Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Cheti cha kuzaliwa lazima yawe matatu maana jina la Baba lazima liwe ELIAS MMASI, halafu la mtoto JOYCE.majina ya cheti cha kuzaliwa ni mawili na vyeti vingine mawili ila NIDA matatu
Kwa hiyo hapo mtoto atajulikana kama JOYCE ELIAS MMASI(hili jina ndio linakuwa na NIDA, kwa sababu wakati wa kuandikishwa NIDA huwa wanatumia vyeti vyakuzaliwa).