Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.

Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.

mjn.jpg
 
Fafanua kidogo tuweze kujifunza
toka nianze kuishi na mwanamke..
1.hela inakaa zamani nilikuwa nikipata hela mpaka iishe ndo aman ya moyo ipatikane..sasa hv hela inakaa kaa

2.mwanamke amenifanya nipate hasira ya kumalizia ujenzi

3.navaa nguo safi napendeza kabla sijatoka kazini lazima anikague muonekano

4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa msaada.

5.sijawahi kununua malaya toka niwe naye..imetokea tu naona uvivu kwenda kumpa malaya 20000 eti ili nimgonge tu
 
toka nianze kuishi na mwanamke..
1.hela inakaa zamani nilikuwa nikipata hela mpaka iishe ndo aman ya moyo ipatikane..sasa hv hela inakaa kaa

2.mwanamke amenifanya nipate hasira ya kumalizia ujenzi

3.navaa nguo safi napendeza kabla sijatoka kazini lazima anikague muonekano

4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa msaada.

5.sijawahi kununua malaya toka niwe naye..imetokea tu naona uvivu kwenda kumpa malaya 20000 eti ili nimgonge tu
Haya mambo huwa hayatabiriki, wengine uzeeni wanapeana talaka. Vipi kwenye kumilikishana mali, yeye anamiliki asilimia ngapi?
 
Haya mambo huwa hayatabiriki, wengine uzeeni wanapeana talaka. Vipi kwenye kumilikishana mali, yeye anamiliki asilimia ngapi?
Mali zenyewe ninazo basi...kabanda cha vyumba vitatu ni mali??

Me sijui kama nikikwambia kwamba sinaga mpango na mawazo ya kuja kuwa tajiri sana utaniamini????????????????
 
Kiukweli sijafanikiwa kuhusiana, ila ninaimani mkikutana wote na ikawa sahihi mafanikio yapo ya kutosha kwa sababu baraka za mke huenda kwa mme.
Na ndio maana, mkigombana ndani hata kazini huwezi perform vizuri. Neno la mke ni baraka. Ukifungiwa tai na shati likiwa limepigwa pasi vizuri na mke, kazini utakuwa unaona mambo yanajipa yenyewe. 😄
 
Back
Top Bottom