Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Wahutu walihamia sehemu hizo awali kabla ya ujio wa Watutsi. Watutsi walipofika maeneo hayo walijifunza lugha ya wale waliowakuta hapo na hivyo wakawa wanaongea lugha moja. Kule Rwanda lugha inayoongelewa ni Kinyarwanda na watu wake ni Wanyarwanda. Kule Burundi lugha yao ni Kirundi na watu wake ni Warundi ingawa kuna wengine wanapenda kujulikana kama Wanyaburundi. Lugha zote hizi hazina tofauti kabisa ila kwa vile ni nchi mbili tofauti, kila upande unatumia jina la nchi yake katika kuelezea watu wake na lugha wanayotumia.Kabila moja ya sifa yake kubwa ni kua na lugha yake.
Wahutu wanaongea kinyarwanda.
Watusi wanaongea kinyarwanda.
Hawana kabila sababiu wote ni wanyarwanda.
Mkuu upo sahii kabisa.Ila Wahutu walihamia sehemu hizo awali kabla ya ujio wa Watutsi. Watutsi walipofika maeneo hayo walijifunza lugha ya wale waliowakuta hapo na hivyo wakawa wanaongea lugha moja. Kule Rwanda lugha inayoongelewa ni Kinyarwanda na watu wake ni Wanyarwanda. Kule Burundi lugha yao ni Kirundi na watu wake ni Warundi ingawa kuna wengine wanapenda kujulikana kama Wanyaburundi. Lugha zote hizi hazina tofauti kabisa ila kwa vile ni nchi mbili tofauti, kila upande unatumia jina la nchi yake katika kuelezea watu wake na lugha wanayotumia.
Kuna kabila lingine umelisahau wanaitwa WatwaMkuu upo sahii kabisa.
Eneo la ruanda lilikaliwa na watu wengi kwa mamilioni ya miaka.
Warundi
Wanyarwanda
Wanyambo
Baganda
Wanyoro
Listi ni ndefu mno......!!!
Sasa hao Watwa ndio watu wa asili wa maeneo hayo aka indigenous people.Kuna kabila lingine umelisahau wanaitwa Watwa
Hapo nimetaja kwa ufupi.Kuna kabila lingine umelisahau wanaitwa Watwa
Tofauti ya Fdlr na ALIR ni Nini ? ... kwanini baadhi ya wapiganaji walijitenga na Fdlr na kuunda kundi jipya ?SASA TUENDELEEE...................!!!
SAFARI YA KANALI""F"" KURUDI NYUMA MPAKA MJI WA KAMEMBE NEAR ZIWA KIVU.
Haikua kitu rahisi kwa kanali f kurudi nyuma mpaka mji wa Kamembe.
Kwanza alikua na uchungu mkubwa moyoni katika vitu vikuu vitatu.
MOSI: Yeye aliamini kua rwanda imetumbikizwa kwenye vita na mauaji na wanasiasa wenye uchu wa madaraka.Na aliamini kabisa wakuu wake wa kijeshi walimgeuka hasa katika yale makubaliano ya Arusha Tanzania ya kusitisha vita.
PILI: Kanali au afande"f"aliamini kua waasi wa RPF wamemsaliti kwa yale yote waliyokubaliana mwaka 1987 na 1992 na nia yao ilikua ni kuchukua nchi na kumfukuza yeye na wahutu wwngine nao wakaonje adha ya kua wakimbizi ughaibuni.
TATU: Aliamini wafaransa walihusika na kupanga mauaji ya kimbari kwa kuwashawishi wakuu wake wa kijeshi kutekekeza mauaji hayo na vivile walihusika na kumuua raisi Juvenal ambae alikua bosi wake na alikua anamlinda mpaka siku ile aliyosafiri kwenda nchini Tanzania.
NB: KUMBUKA YEYE KANALI ALIKUA ANAMLINDA RAISI AKIWA ARDHINI NA SIO ANGANI...JUKUMU LA KUMLINDA RAISI AKIWA ANGANI HALIKUA LAKE YEYE.
Anasema raisi Juvenal alimwambia maneno haya kabla hajapanda ndege kwenda mjini Dar es salaam nchini Tanzania.
