Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
ukitubu dhambi ya uchawi utafanikiwaKwa misaada wa Mungu hakuna lisilowezekana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukitubu dhambi ya uchawi utafanikiwaKwa misaada wa Mungu hakuna lisilowezekana!
Mungu ni mwema wakati wote!ukitubu dhambi ya uchawi utafanikiwa
Kuwa mwanachama wa chama chochote au kikundi chochote siyo dhambi alimradi tu chama hicho au kikundi hicho kiwe na nia iliyo njema.Kwani kuwa mwanaccm ni dhambi mbele za Mungu?!!
Kwani kuwa mwanaccm ni dhambi mbele za Mungu?!!
So chadema watapumua Sasa sio[emoji1787][emoji1787]Kiukweli jana nilibarikiwa sana na mahubiri ya askofu mkuu mstaafu wa Kanisa Anglican Donald Mtetemela aliyoyatoa kwenye mkutano mkuu wa Sinodi ya DMP katika Kanisa la KKKT Mbezi Beach.
Kwamba William Wilberfoce aliingia bungeni huko Uingereza na kujenga hoja zilizopelekea biashara ya utumwa duniani kukomeshwa na yule mmiliki wa meli za kusafirisha watumwa akaokoka na kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wake.
Baba askofu amesisitiza Yesu anatutaka sisi waumini wa Kanisa kuwa nuru ya Ulimwengu.
Natangaza kuachana na siasa za kishabiki na nitaendelea kuwa mwanachama mwaminifu wa CCM.
Ngoja nichukue clip ya mahubiri hapo Upendo TV niwawekee.
Mungu wa mbinguni awabariki!
Hivi huyo kamanda aligombea jimbo gani 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Kkkt yupo Bagonza
Tuna voongozi wa dini, tuachokosa ni viongozi wa kiroho.Askofu ni Rugambwa tu marehemu, wengine hawa wa makanisa yote ni ndekule tu wala pesa.