Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Vipi, ukiyachunguza yanakupa faida?🤣🤣Hapana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi, ukiyachunguza yanakupa faida?🤣🤣Hapana mkuu
Changamoto ni kumpata mtu wa namna hiyoKiukweli sijafanikiwa kuhusiana, ila ninaimani mkikutana wote na ikawa sahihi mafanikio yapo ya kutosha kwa sababu baraka za mke huenda kwa mme.
Na ndio maana, mkigombana ndani hata kazini huwezi perform vizuri. Neno la mke ni baraka. Ukifungiwa tai na shati likiwa limepigwa pasi vizuri na mke, kazini utakuwa unaona mambo yanajipa yenyewe. 😄
🤣🤣🤣🤣4.nakopesheka..nikitaka kutatua shida na sina hela basi naenda naye sehemu naaminika wananipa
Kwanini uwaze mabaya tu kwani kuachana ni lazima?na sisi wakristo tumeambiwa tusiwe na visasi na tusameheane na kuvumiliana na kupendana na kusikiliziana.Unajua mkiachana, kuna kugawana mlicho chuma pamoja?
Sawa, elimu haina mwisho; muhimu kujifunzaNasoma comments mkuu
Unategemea nini zaidi ya utam kwenye mahusiano ya kimapenzi mkuu?🤣Vipi, ukiyachunguza yanakupa faida?
Kwa mwanamkeFaida nyingi kuliko hasara km utampata mwenzi sahihi..
Ata zinjanthropus alikuwa akiamini hivyo hivyo atafika mwaka 3000Kwanini uwaze mabaya tu kwani kuachana ni lazima?na sisi wakristo tumeambiwa tusiwe na visasi na tusameheane na kuvumiliana na kupendana na kusikiliziana.
hakuna kuachana mkuu niko naye mpaka 2075
,😂😂😂waanzisha mada wengine wanazingua mkuu, hawataki kusemea upande wao wanataka sisi tufunguke tuu it li watuchoReMhanga mwingine huyu hapa
Wapo ukiwa na macho ya rohoni.Changamoto ni kumpata mtu wa namna hiyo
Unategemea nini zaidi ya utam kwenye mahusiano ya kimapenzi mkuu?🤣
Yamekupa maendeleo gani mpaka sasa?Mapenzi ufala sana
Kila kitu kina gharama ya kulipia mkuu🤣Inategemea, inawezekana katika kupata hiyo huduma unagharamika vitu vingi, mfano; kusomesha ukoo wao, kumnunulia vitu vya thamani ili upendwe n.k
,😂😂😂waanzisha mada wengine wanazingua mkuu, hawataki kusemea upande wao wanataka sisi tufunguke tuu it li watuchoRe
Macho ya rohoni tunayapataje, ili nasi tuweze kuona watu sahihi?Wapo ukiwa na macho ya rohoni.
Inakuwa ngumu kuwapata kwa sababu wanaume wengi tunataka showcase.
Ila gharama zisinifanye nishindwe kununua ata suruali mpya.Kila kitu kina gharama ya kulipia mkuu🤣
Kwani unashikiwa bastola mkuu🤣🤣Ila gharama zisinifanye nishindwe kununua ata suruali mpya.
Uoga huo 😹😹Kwa mwanamke
Kwa mwanaume hayana faida