Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Tupo pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuTupo pamoja
Kwahiyo umemkumbuka Shemeji yako ndio ukaamua kuandika " Shem on you "Swali la kijinga hili Shem on u
Wakuu mnabishana nn??Kwahiyo umemkumbuka Shemeji yako ndio ukaamua kuandika " Shem on you "
Hakuna anayebishana , angalia huyo mjinga alichokiandikaWakuu mnabishana nn??
Paulo jacob kagame=Nelson jacob kagame!!?Sawa mkuu tupo pamoja
Mkuu umeuliza maswali matano kwa wakati mmmoja 🤣🤣🤣 afu yamekaaa kijasusi kweli kweli z🤣🤣Paulo jacob kagame=Nelson jacob kagame!!?
We jamaa!!
Kuna move ya kuruhusu free movement kuingia Rwanda bila visa je mjomba amechoka anataka kuruhusu demokrasia ndani ya Rwanda au kwa move hii kaandaa ambush nyingine ambayo itakua na mwelekeo mpya wa Rwanda ijayo!?au ni mtego kwa maadui wake waone sasa Rwanda ni shwari Ili waje washughulikiwe!!?
Au ameshankula mkataba wa dp world hivyo ana uhakika wa ulaji wa ukoo wake hata akiwa nje ya madaraka!!?
Hebu nijibu we jamaa!!
Ameandikaje mkuu?Hakuna anayebishana , angalia huyo mjinga alichokiandika
Jibu maswali mkuu!!Mkuu umeuliza maswali matano kwa wakati mmmoja 🤣🤣🤣 afu yamekaaa kijasusi kweli kweli z🤣🤣
Nasubiria kwa hamu!!INAENDELEA...........!!!!
Afande ""F""""anasema kua alikua anafikiria kujitoa jeshini either kwa kukimbilia nchi ya Zaire au Tanzania maana alikua anaona kabisa hali ilipokua inaelekea kutakua na uvunjikaji wa amani nchini mwake,ila kilichokua kinamzuia ni kiapo chake mbele ya kamandi kuu ya jeshi.
JANUARY 22 1988.....!!!!! KIGALI (CHIGALI) RWANDA.
Ilikua ni siku ya kawaida kama siku zingine na alikua anashuka anashuka kwenye gari lake la kijeshi ili kuingia ndani kwake kupumzika,ila aliyeanza kushuka ni mlinzi wake binafsi ambae aliambulia risasi za kichwani na kufa pale pale huku gari lake likishambuliwa na risasi za kutosha kabla ya wahusika kukimbia kwa gari nyingine.
Unajua afande""F"" alikua na utaratibu wa kutembea na walinzi tofauti na makanali wengine,na hili tukio kusema kweli lilimvunja moyo saana.Maana hata uchunguzi uliofanywa na jeshi kuhusu hili jaribio la kumuua ulikuawa juu juu tu usiokua na majibu ya kuridhisha.
Lakini alipofanya uchunguzi binafsi aligundua kua ule mpango ulisukwa na makanali wenzie ambao walikua na mipango yao kichwani na walimwona afande""F""kama tishio kwao,kwa msimamo wake wa kukataa kuchanganya jeshi na siasa sababu alijua litapoteza weledi wake wa kufanya kazi kwa ufanisi kama taaluma ya kijeshi inavyotaka.
TURUDI KWENYE MPAKA WA MJI WA GATUNA KATI YA RWANDA NA UGANDA 1988:
Toka yale mashambulio ya mwaka uliopita yaani 1987 hali ya pale mpakani ilikua tete na shughuli nyingi za kiraia kwa upande wa pande mbili zote zilisitishwa na kulikua na harakati tu za kijeshi za waziwazi hasa ule upande wa uganda.
Na ilikua wazi kabisa kua kuna vikundi vya waasi vinavyosaidiwa na serikali ya Uganda ili kuleta hali ya sintofahamu upande wa Rwanda.
Magari ya kivita na maroli ya kijeshi yaliyokua yanawasusha na kuwapakia watu wakiovalia sare za jeshi la Uganda ila walionekana kabisa waziwazi ni wanyarwanda wenye asili ya kitusi.
Hivyo kutokana na hali hiyo ya wasiwasi na taa nyekundu ya kivita na lile shambulio la kwanza lililoshindwa lilisababisha eneo lote la mpaka wa Rwanda na Uganda liwe chini ya kamandi kuu ya kijeshi ya jeshi la Rwanda chini ya Amri jeshi mkuu wa wakati huo Kanali Habiyarimana Juvenal.
Kambi mpya za kijeshi ziliongezwa na vikosi maalumu vya kamandi kuu kutoka kambi ya mafichoni isiyojulikana ya Ginene vikiongezwa mipakani kote upande ule wa Uganda.
Magari ya deraya yakiongezwa na vifaru vya kijeshi na mzinga na magari ya kubebea mzinga vilionekana wazi wazi pande zote mbili za mpaka,na ilikua inasubiriwa ni lini vita hivi vitajitokeza na hata uhusiano wa kidiplomasia wa pande hizi mbili ulikua unasua sua kutokana na mashambulio ya mwaka 1987 japo serikali ya Uganda ilikua inakana kuhusika na lolote lile.
