Mahoteli kufungwa kila mkoa: Uchumi wa Kati, utalii wa Ndani

Mahoteli kufungwa kila mkoa: Uchumi wa Kati, utalii wa Ndani

Utadhani kuna wabongo huwa wanaenda hapo[emoji16][emoji16][emoji16].

Yaani jukwaa la siasa lina watu viazi kweli kweli.
 
Hata kabla ya Corona hotel nyingi zilikuwa hoi na sio hotels tu biashara nyingi zilifungwa. Kungekuwa na utawala bora hotels zingesurvive. Hata ukiteteaje huyu jamaa hawezi kutetewa. Mtu unapora hela kwa kisingizio cha kodi kisa tu wanafunzi hawakuruhusiwa kuhudhuria kampeni yako
Kwahiyo Ngurudoto iliamrishwa wateja wake wahudhurie mkutano nayo iakakataa!!!!
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!
Si mnasema hamuwataki Mabeberu,
Nendeni wenyewe mkatarii na mhaze hizo Hotel.
 
Hii nchi uchumi ulishaanza kuporomoka hata kabla ya hiyo Covid-19 na ndio serikali ikaanza kupika zaidi takwimu ili kuhadaa wananchi kuwa uchumi unakua.

Lakini ujinga moja walionao hawa watawala hawajui kuwa wananchi hawapimi ukuaji wa uchumi kwa kufuata takwimu zao hizo.

Wananchi wana vigezo vyao na ndio maana walipanga kumuwajibisha Magufuli kwenye uchaguzi baada ya kuchoka na utapeli wake kabla ya yeye kuamua kuhujumu uchaguzi.
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!
Hivi kwa nini mataifa yote yanayohangaika na janga LA Coronà zisituige Watanzania kwa kufanya sala na kumuomba Mungu kuwaepusha na janga hili?Wanatuonea gere? Aka ni mipango ya wale wale wabaya wetu kuendelea kuua raia wa nchi zao ilhali dawa yake ni maombi? Wanaendelea kutufanya tusifaidi uchumi wetu wa kati na ndege zetu zinaendelea kutudodea,hawatuonei hata huruma?
 
Kwa hivyo mama lishe akaibe ili aweze kula na kupata pesa ya matibabu?

Mwenye hotel aboreshe huduma atapata wateja wenye uwezo na hadhi ya kula na kulala hotelini.

Unataka kuniambia MO akienda safari Arusha anakula kwa mama lishe? Au analala guest house za uchochoroni za short-time (waswahili wanaziita Showtime)?
Nchi hii ina Mo wangapi?
 
Kwa hivyo mama lishe akaibe ili aweze kula na kupata pesa ya matibabu?

Mwenye hotel aboreshe huduma atapata wateja wenye uwezo na hadhi ya kula na kulala hotelini.

Unataka kuniambia MO akienda safari Arusha anakula kwa mama lishe? Au analala guest house za uchochoroni za short-time (waswahili wanaziita Showtime)?
Wewe naye hamnazo kama Jiwe/Kichaa
 
Uchumi wa Kati ni mchakato wa muda mrefu na ni namba flani zimefikiwa.
Corona imekuja mwaka huu huu tena imeua utalii hapa nchini kuanzia March 2020.
Lkn Bongo hakuna korona na watalii walikua wanamwagika...au HK alituingiza chaka? Asa mbona madege yanaongezwa yatakua yanaenda wapi?
 
Jamani dunia nzima imezizima kwa ajili ya covid, kati ya sector zilizoathirika ni hospitality, transportation, entertainment na sports. Wazungu hawasafiri kwenda popote sasa mnategemea mahotel yatasurvive vp. Hata huko kwenye 1st world mahotel yanakufa kwa kasi kuliko hata huko Tz, kinachowasaidia wengine ni nchi kama US iliwalipa wamiliki ili waendelee na biashara lakini pesa ziliisha sasa wanalalamika wasipopewa zingine wanafunga, mashirika ya ndege walilipwa pesa kufidia gharama za uendeshaji, viwanja vya michezo, mahospitali nk nk zililipwa ili kusurvive otherwise dunia ingekuwa kwenye mess ya ajabu na bado kuna uwezekano wa mambo kuwa mabaya zaidi.
Kwa hiyo kwa Tanzania nchi inayotegemea Tourists nashangaa kwanza kwamba mahoteli ya kitalii bado yapo
 
Niliwaambia hii Ni serikali ya wanyonge Ngurdoto mtalala kwa buku 2
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!