""""""""NAMNUKUUU""""""""""""""
JUVENAL : Kanali kama unavyoona hii hali ya kivita sio nzuri upande wetu na hata hawa wanajeshi 600 wa RPF waliopo hapa Kigali mimi siwaamini kabisa katika lolote,,,,maana wapo karibu na uwanja wa ndege,hivyo wanaweza kuniua wakati wowote.
AFANDE""F"": Mkuu najua na ningekushauri ukirudi kutoka Tanzania basi makao yako makuu yahamishie mjini Gitarama.
JUVENAL: Sawa Kanali nimekuelewa na nikirudi tutajadili hili suala kwa kina.
AFANDE""F"": Nikutakie safari njema mkuu
JUVENAL: Ilinde familia yangu kwa gharama yoyote ile Kanali sawa.
JUVENAL: Ni aibu sisi kushindwa na RPF na sura yangu nitaiweka wapi.
JUVENAL: Tafadhali Kanali ilinde familia yangu kwa gharama yoyote ile.
JUVENAL: Najua wewe na Aghata mna tofauti zenu,,lakini usisahau yule ni mke wangu na usisahau pia wewe ni mdogo wangu Kanali.
JUVENAL: Na tumetoka mbali sana mdogo wangu toka nilipokutoa jeshini miaka ile
AFANDE""F"": Sawa Mkuu (copied) huku akipiga saluti na hiyo ndio ilikua saluti yake ya mwisho na mazungumzo yake ya mwisho na raisi Habyarimana akiwa hai ikulu.
Afande anasema na hili lilikua linamuuma sana sababu alijua mkuu wa vikosi vya kulinda wanadplomasia wa RPF waliokua Kigali kwa mujibu wa makubaliano ya amani ya Arusha.
Brigedia Rwegema alihusika na mauaji ya Rais Juvenal.
NB: Brigedia Rwegema na yeye aliuawa katika mazingira ya kutatanisha wakati waasi wa RPF wanaichukua na kuidhibiti Kigali.
Basi afande""f""aliendelea na utaratibu wa kujihami huku akirudi nyuma mpaka mji wa Kamembe akiwa na askari makomandoo 1800 na malori ya kijeshi 116 na magari ya deraya 66 na maroli ya kawaida 75 na vifaru 14 na askari wa miguu wasiokua makomandoo zaidi ya 3000,hapa ukijumuisha na vikosi vya wanamgambo wa kiraia ambao ni tofauti na intarehamwe militias.
Hakutaka kupigana au kuzuia waasi wa RPF kuchukua miji ya Rulamba na Kitabi sababu aliona hakuna sababu ya kupoteza nguvu kazi kwa jambo lisilowezekana kwa namna yoyote ile iwe kiualisia au kidhaaniana maana tayari kimahesabu walikua wameshashindwa vita na RPF.
Mnamo tarehe 26 january 1994 ilimkuta afande ""f"" akiwa mjini Kamembe akiwa amechoka na amepoteza mawasiliano kati yake na wakuu wake wa kijeshi.
NA WAZO KUU LILIKUA NI KUVUKA ZIWA KIVU NA KUINGIA ZAIRE NA KUJIPANGA UPYA KIJESHI NA KUANZISHA UPYA MAPIGANO ILI KURUDISHA NYUMA VIKOSI VYA RPF VILIVYOKUA VIMETAMALAKI NCHI NZIMA YA RWANDA MPAKA WAKATI HUO JANUARY 26 1994
Na alichukua simu ya upepo na kumpigia rafiki yake wa zamanj na adui yake kwa sasa PAULO mjini Kigali na kusema maneno haya.
AFANDE: PAULO UMENISALITI
PAULO: KANALI WALIOKUSALITI NI RDF WOTE KWA KUSHINDWA KUPIGANA KWENYE UWANJA WA MAPAMBANO NA KUISHIA KUUA RAIA WA KITUSI
AFANDE: HUKUTIMIZA WAJIBU WAKO
PAULO: NI KWELI ILA NDIO SIASA HIZO
AFANDE: NA ULIBUNI MAUAJI YA HALAIKI
PAULO: UNA USHAHIDI KANALI??
AFANDE NDIO PAULO NINAO
PAULO:UR DEAD KABLA HAUJAONEKANA
AFANDE: NIFE MARA NGAPI PAULO?
