Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Hata kabla ya Corona hotel nyingi zilikuwa hoi na sio hotels tu biashara nyingi zilifungwa. Kungekuwa na utawala bora hotels zingesurvive. Hata ukiteteaje huyu jamaa hawezi kutetewa. Mtu unapora hela kwa kisingizio cha kodi kisa tu wanafunzi hawakuruhusiwa kuhudhuria kampeni yako
Wapi huko kafanya hivyo?