Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo taratibu kasie ntakudunda bure..Kanunue kashata umezee....😏😏
Kumbe wazee pia huwa mnadanganya🤔 ..miaka ya 90 unakutana na meseji za wanawake kwenye simu!!!?Jamaa akawa anajua ameshaniteka sifurukuti kila kitu natii halafu yeye anatongoza saa ingine mbele yangu, nakutana na meseji za wanawake zake kwenye simu, vikaratasi kwenye mifuko ya nguo ya namba za simu za waschana nikajisemea ntakufa
HeeChai
Daah... after all we had been through... Damn it... umeona umwage mchele... umejeruhi kwa tindikali kuta tulivu za Moyo wangu... vipi mbona mema yangu huja tamka, Truly nmekuwa Shetani kwa 10 years... haya bhana... lesson learnt...Night night
Ubaya wa wanaume wapigaji ni kuwa wanajua kubembeleza....kujitoa kwao ni hadi upate msaada wa Mungu.
kabisa aiseUbaya wa wanaume wapigaji ni kuwa wanajua kubembeleza....kujitoa kwao ni hadi upate msaada wa Mungu.
swali zuri hiliMiaka 10? Huo uchumba sugu..
Hamkupata hata mtoto mmoja?
Pole sana Kasie,
Namshukuru Mungu na ukichaa wangu wote sijawahi pata partner hata wa kunifinya jamani..!
Na Mungu aepushe mbali.!!
Tulia