PAULO: UNANIJIBU KWA UJEURI SABABU YA HUYO MZEE MOBUTU?
NINA VIKOSI HUKO KIVU NA VINASUBIRI TU AMRI YANGU KUMSHAMBULIA HUYO MZEE MLA RUSHWA
AFANDE: WE ARE ENEMIES NAKUJIBU HOW I FEEL TOWARDS YOU
AFANDE: KWA SABABU ULINISALITI BASI HAUTOKAA KWA AMANI TAKE THAT CARD YOU PLAYED ONCE.
PAULO: HABARI ZA RWEGEMA UNAZO?
PAULO: BAS NA WEWE UTAISHIA HIVYO
AFANDE: NIMEKUPIGIA SIMU KUKUAMBIA BADO SIJAFA NIPO NA NINAONDOKA NDANI YA RWANDA KWA SASA ILA NITARUDI MDA SI MREFU NA WEWE UNAJUA HILO.
NA KAMA ULIMUUA REGWEMA,HUO NI UOGA WAKO NA TAMAA ZAKO ZA MADARAKA PAULO NA MIMI HILO HALINIHUSU.
BAS AFANDE"F""AKAKATA SIMU YAKE YA UPEPO NA IKUMBUKWE HAPO ALIKUA MJINI KAMEMBE NJE KIDOGO YA ZIWA KIVU NA HIYO ILIKUA JANUARY 26 1994.
NA HII SIKU NDIO WAZO LA FDLR LILIPOZALIWA KICHWANI MWA KANALI AU AFANDE""F"""
ITAENDELEA...............!!!!!!!!!!
MkuuSASA TUENDELEEE...................!!!
SAFARI YA KANALI""F"" KURUDI NYUMA MPAKA MJI WA KAMEMBE NEAR ZIWA KIVU.
Haikua kitu rahisi kwa kanali f kurudi nyuma mpaka mji wa Kamembe.
Kwanza alikua na uchungu mkubwa moyoni katika vitu vikuu vitatu.
MOSI: Yeye aliamini kua rwanda imetumbikizwa kwenye vita na mauaji na wanasiasa wenye uchu wa madaraka.Na aliamini kabisa wakuu wake wa kijeshi walimgeuka hasa katika yale makubaliano ya Arusha Tanzania ya kusitisha vita.
PILI: Kanali au afande"f"aliamini kua waasi wa RPF wamemsaliti kwa yale yote waliyokubaliana mwaka 1987 na 1992 na nia yao ilikua ni kuchukua nchi na kumfukuza yeye na wahutu wwngine nao wakaonje adha ya kua wakimbizi ughaibuni.
TATU: Aliamini wafaransa walihusika na kupanga mauaji ya kimbari kwa kuwashawishi wakuu wake wa kijeshi kutekekeza mauaji hayo na vivile walihusika na kumuua raisi Juvenal ambae alikua bosi wake na alikua anamlinda mpaka siku ile aliyosafiri kwenda nchini Tanzania.
NB: KUMBUKA YEYE KANALI ALIKUA ANAMLINDA RAISI AKIWA ARDHINI NA SIO ANGANI...JUKUMU LA KUMLINDA RAISI AKIWA ANGANI HALIKUA LAKE YEYE.
Anasema raisi Juvenal alimwambia maneno haya kabla hajapanda ndege kwenda mjini Dar es salaam nchini Tanzania.
""""""""NAMNUKUUU""""""""""""""
JUVENAL : Kanali kama unavyoona hii hali ya kivita sio nzuri upande wetu na hata hawa wanajeshi 600 wa RPF waliopo hapa Kigali mimi siwaamini kabisa katika lolote,,,,maana wapo karibu na uwanja wa ndege,hivyo wanaweza kuniua wakati wowote.
AFANDE""F"": Mkuu najua na ningekushauri ukirudi kutoka Tanzania basi makao yako makuu yahamishie mjini Gitarama.
JUVENAL: Sawa Kanali nimekuelewa na nikirudi tutajadili hili suala kwa kina.
AFANDE""F"": Nikutakie safari njema mkuu
JUVENAL: Ilinde familia yangu kwa gharama yoyote ile Kanali sawa.
JUVENAL: Ni aibu sisi kushindwa na RPF na sura yangu nitaiweka wapi.
