Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.

Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.

View attachment 3137576Nimefanikiwa sana 😅😅😜​
 
Nililelewa na niliamini kumoenda mwenza wako kwa moyo wako wote, kujitoa kwake na kumuweka mwenza wako kwanza.

Kuwa muaminifu kwake na kumpa heshima na adabu zote za kiafrika.

Kumbe nilikuwa nampigia mbuzi gitaa, he take advantage of me having so many sources of fund, he collects alot of funds for his benefits then start to be bitter.

I quit and start all over again.

The loss I incurred was the investment for future as a lesson not to repeat the mistake 😉.
Kuna cha kujifunza hapa; baada ya hapo hukuanzisha mahusiano mengine?
 
Faida nyingi sana hata hazielezeki, ni Mungu alikuwa upande wangu

Hata hizo hasara chache kwa sehemu kubwa ni ujinga wangu mwenyewe
Pongezi kwako, wapo wengine wanalia mpaka leo, wamezurumiwa mpaka watoto.
 
toka nianze kuishi na mwanamke..
1.hela inakaa zamani nilikuwa nikipata hela mpaka iishe ndo aman ya moyo ipatikane..sasa hv hela inakaa kaa

2.mwanamke amenifanya nipate hasira ya kumalizia ujenzi

3.navaa nguo safi napendeza kabla sijatoka kazini lazima anikague muonekano

4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa msaada.

5.sijawahi kununua malaya toka niwe naye..imetokea tu naona uvivu kwenda kumpa malaya 20000 eti ili nimgonge tu
Huwa nasoma comments zako inaonesha umepata mwanamke bora. Wengine humu wamejaa hasira na chuki kwa wanawake kumbe ni magarasa waliyookota huko yamewanyoosha. Hongera sana.
 
I have a stable income, that caters for all my needs. I can afford traveling for holidays outside the country at least twice a year. I have my own place, and thank God I have enough package for tithing, offerings and charity. I simply can do most of things I dreamt of doing when I was a boy.

Why would allow a woman to come in my life and take this away from me ? Hell No.

Some of us are busy to be bae 🎵
Unaishi kwenye maono ya 50 cnt
 
toka nianze kuishi na mwanamke..
1.hela inakaa zamani nilikuwa nikipata hela mpaka iishe ndo aman ya moyo ipatikane..sasa hv hela inakaa kaa

2.mwanamke amenifanya nipate hasira ya kumalizia ujenzi

3.navaa nguo safi napendeza kabla sijatoka kazini lazima anikague muonekano

4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa msaada.

5.sijawahi kununua malaya toka niwe naye..imetokea tu naona uvivu kwenda kumpa malaya 20000 eti ili nimgonge tu
Namba nne nzuri
 
Back
Top Bottom