Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #61
Yoyote tu, ukijitathmini mwenyeweMafanikio lakini yasiyoshikika au kuonekana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoyote tu, ukijitathmini mwenyeweMafanikio lakini yasiyoshikika au kuonekana.
Kila mmoja utamani kuingia kwenye mahusiano; haijalishi anapata faida au hasara, ingawa wapo wachache wanaopata faida, na pia wapo wengine wanapata hasara na kujikuta wanarudi nyuma miaka 20 iliyopita kimaendeleo.
Sasa ndugu zangu nawauliza; Mahusiano kwako, yamekupa mafanikio au yamekurudisha nyuma kimaendeleo?
Nipo hapa kijijini na kata langu la togwa, nikisikiliza vilio vyenu.
View attachment 3137576
Mapenzi sio pesa tu. Wengi tunavurugwa kwa sababu ya kutopata watu sahihi.Kama matajiri wakubwa huko duniani yaliwashinda, itakuwaje sisi wachumia tumbo?
Wapenzi wa mitandaoni sitaki hata kusikia. Ijapokuwa watu ni wale wale lkn sio wa humu, nitapambana na wa huku huku kitaa.Inabidi upate mtu sahihi kupitia jukwaa hili
Upuuzi tuYamekupa maendeleo gani mpaka sasa?
Rejea wimbo wa msondo ngoma hajali(ukizaliwa mwanaume we ujue Kila kitu kwako itakua ni tabu)Swala la Hamna 50 kwa 50 limenirudisha myama kimaendeleo. Et kwamba mshahara wa mwanamke n wake sio wa familia. Na anapokea 1.2M mimi 800K
Mwenye connection ya mshangazi yeyte mwenye Pesa anipe fursa. CV na makaratasi yangu yapo vizuri😂
Mkuu Mishangazi imenikomboa sana sahivi na hudumiwa. Nimechelewa sana kumbe dunia sio chungu kiasi hicho.Rejea wimbo wa msondo ngoma hajali(ukizaliwa mwanaume we ujue Kila kitu kwako itakua ni tabu)
Ndoto gani?Uoga huo 😹😹
Mwanaume anapata faida nyingi, anaishi kwenye ndoto zake..
Kuna cha kujifunza hapa; baada ya hapo hukuanzisha mahusiano mengine?
Ni uzezeta wao tu, ukidhurumiwa watoto unazaa wengine, ukiachana na mwanamke sababu hamuelewani unaoa mwingine na maisha yanaendeleaPongezi kwako, wapo wengine wanalia mpaka leo, wamezurumiwa mpaka watoto.
Ni ya kiroho au ya ulevi wa visungura!?Mafanikio lakini yasiyoshikika au kuonekana.
In life we either win or learn... You learned so it's OK.Nililelewa na niliamini kumoenda mwenza wako kwa moyo wako wote, kujitoa kwake na kumuweka mwenza wako kwanza.
Kuwa muaminifu kwake na kumpa heshima na adabu zote za kiafrika.
Kumbe nilikuwa nampigia mbuzi gitaa, he take advantage of me having so many sources of fund, he collects alot of funds for his benefits then start to be bitter.
I quit and start all over again.
The loss I incurred was the investment for future as a lesson not to repeat the mistake 😉.