Mahujaji 107 wafariki na 238 wamejeruhiwa baada ya winchi kuanguka katika msikiti wa Makkah

Mahujaji 107 wafariki na 238 wamejeruhiwa baada ya winchi kuanguka katika msikiti wa Makkah

Ili ukubali au upinge uwepo wa Mungu wa haki lazima ujue maana ya Mungu wa haki, vyenginevyo utakuwa unapinga kitu usichokijua. Mfano nikikuonesha gari nikakwambia ni baiskeli utapinga kwa sababu tu unajua baiskeli na sifa zake, lkn kama huielwi baskeli wala gari utapinga kwa ukukadi tu. Hivyo unatakiwa usome zaidi ujiridhshe jee unajua maana ya Mungu wa haki? NI USHAURI TU. Ukijua hili utapata majibu ya maswali yako kwa nini Mungu anawachia au anazuwia maafa kutokea

Mungu wa haki gani anaruhusu crane liwaangukie watu walioenda kumcha katika msikiti mtukufu kabisa wakati kuna wengine wameenda kwenye madanguro maisha yao yote na hawaumwi hata na mbu?

Kuna haki gani hapo?
 
Mungu wa haki gani anaruhusu crane liwaangukie watu walioenda kumcha katika msikiti mtukufu kabisa wakati kuna wengine wameenda kwenye madanguro maisha yao yote na hawaumwi hata na mbu?

Kuna haki gani hapo?

Unajua maana ya Mungu wa haki? hili ni la msingi utaweza kujibu maswali yote uliyouliza vyenginevyo hata ukijibiwa maswali yako haitokusaidia, maswali yako ni mepesi sana kwa anaeyejua maana ya Mungu wa haki
 
Unajua maana ya Mungu wa haki? hili ni la msingi utaweza kujibu maswali yote uliyouliza vyenginevyo hata ukijibiwa maswali yako haitokusaidia, maswali yako ni mepesi sana kwa anaeyejua maana ya Mungu wa haki

Mingu wa haki ni nani? Haki ni nini?

Kuna haki gani kwa mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuachia watu walioenda kumcha katika msikiti wake mtukufu kabisa wafe kwa kuangukiwa na crane wakati kina Yakuza huko wanashinda kwenye madanguro na hawaumwi hata na mbu?

Hujajibu swali.
 
Kama narudiarudia kila siku mbona hujazijibu?

Unaaminishwa kwamba kuna mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Ambaye hakuna unywele unaosogea dunia hii bila yeye kujua na kuruhusu.

Halafu unaambiwa crane linaangukia msikiti wake mtakatifu kabisa na kuua watu kibao.

Huyu mungu kwa nini kaachia hili?

Alishindwa kuzuia crane lisianguke?

Kama alishindwa, je ni kweli ana uwezo wote?

La, kama hakushindwa kuzuia, ila hakutaka tu, je ni kweli kwamba ana upendo wote?

Okee okee
 
Nimecheka leo baada ya waarabu Kuanza kuhisi Waisrael wanaweza kuwa na Mkono kwenye ajali hiyo.... Muhahahahaha

Ati walilegeza sukurubu!
 
Back
Top Bottom