Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mmmh jamani!
Joanah umepita hapa? Plz usiwaige hawa mama.
Sisi tuna nini mkuu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh jamani!
Joanah umepita hapa? Plz usiwaige hawa mama.
Hahahaahhahahaahahahahaha mkuu mbavu zangu mie lol eti EBOLA duhhhhhhhhhhhNaogopa kubeba EBOLA nikapeleka ndani ni ngumu kupata watu wenye kufahamu nia ya wao kuwepo sehemu fulani
We always celebrate and thank God for all... Woyooooo...
Asante sana mkuuWaswahili walisema ukijua unako kwenda huwezi kupotea njia na kwenye mapenzi ukiwa na umpendae huwezi kujuta nawatakia kila la heri
Si kama leo asubuhi ulitaka kumpasua mtu kwa wivu... Hahahaha...
Yes yes sweetieYeah super dear... Kwa nini nianze kugombana au kujibu mtu anayetafuta shari... What wont kill us, will make us stronger....
[emoji1] [emoji1] [emoji1]hahahha huyo alishindwa kumwandikia sakayo simtaki mm
Umeona Shunie eeh?
hapana smart mm ninae wa kuniandikia
Puppy love hizi,thank god nliachana nazo utotoni,mambo ya mahaba ni private bana,asa kila mtu akiamua kuweka barua humu kwa mpenzi wake itakuwaje.no offense lakini
Acha kuvaa madera utaandikiwahahhahah eb ngoja aje atuambie alikosea au alimaanisha
na mm natamani atokee wa kuniandikia [emoji23][emoji23]