Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mmmh, maisha haya.
Yamekuaje maisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh, maisha haya.
Aiseee......
usiniambie na ww ulikua unajua ni utani kama mm
Hapa ndani tumebaki mimi na wewe tu kila mtu na wake. Sasa vipi?mahondaw shost najuaga mpo kwenye matani n smart msiniambie ni serious
Mapenzi/uhusiano wenu na uheshimiwe na watu wote .Amini twakuambia
Cc: Shunie
hamna kwa hapa jf nashndwaga kutofautisha ukweli upi na utani upi?
nilikuwa nakushangaa tu mbona kuna watu wakiandikiana mna sema ni kweli ila hawa mna wadoubt
Sijui nikuandikie[emoji85]
Akikujibu nishtueJf huwaga unaichukuliaje mkuu Ototo?
JF Kuna challenge nyingi sana... Nimepata tabu sana kumuweka mahondaw kwenye mstari...Mapenzi/uhusiano wenu na uheshimiwe na watu wote .
hapana kwa mahondaw nilikua najuaga utani leo ndio nimeamini
Love you more Super dear... Nashukuru kwa kunielewa na kuniamini love...
Izi Movie Za Kihindi Hizi Aya BuanaJF Kuna challenge nyingi sana... Nimepata tabu sana kumuweka mahondaw kwenye mstari...
Humu ndani bhana watu akili zao wanazijua wenyewe.. Wengine wavurugaji tu makusudi.. Ukiwa na roho nyepesi mnagombana kila siku...
Mimi am always calm and cool...
Ndiyo maana mtu akiamua kumtongoza mahondaw hata kama anajua yupo na Smart911... Mimi i deal with mahondaw kwa njia amani...
Cc: mahondaw
I know you Smart911 king mutu ya sapriz kwa sanaaaaa yani nivile tu mahondaw wako nae.... khakhaakhaa you know herPrepare for lots of sweet surprises love.. You mean a lot to me... I love you with whole of my heart... Words peke yake are not enough to express how i love you even more mahondaw wangu..