JUVENAL: Tafadhali Kanali ilinde familia yangu kwa gharama yoyote ile.
JUVENAL: Najua wewe na Aghata mna tofauti zenu,,lakini usisahau yule ni mke wangu na usisahau pia wewe ni mdogo wangu Kanali.
JUVENAL: Na tumetoka mbali sana mdogo wangu toka nilipokutoa jeshini miaka ile
AFANDE""F"": Sawa Mkuu (copied) huku akipiga saluti na hiyo ndio ilikua saluti yake ya mwisho na mazungumzo yake ya mwisho na raisi Habyarimana akiwa hai ikulu.
Afande anasema na hili lilikua linamuuma sana sababu alijua mkuu wa vikosi vya kulinda wanadplomasia wa RPF waliokua Kigali kwa mujibu wa makubaliano ya amani ya Arusha.
Brigedia Rwegema alihusika na mauaji ya Rais Juvenal.
NB: Brigedia Rwegema na yeye aliuawa katika mazingira ya kutatanisha wakati waasi wa RPF wanaichukua na kuidhibiti Kigali.
Basi afande""f""aliendelea na utaratibu wa kujihami huku akirudi nyuma mpaka mji wa Kamembe akiwa na askari makomandoo 1800 na malori ya kijeshi 116 na magari ya deraya 66 na maroli ya kawaida 75 na vifaru 14 na askari wa miguu wasiokua makomandoo zaidi ya 3000,hapa ukijumuisha na vikosi vya wanamgambo wa kiraia ambao ni tofauti na intarehamwe militias.
Hakutaka kupigana au kuzuia waasi wa RPF kuchukua miji ya Rulamba na Kitabi sababu aliona hakuna sababu ya kupoteza nguvu kazi kwa jambo lisilowezekana kwa namna yoyote ile iwe kiualisia au kidhaaniana maana tayari kimahesabu walikua wameshashindwa vita na RPF.
Mnamo tarehe 26 january 1994 ilimkuta afande ""f"" akiwa mjini Kamembe akiwa amechoka na amepoteza mawasiliano kati yake na wakuu wake wa kijeshi.
NA WAZO KUU LILIKUA NI KUVUKA ZIWA KIVU NA KUINGIA ZAIRE NA KUJIPANGA UPYA KIJESHI NA KUANZISHA UPYA MAPIGANO ILI KURUDISHA NYUMA VIKOSI VYA RPF VILIVYOKUA VIMETAMALAKI NCHI NZIMA YA RWANDA MPAKA WAKATI HUO JANUARY 26 1994
Na alichukua simu ya upepo na kumpigia rafiki yake wa zamanj na adui yake kwa sasa PAULO mjini Kigali na kusema maneno haya.
AFANDE: PAULO UMENISALITI
PAULO: KANALI WALIOKUSALITI NI RDF WOTE KWA KUSHINDWA KUPIGANA KWENYE UWANJA WA MAPAMBANO NA KUISHIA KUUA RAIA WA KITUSI
AFANDE: HUKUTIMIZA WAJIBU WAKO
PAULO: NI KWELI ILA NDIO SIASA HIZO
AFANDE: NA ULIBUNI MAUAJI YA HALAIKI
PAULO: UNA USHAHIDI KANALI??
AFANDE NDIO PAULO NINAO
PAULO:UR DEAD KABLA HAUJAONEKANA
AFANDE: NIFE MARA NGAPI PAULO?
PAULO: UNANIJIBU KWA UJEURI SABABU YA HUYO MZEE MOBUTU?
NINA VIKOSI HUKO KIVU NA VINASUBIRI TU AMRI YANGU KUMSHAMBULIA HUYO MZEE MLA RUSHWA
AFANDE: WE ARE ENEMIES NAKUJIBU HOW I FEEL TOWARDS YOU
AFANDE: KWA SABABU ULINISALITI BASI HAUTOKAA KWA AMANI TAKE THAT CARD YOU PLAYED ONCE.
PAULO: HABARI ZA RWEGEMA UNAZO?
PAULO: BAS NA WEWE UTAISHIA HIVYO
AFANDE: NIMEKUPIGIA SIMU KUKUAMBIA BADO SIJAFA NIPO NA NINAONDOKA NDANI YA RWANDA KWA SASA ILA NITARUDI MDA SI MREFU NA WEWE UNAJUA HILO.
