Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano yana possibility kubwa ya kukurudisha nyuma kuliko faida twakimu zenyewe zinaonesha n maafa meng yamesababishwa na mahusiano case study yangu ni (Arusha, njombe, I think mbeya, mwanza, Daslam) haya maeneo yenye kesi maarufu za kimasuhiano
Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.

Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.

View attachment 3137576
 
Swala la Hamna 50 kwa 50 limenirudisha myama kimaendeleo. Et kwamba mshahara wa mwanamke n wake sio wa familia. Na anapokea 1.2M mimi 800K

Mwenye connection ya mshangazi yeyte mwenye Pesa anipe fursa. CV na makaratasi yangu yapo vizuri😂
 
Naulizia kwenu wana JF hali kwenu ipoje kuhusu hii kauli ya Ukiingia kwenye ndoa milango ya baraka hufunguka.
Mimi haijafunguka huu mwaka wa 10
Ila tangu nijiingize kwa mishangazi sijakosea kabisa mambo yamejipa
 
Swala la Hamna 50 kwa 50 limenirudisha myama kimaendeleo. Et kwamba mshahara wa mwanamke n wake sio wa familia. Na anapokea 1.2M mimi 800K

Mwenye connection ya mshangazi yeyte mwenye Pesa anipe fursa. CV na makaratasi yangu yapo vizuri😂
Rejea wimbo wa msondo ngoma hajali(ukizaliwa mwanaume we ujue Kila kitu kwako itakua ni tabu)
 
Atakae ona Tangazo la ajira kua Mshangazi unatafta serengeti Boys anishitue. Vijana wasihangaike kwenye mahusiano😂
 
Namshukuru sana Mungu kwa kunipatia mke mwema na sahihi kabisa 100%
FAIDA
1)NDOA-ndoa takatifu
2)TENDO LA NDOA na kuacha dhambi ya zinaa,mana bila kufunga ndoa mkiwa pamoja kinyumba huo ni uzinzi.
Hata ukisali sala inakuwa ina swihi.
3)HESHIMA-mana ambao hawajaoa wanaitwa WAHUNI
4)UCHUMI umepanda kutoka chini sana mpaka sasa angalau si haba ,Mungu tunamshukuru
5)FAMILIA -neema ya kupata watoto ambao tunaishi nao pamoja na kuwalea pamoja,sio single father au single mother .
6)AMANI /UTULIVU nyumbani na familia,
Hizi ni chache tu baadhi na kwa kifupi
 
Pongezi kwako, wapo wengine wanalia mpaka leo, wamezurumiwa mpaka watoto.
Ni uzezeta wao tu, ukidhurumiwa watoto unazaa wengine, ukiachana na mwanamke sababu hamuelewani unaoa mwingine na maisha yanaendelea

KIKUBWA uzima, kama nipo hai basi bado naweza kufanya chochote nipendacho

Hakuna mipaka
 
Nililelewa na niliamini kumoenda mwenza wako kwa moyo wako wote, kujitoa kwake na kumuweka mwenza wako kwanza.

Kuwa muaminifu kwake na kumpa heshima na adabu zote za kiafrika.

Kumbe nilikuwa nampigia mbuzi gitaa, he take advantage of me having so many sources of fund, he collects alot of funds for his benefits then start to be bitter.

I quit and start all over again.

The loss I incurred was the investment for future as a lesson not to repeat the mistake 😉.
In life we either win or learn... You learned so it's OK.
Na naamini you are now better than before... Much love
 
Back
Top Bottom