Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.
Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?
Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.
Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?
Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.