Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na naomba nisipate hakika..!Mnhh ukimpata hutoki...
AiseeTulia
Real praying swirry,Asante dear..
Shukuru Mungu na endelea kuomba Mungu akuepushe na binadamu wenye hasira za Mkizi...!
Kwa vurugu ulizonazo..😀Sina matani kwenye abusing relationships/ violence...😏😏
Swali langu kwako, tangu umeachana na mchuchu aliyekuwa anakusugua barabara vp uliwai kuolewa kwa ndoa au ndio kwishney mpk upo na babu now days?
Umekaa kimbeambea Sana leo! Kama vile unakiu hivi..😂aisee
Pole sana..watu wanapitia mengi.Unachosema ni kweli kabisa, kuna kipindi ndugu zangu waliingilia kati hadi baba na mama... nikaondoka kwa huyo mchumba....
Akaja akaomba msamaha anataka aendelee kuishi na Kasinde...
Nikaulizwa unasemaje, nami nishamisi mikito ya kitandani nikarudi...
Kudaaadekiii....
Miezi 2 tuu karudia ufirauni wake, nilivyoondoka, nilinyanyuka mwenyewe bila support ya kaka, mjomba wala wazazi...
Hadi leo sijawahi kurudi kwake....
Namshukuru Mungu.
Jamaa akawa anajua ameshaniteka sifurukuti kila kitu natii halafu yeye anatongoza saa ingine mbele yangu, nakutana na meseji za wanawake zake kwenye simu,
Nilipofika hapa nikaacha kusoma huu uziStory nzuri sana. Ila nauliza tu mwaka 90 kulikuwa na simu za kiasi cha kufumania msgs za wanawake zake???
aiseUmekaa kimbeambea Sana leo! Kama vile unakiu hivi..😂
Something heavy deshdesh your head. 😂Siipendi simulizi zenu za kupendana 😞
10 fckn years unavumilia kipigo[emoji15][emoji15],, hzo roho mnazitoaga wapi nyie [emoji848][emoji848],
Hiyo ya simu ilikuwa zishaingia TZ, kuna namna nimesimulia kuondoa dots au koneksheni na uhalisia kabisa....
Hope now atakua poa kwa kudra zake Mungu inshallah.Kulitokea shida za kiafya kwa mmoja wetu zilizozuia kupata watoto, sitasema ni nani.