Mbowe amempokea Lowassa msimamo wangu uko wazi kuwa hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm. Tunaweza kupishana kwenye uwasilishaji maana mimi sitoi maoni yangu kwa utashi wako.
Nakukubali sana kamanda mwenzangu. Una msimamo thabiti kama mimi.
 

Akili ikiwekwa kando una ruksa ya kuandika chochote.
Abdul hajasena amemleta hela ya matibabu ila alikuwa na hoja ya kutaka kumsaidia hela na Lisu akasema msaada si muhimu kwake labda amwamvie mama yake amlipe hela yake halali ya matibabu.
Propaganda siku hizi siyo dili ya teuzi. Uliza waliokutangulia.
 
We ni mnafki sana na ndo tatizo la watanzania wengi sana ikiwemo wewe

Kipindi cha magufuli madiwani wa chadema na wabunge wengi walinunuliwa wazi wazi unashangaa hilo la lissu hii nchi inatatizo kubwa la unafki
 
Na wewe ni wale wale
Tatizo la nchi hii ni ccm ambao wanaweza mhonga mtu wazi wazi na wasichukuliwe hatua zozote zile ilianza kipindi cha magufuli na sasa kipindi cha samia

Mbowe kipindi cha magufuli kataifishwa mali zake nyingine zimeharibiwa account zake zemefungwa zimekuja kufunguliwa baada ya magufuli kufariki na bado unasema tatizo ni mbowe nchi hii tunasafari ndefu sana hatujui adui yetu ni nani

Jaribu kuvaa viatu vya mbowe kama mwenyekiti w chadema uone kama ni kazi rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…