Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 1,081
- 1,958
Hasira ni hasara. Huu mchezo hauhitaji hasira!Nilipata mafanikio alafu yakaondoka yoote baada ya mifarakano
Ungefundishwa namna rafiki ya kushughulikia hiyo mifarakano usingeishia kwenye hasara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira ni hasara. Huu mchezo hauhitaji hasira!Nilipata mafanikio alafu yakaondoka yoote baada ya mifarakano
Ya mtandaoni sio mapenzi bro nishakuwa na mtu tumekaa mwaka mzima tunaongea vizuri tu bila shida yeyote na sikuwa na shaka yeyote siku tuonane ndio ananambia ana mtu wake anampenda eti wameruidanaMapenzi siyo Lazima yawe ndoa au yaishie kuwa ndoa, pia siyo Lazima kila penzi liwe ni penzi la kudumu
Hata humu mtandaoni unaweza kupata mpenzi inategemea unataka kufanya nini hasa na huyo mpenzi
Hilo linaweza kukutokea hata kwa mtu ambaye umekutana naye kanisani au msikitiniYa mtandaoni sio mapenzi bro nishakuwa na mtu tumekaa mwaka mzima tunaongea vizuri tu bila shida yeyote na sikuwa na shaka yeyote siku tuonane ndio ananambia ana mtu wake anampenda eti wameruidana
Hapo nishapoteza visenti vyangu na mida pia,
Mapenzi ya mtandaoni ni utapeli Over.
Mwaka Juzi kuna manzi aliingia kichwakichwa kwa mtu mmoja , akaliwa pesa na kuachwa kama alivyoUhusiano/Marriage ni Covenant and not contract.
Kwenye covenant - unaweza ukatoa 100 ukapata 10 au ukatoa 10 ukapata 100
Kwenye contract - Unapata kama mlivyokubaliana.
Uko sahihi na humu watu wamelizwa hatariWapenzi wa mitandaoni sitaki hata kusikia. Ijapokuwa watu ni wale wale lkn sio wa humu, nitapambana na wa huku huku kitaa.
Umeongea vyema mkuu , inaonekana Una uzoefu Sana hiyo sektaIn life we either win or learn... You learned so it's OK.
Na naamini you are now better than before... Much love
Hahaha safi mara moja moja na wao waonje machungu ya kulizwa mapene.Mwaka Juzi kuna manzi aliingia kichwakichwa kwa mtu mmoja , akaliwa pesa na kuachwa kama alivyo
Alilizwa akawa kama kachanganyikiwa nao hukutana na masahibu ujue,Hahaha safi mara moja moja na wao waonje machungu ya kulizwa mapene.
Kidogo ulipata asie na tamaa na mvumilivu , hasa uanze kumzingua baada ya mambo kukaa sawaYamenipa mafanikio japo ilikuwa miaka kama minne hivi ya Giza Kali Ila uvumilivu wake na heshima yake kwangu Mimi niliyekuwa Baba suruali Kwa wengine hatimaye tulifikia pazuri
cocasticKila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.
Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?
Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.
View attachment 3137576
Kweli mkuu Moja ya vitu nashukuru sanaKidogo ulipata asie na tamaa na mvumilivu , hasa uanze kumzingua baada ya mambo kukaa sawa
Ulikua unakula mzigo, kama jibu ni ndio wala usifadhaike haujapoteza sana, coz hakuna kingine angeweza kukupaNilishakuwa na msichana nafanyia kila kitu upendo wa kweli na sikuwahi hata kuwaza kumcheat japo na yeye sikuwa na mshaka nae pia ila unajua nn kilitokea ?
Ghafla tu naona anampost bwana ake siku namuuliza ananambia mi nilikuwa na ww ila sijawahi kukupenda sikuwa na hisia na ww japo we ulikuwa mtu mwema kwangu.
Bro iliniuma mno ukizingatia nishapoteza mda wangu pia vizawad na matarajio yangu kwake yalikuwa makubwa.
Hata sikula kwakweli aliniweza nilijiona bwege wa mwisho duniani,Ulikua unakula mzigo, kama jibu ni ndio wala usifadhaike haujapoteza sana, coz hakuna kingine angeweza kukupa
Umeongea vyema mkuu , inaonekana Una uzoefu
Hahaha ha.. LegendUmeongea vyema mkuu , inaonekana Una uzoefu Sana hiyo sekta
Hahaahaa mkuu wewe ndio unafaa Una uzoefu mkubwa hata ukipigwa mazongeHahaha ha.. Legend
Kweli wewe legendHahaha ha.. Legend
Hahaha.. Nimecheka kama mazuri... Pole na hongera mkuuMahusiano yote Yana faida na hasara kwa Pande zote inategemea hasara imeanza kumkuta nani na faida imeanza kumkuta nani , kwa Mimi Yule mbwakoko Bora nilimwacha