NA KAMA ULIMUUA REGWEMA,HUO NI UOGA WAKO NA TAMAA ZAKO ZA MADARAKA PAULO NA MIMI HILO HALINIHUSU.
BAS AFANDE"F""AKAKATA SIMU YAKE YA UPEPO NA IKUMBUKWE HAPO ALIKUA MJINI KAMEMBE NJE KIDOGO YA ZIWA KIVU NA HIYO ILIKUA JANUARY 26 1994.
NA HII SIKU NDIO WAZO LA FDLR LILIPOZALIWA KICHWANI MWA KANALI AU AFANDE""F"""
ITAENDELEA...............!!!!!!!!!!
Jazia nyama kwenye hili MkuuMkuu
Kwa hiki kipande mkuu ni hatari kwako aiseh!I can feel it!
Coz kati ya mauaji yaliyowahi umiza vichwa wengi hata museven aliumia ni mauaji ya fred Rwigyema aiseh!jamaa aligoma kuua raia akasema wawafanyie siasa za uaminifu yaani kuliko kuwaua wahutu Bora ku wafanya wawaamini RPF kuwa watakua salama chini yao!nadhani mjomba paulo aliona jamaa anampiku kisiasa ndio jamaa akapigwa tukio la ghafula!!
So sad!!
Nitarudi mkuu nipo naandaa vituNelson Jacob Kagame njoo endeleza simulizi na jitahidi kujibu maswali ya wadau (ukipata muda).
Inasemekana wakati RPF wakichukua maeneo hasa Mikoa ya Rwanda chini ya himaya yao ! Rwigyema alikataza kabisa kuua wahutu yaani alitaka wachukue maeneo pole pole huku wakitumia mbinu za kisiasa Ili wahutu waamini watakua salama chini ya utawala mpya wa RPF ambao walionekana wakishinda vita ile!!Jazia nyama kwenye hili Mkuu
Naendelea kuwaletea hii top secret interview na ninazo clip za mahojiano ya Brigedia Fred na Kanali F na Paulo wakati wanakubaliana mpango wa kisiasa wa baadae hapo rwanda.Inasemekana wakati RPF wakichukua maeneo hasa Mikoa ya Rwanda chini ya himaya yao ! Rwigyema alikataza kabisa kuua wahutu yaani alitaka wachukue maeneo pole pole huku wakitumia mbinu za kisiasa Ili wahutu waamini watakua salama chini ya utawala mpya wa RPF ambao walionekana wakishinda vita ile!!
Sasa hiyo ilileta sintofaham ni kana kwamba Fred Rwigyema alionyesha ukomavu wa kiuongozi akiwa na lengo la kuua chuki za kikabila!
Tofauti na pk ambae alipenda mambo yaendelee kama yalivyokua yakitokea yaani Raia kuuana kwa ukabila ili aje aitulize kwa chuma sasa fred Rwigyema aliona itakua ni ngumu ku win mioyo ya wahutu kwa style ile ya RPF kujibu mapigo kwa raia wa kihutu kwa kuwaua kama member wa interahamwe vile!!
Rwigyema akafutika kw style ile nadhani angekuja kuwa mwiba kwa pk Baadae kisiasa na kiutawala!!!
Ndio maana pk aliamua kumwita mwanae Fred kwa kumkumbuka huyu jamaa alikua kichwa sana!!
KNOWLEDGE DIGESTED FROM THE BOLD UZI WA "KILIO NA MIFEREJI YA DAMU KUELEKEA ETHIOPIA"
HIVYO TU!!
SIMTISHI MWANDISHI ILA ALICHOKIANDIKA NI TOP SECRET HASA MAUAJI YA FRED RWIGYEMA COZ HAYAKUWAHI KUJULIKANA HASWA NANI ALIMUUA,PIA MAUAJI YA KIMBARI YAMEWEKWA WAZI KABISA HPA KUWA ULIKUA MPANGO WA PAULO ULIOSUKWA VEMA!!
TOP TOP SECRET AISEH!
LABDA KAMA PAULO AMCHUKULIE POA JAMAA!!!