Hali ilikua tete mpakani maana kulikua na matukio madogo madogo ya kurushiana risasi na kutukanana na kurushiana maguruneti ya kutupwa na mkono kwa pande mbili zote za wanajeshi wa mpakani na raia walikimbia kabisa maeneo yote ya mpakani mwa Uganda na Rwanda kuhofia usalama wao.
Afande ""F"" yeye akurudishwa tena mpakani bali alipewa jukumu lipya la kusimamia ulinzi binafsi wa ardhini wa raisi Juvenail na familia yake.
Na alikua na jukumu pia la kuhakikisha usalama wa viongozi waandamizi wa serikali na familia zao.
Kanali""F""au afande ""f"" sasa akawa na jukumu lipya la kuhakiki usalama wa raisi ndani ya nchi,pamoja na usalama wa viongozi waandamizi ndani ya serikali ya Kanali Juvenail Habiyarimana na alibakia na cheo hicho kama mlinzi binafsi wa raisi akiwa ardhini kuanzia mwaka 1988 mpaka mwaka 1994 alipokimbilia Bukavu nchini Zaire.
ITAENDELEA.............!!!!!!
Wanyambo nadhani wapo salama kabisa huko rwanda sababu kihistoria eneo la rwanda karibia asilimia 20% na asilimia 20% ya eneo la Uganda ilikua miliki ya wanyambo kabla ya wakoloni kuja na kuweka mipaka.Jibu maswali mkuu!!
Nataka kujua usalama wa wanyambo waishio huko Rwanda!!
Maswali yako mimi sio mtu sahii wa kuyajibu,,,maana sipo ndani ya serikali ya RPF mkuu.Jibu maswali mkuu!!
Nataka kujua usalama wa wanyambo waishio huko Rwanda!!
Kweli ila ni vema kudadavua kidogo. Binafsi naona mantiki ktk jitihada za Kagame ktk kujaribu kuneutralize social composition ya wanyarwanda. Wakati sasa wengi wanaona Watutsi wako wengi na salama ndani ya Rwanda, iwapo wageni na wahutu wanao ogopa wakirudi Rwanda itakua rahisi Kubadilisha mitazamo yao hasi juu ya umoja wa nchi.Mkuu umeuliza maswali matano kwa wakati mmmoja 🤣🤣🤣 afu yamekaaa kijasusi kweli kweli z🤣🤣
Tatizo la wanyarwanda ni ubaguzi wa kila jamii kujiona bora kuliko nyenzake.Kweli ila ni vema kudadavua kidogo. Binafsi naona mantiki ktk jitihada za Kagame ktk kujaribu kuneutralize social composition ya wanyarwanda. Wakati sasa wengi wanaona Watutsi wako wengi na salama ndani ya Rwanda, iwapo wageni na wahutu wanao ogopa wakirudi Rwanda itakua rahisi Kubadilisha mitazamo yao hasi juu ya umoja wa nchi.
Mtakumbuka kuwa Mwaka jana kama sikosei, Kagame aliomba wahamiaji haramu kutoka nchi ya Ueingereza kuja na kufanya Makao Rwanda, ukiangalia kwa nje huelewi nia halisi... Ila nia kuu hapo ni kuneutralize kabila... Awepo watu mchanganyiko na hapo itakua rahisi kuondoa dominance ya makabila mawili ambayo ni Pinzani na Yana kisasi juu kati yao.
Binafsi naona kwa namna wanyarwanda walio nje ya nchi wanavyozidi kuwa huko wanajitengeneza kama Hamas... Wanajifunza na kujipanga ili waje kukilipua kwa madai ya kudai Uhuru na nchi yao.... Kama jirani si pendi hata kidogo kuona genocide ya 94.Natamani wote wabadilishe mitazamo juu ya ubaguzi na wajione wa moja. Mungu awasaidie Wanyarwanda🙏
Ni kama Rwanda ijayo inaandaliwa Marais wasio na nasaba ya makabila hayo mawili!yaani makabila madogo ya kigeni ndio yatawale kuua uhasama kati yao!!Tatizo la wanyarwanda ni ubaguzi wa kila jamii kujiona bora kuliko nyenzake.
Nakumbuka hata Habiyarimana alikua anakataa kwa Banyarwanda waliopo nje ya nchi hiyo kurudi nyumbani.
Rejea hotuba yake ya bunge mwaka 1987 baada ya lile shambulizi la kule Gatuna.
NB: NA HAO WAHAMIAJI HARAMU KUTOKA UINGEREZA WENGI WALIKUA WAHABESHI NA WASOMALI KWA ASILIMIA 90%
NADHANI HAPO UMESHAELEWA KWANINI WALIPELEKWA RWANDA NA SERIKALI YA KAGAME IKAWAPOKEA.
Ubaguzi wa kinyarwanda ni kwenye koo,,sababu hakuna kabila pale.Ni kama Rwanda ijayo inaandaliwa Marais wasio na nasaba ya makabila hayo mawili!yaani makabila madogo ya kigeni ndio yatawale kuua uhasama kati yao!!
Ni kama huku kwetu pale tunapopenyeza warundi hadi ikulu Ili kuondoa dhana ya upendeleo wa kikabila kwenye keki ya taifa!!
Nadhani mjomba kaona mbali sana!
Kama an akili angenitimka hata mimi nikawe kiongozi pale kama mhamiaji kutoka tz Ii kuua ukabila pale Rwanda!!