Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Nilipata mafanikio alafu yakaondoka yoote baada ya mifarakano
Hasira ni hasara. Huu mchezo hauhitaji hasira!

Ungefundishwa namna rafiki ya kushughulikia hiyo mifarakano usingeishia kwenye hasara.
 
Mapenzi siyo Lazima yawe ndoa au yaishie kuwa ndoa, pia siyo Lazima kila penzi liwe ni penzi la kudumu

Hata humu mtandaoni unaweza kupata mpenzi inategemea unataka kufanya nini hasa na huyo mpenzi
Ya mtandaoni sio mapenzi bro nishakuwa na mtu tumekaa mwaka mzima tunaongea vizuri tu bila shida yeyote na sikuwa na shaka yeyote siku tuonane ndio ananambia ana mtu wake anampenda eti wameruidana
Hapo nishapoteza visenti vyangu na mida pia,
Mapenzi ya mtandaoni ni utapeli Over.
 
Ya mtandaoni sio mapenzi bro nishakuwa na mtu tumekaa mwaka mzima tunaongea vizuri tu bila shida yeyote na sikuwa na shaka yeyote siku tuonane ndio ananambia ana mtu wake anampenda eti wameruidana
Hapo nishapoteza visenti vyangu na mida pia,
Mapenzi ya mtandaoni ni utapeli Over.
Hilo linaweza kukutokea hata kwa mtu ambaye umekutana naye kanisani au msikitini
 
Mahusiano yote Yana faida na hasara kwa Pande zote inategemea hasara imeanza kumkuta nani na faida imeanza kumkuta nani , kwa Mimi Yule mbwakoko Bora nilimwacha
 
Yamenipa mafanikio japo ilikuwa miaka kama minne hivi ya Giza Kali Ila uvumilivu wake na heshima yake kwangu Mimi niliyekuwa Baba suruali Kwa wengine hatimaye tulifikia pazuri
 
Yamenipa mafanikio japo ilikuwa miaka kama minne hivi ya Giza Kali Ila uvumilivu wake na heshima yake kwangu Mimi niliyekuwa Baba suruali Kwa wengine hatimaye tulifikia pazuri
Kidogo ulipata asie na tamaa na mvumilivu , hasa uanze kumzingua baada ya mambo kukaa sawa
 
Hizi habari za wanaume kujilinganisha na wanawake mmezitoa wapi nyie vitoto vya Mkapa?
 
Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.

Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?

Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.

View attachment 3137576
cocastic
 
Nilishakuwa na msichana nafanyia kila kitu upendo wa kweli na sikuwahi hata kuwaza kumcheat japo na yeye sikuwa na mshaka nae pia ila unajua nn kilitokea ?
Ghafla tu naona anampost bwana ake siku namuuliza ananambia mi nilikuwa na ww ila sijawahi kukupenda sikuwa na hisia na ww japo we ulikuwa mtu mwema kwangu.
Bro iliniuma mno ukizingatia nishapoteza mda wangu pia vizawad na matarajio yangu kwake yalikuwa makubwa.
Ulikua unakula mzigo, kama jibu ni ndio wala usifadhaike haujapoteza sana, coz hakuna kingine angeweza kukupa
 
Ulikua unakula mzigo, kama jibu ni ndio wala usifadhaike haujapoteza sana, coz hakuna kingine angeweza kukupa
Hata sikula kwakweli aliniweza nilijiona bwege wa mwisho duniani,
Kuna mda hasira zilifika nilitamani nimfanyie kitu kibaya sana, sema nilimuomba mungu likapita
 
Mahusiano yote Yana faida na hasara kwa Pande zote inategemea hasara imeanza kumkuta nani na faida imeanza kumkuta nani , kwa Mimi Yule mbwakoko Bora nilimwacha
Hahaha.. Nimecheka kama mazuri... Pole na hongera mkuu
 
Back
Top Bottom