Paulo Jacob Kagame can't kill his blood nephew's worry out.Inasemekana wakati RPF wakichukua maeneo hasa Mikoa ya Rwanda chini ya himaya yao ! Rwigyema alikataza kabisa kuua wahutu yaani alitaka wachukue maeneo pole pole huku wakitumia mbinu za kisiasa Ili wahutu waamini watakua salama chini ya utawala mpya wa RPF ambao walionekana wakishinda vita ile!!
Sasa hiyo ilileta sintofaham ni kana kwamba Fred Rwigyema alionyesha ukomavu wa kiuongozi akiwa na lengo la kuua chuki za kikabila!
Tofauti na pk ambae alipenda mambo yaendelee kama yalivyokua yakitokea yaani Raia kuuana kwa ukabila ili aje aitulize kwa chuma sasa fred Rwigyema aliona itakua ni ngumu ku win mioyo ya wahutu kwa style ile ya RPF kujibu mapigo kwa raia wa kihutu kwa kuwaua kama member wa interahamwe vile!!
Rwigyema akafutika kw style ile nadhani angekuja kuwa mwiba kwa pk Baadae kisiasa na kiutawala!!!
Ndio maana pk aliamua kumwita mwanae Fred kwa kumkumbuka huyu jamaa alikua kichwa sana!!
KNOWLEDGE DIGESTED FROM THE BOLD UZI WA "KILIO NA MIFEREJI YA DAMU KUELEKEA ETHIOPIA"
HIVYO TU!!
SIMTISHI MWANDISHI ILA ALICHOKIANDIKA NI TOP SECRET HASA MAUAJI YA FRED RWIGYEMA COZ HAYAKUWAHI KUJULIKANA HASWA NANI ALIMUUA,PIA MAUAJI YA KIMBARI YAMEWEKWA WAZI KABISA HPA KUWA ULIKUA MPANGO WA PAULO ULIOSUKWA VEMA!!
TOP TOP SECRET AISEH!
LABDA KAMA PAULO AMCHUKULIE POA JAMAA!!!
Paulo can't kill his own blood nephew's.Mkuu
Kwa hiki kipande mkuu ni hatari kwako aiseh!I can feel it!
Coz kati ya mauaji yaliyowahi umiza vichwa wengi hata museven aliumia ni mauaji ya fred Rwigyema aiseh!jamaa aligoma kuua raia akasema wawafanyie siasa za uaminifu yaani kuliko kuwaua wahutu Bora ku wafanya wawaamini RPF kuwa watakua salama chini yao!nadhani mjomba paulo aliona jamaa anampiku kisiasa ndio jamaa akapigwa tukio la ghafula!!
So sad!!
Mkuu kwanza FDLR NI SEHEMU YA VIKOSI VYA WANAJESHI WA SERIKALI YA RWANDA ILIYOPINDULIWA.Tofauti ya Fdlr na ALIR ni Nini ? ... kwanini baadhi ya wapiganaji walijitenga na Fdlr na kuunda kundi jipya ?
Kuna baadhi ya askari wa kihutu wa Habyarimana walijiunga na Rpf , hawa taarifa zao vipi ?
Upi ulikuwa ushiriki wa Fdlr kwenye Vita vya kwanza na vya pili vya Drc?....ikumbukwe Vita ya kwanza ya Drc (Zaire) iliambatana na mauaji ya wahutu kwenye makambi ya wakimbizi kupitia AFDL....
Kipi kiliisukuma tena Fdlr kuungana na Laurent Kabila kupigana na Rwanda ilihali alikuwa adui yao aliyetumiwa na Rwanda kuwahujumu ?
Kwanini Rwanda imeshindwa kuimaliza Fdlr mpaka sasa ?
zitto junior
Nimependa hayo mahojiano ya Paul na Afande FINAENDELEA,,,,,,,,,,,!!!!
Afande ""f"" anasema namnuku:
Askari wa RPF walikua wanazidi kusonga mbele na hali ilikua tete upande wa majeshi ya serikali sababu walikua hawana wanajeshi wa akiba na hata waliokua wanajeshi wa akiba,,,namaanisha vijana wa intarehamwe walikua hawana nidhamu na taaluma ya kijeshi.
