Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umesoma shule ya boarding utakumbuka jinsi wanafunzi walivyokua wakiishi.
Kulikua na couples mbali mbali, wambea, wachonganishi na wenye wivu, wataka sifa, watafuta Kiki, nk.
Basi sasa hivi ndivyo ninavyoiona jf, mwanzo mimi nilijua humu kila mtu anafanya yake, alafu unakula kona kumbe Kuna watu wanapata wapenzi wa kweli humu humu, Kuna wanafiki humu humu na watafuta kiki pia.
Duuuuu ebwana hatariii
Kwa hiyo akitongozwa lazima akuambie kiongozi?
Mahondwa umesikia mmeo anavyojinasibu hapa sasa ole wako ulete habari nyeusi atasogeza manowari zake kwenye rasi ya Miss Natafuta.
KweliIla usijali boarding nyingine ni jf mkuu
Wanawake kama wewe kama wako humu naombeni mje tuyajenge.Hahahaahhahahaahahahahaha usijali mkuu siwezi ruhusu Smart911 aniponyoke.
Walahi nitamlea kama yaniiiiii. very delicate one nayahitaji uangalifu wa hali ya juu
Ewaalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa na Anajua kukuna haswaaaaaaUpele umepata mkunaji na hongera zenu wapendanao
Mahondwa umesikia mmeo anavyojinasibu hapa sasa ole wako ulete habari nyeusi atasogeza manowari zake kwenye rasi ya Miss Natafuta.
Sawa mkunane vizuri ila msichubuane wapendanaoEwaalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa na Anajua kukuna haswaaaaaa
Sawa mkunane vizuri ila msichubuane wapendanao
Wapo wengi tu mkuu jitihada zakoWanawake kama wewe kama wako humu naombeni mje tuyajenge.
Kuch kuch hota hai
[HASHTAG]#MapenziBumper2Bumber[/HASHTAG]
Naogopa kubeba EBOLA nikapeleka ndani ni ngumu kupata watu wenye kufahamu nia ya wao kuwepo sehemu fulaniWapo wengi tu mkuu jitihada zako