Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano ni mazuri sana kimbembe ni kumpata mtu sahihi ila ukimpta mtu sahihi mabadiliko utayaona tu.
You attract who you are

Ukiwa mtu sahihi utapata pia mtu sahihi

Kila kitu kinaanza na wewe

Wewe mwenyewe hujipendi halafu unataka mtu mwingine akupende? Haiwezekani
 
You attract who you are

Ukiwa mtu sahihi utapata pia mtu sahihi

Kila kitu kinaanza na wewe

Wewe mwenyewe hujipendi halafu unataka mtu mwingine akupende? Haiwezekani
Nilishakuwa na msichana nafanyia kila kitu upendo wa kweli na sikuwahi hata kuwaza kumcheat japo na yeye sikuwa na mshaka nae pia ila unajua nn kilitokea ?
Ghafla tu naona anampost bwana ake siku namuuliza ananambia mi nilikuwa na ww ila sijawahi kukupenda sikuwa na hisia na ww japo we ulikuwa mtu mwema kwangu.
Bro iliniuma mno ukizingatia nishapoteza mda wangu pia vizawad na matarajio yangu kwake yalikuwa makubwa.
 
Usiwe mwaminifu sana kwenye mahusiano ni hatari kwa afya yako, usipende sana hadi kupitiliza.

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikupe aina ya mtu atakayeweza kuwa sahihi kwako

Usitaje mwaka tarehe na mwezi tu
 
Nilishakuwa na msichana nafanyia kila kitu upendo wa kweli na sikuwahi hata kuwaza kumcheat japo na yeye sikuwa na mshaka nae pia ila unajua nn kilitokea ?
Ghafla tu naona anampost bwana ake siku namuuliza ananambia mi nilikuwa na ww ila sijawahi kukupenda sikuwa na hisia na ww japo we ulikuwa mtu mwema kwangu.
Bro iliniuma mno ukizingatia nishapoteza mda wangu pia vizawad na matarajio yangu kwake yalikuwa makubwa.
Usiwe mwaminifu sana kwenye mahusiano ni hatari kwa afya yako, usipende sana hadi kupitiliza.

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikupe aina ya mtu atakayeweza kuwa sahihi kwako

Usitaje mwaka tarehe na mwezi tu
 
Usiwe mwaminifu sana kwenye mahusiano ni hatari kwa afya yako, usipende sana hadi kupitiliza.

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikupe aina ya mtu atakayeweza kuwa sahihi kwako

Usitaje mwaka tarehe na mwezi tu
Nimekutumia inbox bro
 
Tarehe 1 mwezi wa 3
Tafuta mtu aliyezaliwa kati ya tarehe 22 oktoba hadi 22 November

Huyo unaweza kuendana naye vizuri sana

Wewe umezaliwa na huruma na upendo uliozidi kwa wengine, unapenda hadi unapoteza fahamu

Siyo jambo baya kuwapenda sana wengine lakini ukizidisha na ukakutana na mtu ambaye hamuendani utapata tabu sana na kuishia kujuta

Wapende watu wote lakini usiwaamini, jiamini wewe mwenyewe peke yako na Mungu wako

Practice detachment utaishi kwa amani

Wengine unaoendana nao ni hawa wawili wafuatao ;

2. Aliyezaliwa kati ya tarehe 21 April hadi 20 may na

3. Aliyezaliwa kati ya 21 juni hadi 22 July
 
Tafuta mtu aliyezaliwa kati ya tarehe 22 oktoba hadi 22 November

Huyo unaweza kuendana naye vizuri sana

Wewe umezaliwa na huruma na upendo uliozidi kwa wengine, unapenda hadi unapoteza fahamu

Siyo jambo baya kuwapenda sana wengine lakini ukizidisha na ukakutana na mtu ambaye hamuendani utapata tabu sana na kuishia kujuta

Wapende watu wote lakini usiwaamini, jiamini wewe mwenyewe peke yako na Mungu wako

Practice detachment utaishi kwa amani

Wengine unaoendana nao ni hawa wawili wafuatao ;

2. Aliyezaliwa kati ya tarehe 21 April hadi 20 may na

3. Aliyezaliwa 21 juni hadi 22 July
Ahsante sana kaka ubarikiwe kwa ushauri wako huu
 
Uhusiano/Marriage ni Covenant and not contract.

Kwenye covenant - unaweza ukatoa 100 ukapata 10 au ukatoa 10 ukapata 100

Kwenye contract - Unapata kama mlivyokubaliana.
 
Ahsante sana kaka ubarikiwe kwa ushauri wako huu
Wewe ni mtu wa kupenda kusali na kuwa karibu na Mungu

Watu wengine hudhani wewe ni mchawi

Kwa Kawaida unafikiri na kutenda kwa kutumia moyo badala ya ubongo na ndipo chanzo cha shida zako kilipo

Utatakiwa upate mtu mwenye roho ya kujali wengine, mwenye kuheshimu wengine

Tofauti na hapo utalazimika ujifyatue akili uishi kama usiyejali na usiyependa hadi kufa jambo ambalo sikushauri, Naamini utapata unayeendana naye kwa mapenzi ya Mungu kwako
 
Wewe ni mtu wa kupenda kusali na kuwa karibu na Mungu

Watu wengine hudhani wewe ni mchawi

Kwa Kawaida unafikiri na kutenda kwa kutumia moyo badala ya ubongo na ndipo chanzo cha shida zako kilipo

Utatakiwa upate mtu mwenye roho ya kujali wengine, mwenye kuheshimu wengine

Tofauti na hapo utalazimika ujifyatue akili uishi kama usiyejali na usiyependa hadi kufa jambo ambalo sikushauri, Naamini utapata unayeendana naye kwa mapenzi ya Mungu kwako
Ameeni Mungu anisimamie kwa kweli maana kupata mwenye mapenz ya kweli imekuwa ni kazi zaidi ya kutfuta kazi
 
Hii usijaribu mimi ilinitokea puani, kiufupi mapenzi ya mtandaoni ni utapeli
Mapenzi siyo Lazima yawe ndoa au yaishie kuwa ndoa, pia siyo Lazima kila penzi liwe ni penzi la kudumu

Hata humu mtandaoni unaweza kupata mpenzi inategemea unataka kufanya nini hasa na huyo mpenzi
 
Back
Top Bottom