Anasema na mauaji ya kimbari na ubakaji wa raia ulikua unafanywa na pande zote mbili wakati wa vita na kuongeza uhasama kati yao.
Majeshi ya serikali ya wahutu walio wengi jeshini waliendekeza uhasama kwa kuua raia na kupandikiza chuki kwa raia wawaue watusi.
Na kwa upande wa watusi walio wengi RPF walikua pia wanaendekeza chuki baina ya Watusi na Wahutu,,,,na pia walikua wanaua Wahutu na kusababisha uhasama.
Afande""f""" anasema uhasama huu ulichochewa na mauaji ya pande zote mbili mwaka 1993 na 1994 ila mauaji ya wahutu yaliyofanywa na RPF waga hayazungumzwi na jambo hilo limeendelea kuweka uhasama baina ya jamii hizi mbili.
Anasema wakati vikosi vya serikali vinarudi nyuma mpaka mji wa Gitarama,yeye ndipo alipewa tena jukumu la kuvizuia vikosi vya RPF kwa mda ili aweze kusaidia majeruhi waliotolewa Kigali baada ya kuzidiwa na vikosi vya RPF na kurudishwa kutokea mjini Kigali.
Na pia alipewa jukumu la kuandaa mashambulizi ya kuvizia kutokea njia ya Runda ili kuzuia kwa haraka vikosi vya RPF visiuzingire mji wa Gitarama.
Anasema afande""f"" alikua na idadi ya wanajeshi 4000 na alikataa usaidizi wa vikosi vya intarehamwe zaidi ya 6000 ambao kazi yao kubwa ilikua kubaka na kuua Watusi tu na Wakongomani.
Anasema afande""f""jeshi la serikali lilikua limepoteza wanajeshi wengi na lilikua na majeruhi wengi na kulikua na malalamiko toka kwa wanajeshi wa ngazi za chini kua,,walikua wanalazimishwa kuua na kubaka na kupora na makamanda wao walikua wamekataa kwenda msitari wa mbele,,wote walikua wanakimbilia miji ya mpakani na Zaire na Tanzania.
Alichokifanya afande""f"" anasema alichokifanya ni kuwasiliana kwa simu ya upepo na rafiki yake PAULO na kumwambia haya yafuatayo
"""""""""""""""""Namnukuuu""""""""""""
Nilichukua simu ya upepo na kumpigia ndugu yangu PAULO ambae toka mwaka 1990 tumekua maadui wa kisiasa ila sio kiundugu.
AFANDE: Paulo naona mmetunyanganya Kigali na mumemuua ""KINANI""
PAULO: Sio mimi niliyetoa amri ya kumuua ""KINANI"" ila ni vijana wangu walikua wanajihami sababu walijua ni ndege ya mzigo ya kivita ya ufaransa ilikua inashusha silaha na Kigali hatujawanyanganya bali wamekimbia wenyewe.
AFANDE:Nikuombe kitu Paulo?
PAULO :Yeah go ahead ila mimi nipo Byumba mda huu kanali.
Na siwezi kukusaidia lolote sababu upo upande wa adui,hivyo watu wangu hawatonielewa.
AFANDE: Ni kitu cha mwisho kati yangu mimi na wewe.Maana vikosi vyote vinarudi nyuma na wafaransa hawatusaidii tena kwa lolote na wewe mwenyewe unajua sijawahi kukutana na wewe kwenye uwanja wa vita tokea mwaka 1987 so kiasilia mimi sio adui yako.
PAULO: Ooh oky proceed ( Go ahead)
AFANDE: Naomba uwazuie vijana wako wasivuke Rundwa na Butamwa ili niondoe majeruhi wote mpaka Gitarama.Nimepewa amri ya kukushambulia ila sitofanya hivyo bali tufanye cease fire ya siku tano.
Hii vita sisi tunaelekea kushindwa na hii nchi tayari imeshakua tayari yenu.
PAULO: Wewe una nafasi gani sasa jeshini maana najua kila kitu kuhusu wewe na cha kukushauri ni kwamba uende Bukavu ukae huko maana ndani ya mwezi nchi nzima itakua chini yetu na napenda ujue kua sikukusaliti bali kila mtu anapenda madaraka hivyo sikua na jinsi.