Hali alishaanza kuwa mbaya, ila corona imekuja kuweka chumvi kwenye kidonda. Lakini ugumu ulishaanza.
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!
Labda huwa husafiri. Katika hotel kubwa zote, wageni wa nje ya nchi huwa hawafiki 50%.

Mwaka 2015, nilikaa Kibo Palace wiki 2, katika siku zote sikuona mgeni mzungu hata mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hivyo mama lishe akaibe ili aweze kula na kupata pesa ya matibabu?

Mwenye hotel aboreshe huduma atapata wateja wenye uwezo na hadhi ya kula na kulala hotelini.

Unataka kuniambia MO akienda safari Arusha anakula kwa mama lishe? Au analala guest house za uchochoroni za short-time (waswahili wanaziita Showtime)?
Akina Mo wako wangapi nchi hii?
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!
Unataka tufike kwa namna gani kama wewe mwenyewe kwenye comment yako umekiri kuwa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu?
 
Katika hali iliyotarajiwa mahoteli kama Ngurdoto, Saphire hotel, Kibo palace na nyingine nyingi zimefungwa kwa kukosa wateja baada ya Tanzania kuingia uchumi wa kati na pato la mtanzania kupanda, sasa tumeambiwa pato litaendelea kupanda kila mwaka, yajayo yanafurahisha.

Pichani ni city lodge ipo mkabala na mahakama ya Kisutu Dar imefungwa na sasa inapangisha popo na buibui bure, hakuna wateja, miradi imesimama, cement na sukari imepanda, mafuta ya kula yamepanda, MATAGAView attachment 1642357View attachment 1642358
Hivi nyie mijitu mtatambua lini kwamba dunia yote iko kwenye lockdown isipokuwa Tz kwa sababu ya mdudu ambaye anaitwa SARS - COV 2 anayesababisha ugonjwa unaoitwa COVID-19? Duniani kote mahoteli yalishakuwa magofu. Huko kwa mabeberu ndiko balaa zaidi.

Biashara ya utalii haipo tena duniani kote hadi janga hili litakapoisha. Kwa bahati nzuri kwetu janga hili limesababisha bei ya dhahabu duniani kupanda mara kumi. Hivyo pengo la biashara ya utalii kwetu limezibwa mara dufu na biashara ya dhahabu. Sheria yetu ya natural resources imesaidia sana. Hivyo uchumi wetu haujateteleka kwa ujio wa covid 19, badala yake umeneemeka na ujio huo. Vichwa vyenu vilitambue hili.
 
Unajua Mtanichefua Hapa 😏😏😏😏😏
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Jamani dunia nzima imezizima kwa ajili ya covid, kati ya sector zilizoathirika ni hospitality, transportation, entertainment na sports. Wazungu hawasafiri kwenda popote sasa mnategemea mahotel yatasurvive vp. Hata huko kwenye 1st world mahotel yanakufa kwa kasi kuliko hata huko Tz, kinachowasaidia wengine ni nchi kama US iliwalipa wamiliki ili waendelee na biashara lakini pesa ziliisha sasa wanalalamika wasipopewa zingine wanafunga, mashirika ya ndege walilipwa pesa kufidia gharama za uendeshaji, viwanja vya michezo, mahospitali nk nk zililipwa ili kusurvive otherwise dunia ingekuwa kwenye mess ya ajabu na bado kuna uwezekano wa mambo kuwa mabaya zaidi.
Kwa hiyo kwa Tanzania nchi inayotegemea Tourists nashangaa kwanza kwamba mahoteli ya kitalii bado yapo
Kumbe wateja wa hizi hotel huwa ni mabeberu? Mi nikajua hatuwapendi mabeberu na mambo yao yote
 
Back
Top Bottom