Mahojiano yangu na washirika wa FDLR kuhusu uhasama wao na RPF- Inkotanyi

Mpunguze ujuaji humu huyu jamaa asipopost mimi na wanangu huwa tunamfuata mpaka anaposhindia kubishana huko jukwaa la hezbooolah na kina Hamas ,akija hapa mtu anaanza kutoa vitisho mara utauliwa mara hiki ina maana huyu jamaa kwa taarifa hii anayotoa hapa hajui kama kuna madhara? Muacheni atiririke na hajapost mpaka muda huu subirini hapa hapa najua alipo
 

Dah JF bana

Sawa mkubwa nenda kamchomoe uje naye huko kwenye mitaaa ya hamas mwambie aje tutamlinda.. asikimbie huku

Sie tu asubiria hapa hapa
 
Safi sana mkuu,nimesoma sana historia ya hawa ndugu zetu tokea kipindi cha mwami kabla ya uhuru toka Belgien.
Ni historia ndeefu sana mpk kufikia genocide badae sana.
Weka vitu
 
Rwigyema akafutika kw style ile nadhani angekuja kuwa mwiba kwa pk Baadae kisiasa na
Rwigema alikua ndio awepo pale kwenye kiti mpk kesho.
Modern na mstaarabu,na kamanda haswa ,akachapwa za kuviziwa na wenzie.
Risasi haina rafiki ikigonga imeingia ni kuzima tu.
Na baada ya msala wa Fred na huku ndio ikaanza inkontanyi.
Na huku interahamwe,ikawa piga nikupige.
Watu walikua wanauana kwa jembe,shoka,marungu,
Wahutu walikimbia ambapo ni km vita ya muisraili saa hii.
Walikua na raia wa kawaida tu wamejichanganya nao.
Sasa mkiongea mziki wa Gaza.
Hiyo cha mtoto,
Kibeho.
Walioambiwa wakimbie
Huku vita ndio imeiva..
Wakajaa kibeho.
Pigwa sana pale mpk vumbi tu,si mtoto mama mzee fdlr walikuwemo ila wachache tu wengine walikua maporini.
Kayumba Nyamwasa aliongoza hiyo kazi.
Sa hii hana hamu
 
Kwann huyu afande F ,aliweza kuwasiliana na poo kagame mojakwamoja uwanja wa vita na kuombana nafasi ya mapumziko
 
Nyamwasa ni wanted FDLR wanatoa dola 20,000 kwa kichwa chake.
Na RPF wanatoa vyeo jeshini na pesa kwa atakaeleta kichwa chake pia.
Source : Mahojiano yangu na FDLR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…