Wewe mwenyewe unajua ilibidi wengine wafe ili sisi tuwepo hapa tulipo leo.Hata wewe ulitusaliti kwa kukataa kutupatia taarifa nyeti za mtu uliyekua unamlinda"""KINANI"""
AFANDE: Nitapata cease fire au???
PAULO: Ya siku tatu sababu sisi ni maadui na wewe unajua hilo.
AFANDE: Sawa Paulo nashukuru ila kumbuka tukikutana uwanja wa vita sitokuonea huruma.
PAULO:Risasi haina macho sitokulaumu tupo vitani.
AFANDE: Najisikia vibaya kuikimbia nchi niliyozaliwa niwe mkweli tu.
PAULO: Hata mimi nilijisikia vibaya kuikimbia nchi niliyozaliwa nikiwa mtoto.
AFANDE: Asante kwa cease fire.
PAULO: Ninalipa fadhila kwa access ulizonipa mwaka 1985 mjini Kampala.
AFANDE:Sitosahau fadhila japokua watu wetu hawaelewani na wanauana kama kuku.
PAULO: Siasa ni mchezo mchafu wa kumlaumu ni ""KINANI""
Basi mazungumzo yao yakaishia hapo na afande""f"" aliyafanya haya mazungumzo kwa siri kubwa ili wakuu wake wa kijeshi wasijue kama amewasiliana au anawasiliana na adui wa serikali inayoelekea kupinduliwa madarakani.
Afande"""F"""anaendelea kusimulia kua mazungumzo yake na PAULO yalimsaidia kuweza kuokoa maisha ya askari zaidi ya 900 ambao walikua wamejeruhiwa mjini Rundwa na mjini Mugesera na hiyo ilikua mara ya mwisho ya wao kuongea mpaka mwaka 1998 mjini Kisangani Congo DRC,walipokutana wakati yeye afande ""f"" akiwa na vikosi vya Proffesa wamba dia wamba na washirika wao wa Uganda katika kutafuta cease fire ya kuondoa mapigano ndani ya mji wa Kisangani nchini DRC au Zaire ya zamani.
Anasema kua alifanikuwa kuweka cease fire kati ya vikosi vyake na vikosi vya RPF na ilimsaidia kuwashawishi wakuu wake wa kijeshi waondoke pia katika mji wa Gitarama na wasogee mji wa mpakani wa Bugarama na waweke makao yao makuu ya kijeshi,kwa maana Gitarama sio sehemu sahii kabisa.
Na anasema aliwaambia waziwazi makamanda wake kua yale mauaji ya kuua watu kiholela kwa kutumua intarehamwe yanapandikiza chuki kati yao na watu wa RPF na hizi chuki zinaweza kudumu kizazi mpaka kizazi.
Vile vile anasema vikosi vya RPF vilikua pia vinatekeleza mauaji maeneo yote vilivyoyateka kwa kudai wakazi wote wa maeneo hayo ni washirika wa intarehamwe na wameua watusi,hivyo nao wanasitahili kuuawa.
BUGARAMA JANUARY 06 1994
Afande""f""anasema kua baada ya kuweza kuongea na PAULO na kuweza kupata cease fire ya kimya kimya ndani ya siku tano na alifanikiwa kupata haueni ya kuokoa majeruhi na kurudisha nyuma vikosi vilivyokua tayari vimepoteza muelekeo na ilikua haina maana kuendelea kuungangania mji wa Gitarama na mji wa Rundwa na mji wa Butamwa na mji wa Mugesera.
Kama wangeendelea kungangania mji wa Rundwa na mji wa Butamwa na mji wa Mugesera basi wangeshindwa kwenye uwanja wa mapambano na wasingeweza kupambana na vikosi vya RPF kwa wakati huo,,suluhisho pekee lilikua ni kurudi nyuma mpaka mji wa Bugarama
Na alifanikiwa katika hilo la kuwashauri wanajeshi wenzake warudi mpaka mji wa Bugarama na kujipanga upya na hapa ndipo mawazo ya chuki na uhasama yalipoanza kumea zaidi kwa wanajeshi wa serikali ya kihutu na waasi wa RPF.
Na kila upande ukiwa unajiona upo sahii kwa hoja zake zenye mashiko ya ubaguzi wa kisiasa na kikabila.
ITAENDELEA..........!!!!