Mahusiano mabaya aliyopitia Kasinde kwenye maisha yake (uhalisia)

Mahusiano mabaya aliyopitia Kasinde kwenye maisha yake (uhalisia)

Just kill yourself you need to rest sis enough is enough just leave that monster alone with kids ili ajifunze in hard ways

Geees...!! Can you tell same words to your daughter or sister...!!???

To have a brake is okay but not to kill herself..

Na wanaume wa hivyo wala sio waleaji, atawatesa watoto tuu...
 
Da Kasie, tumezaa four kids*, nawaza nikiondoka vipi kuhusu hawa watoto.....ingawa hanipigi siku hizi Ila simuamini tena....na hanipigi kwa sababu nimeamua kujifanya mjinga, though wakati mwingine uzalendo unanishinda....
Imagine na hapo nimesoma psychology....Ila nashindwa!
Dawa ni kutafuta mchepuko
 
Naongea with experience, najiona kabisa naelekea kufia mikononi mwa mtoto wa mtu, Ila ndo hivo nimevurugwa na show, nakitoka kupewa kichapo nabembelezwa hadi natamani niseme nipige tena....
Niombeeni.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nyie nimecheka mbavu cna. Wallah.
 
Da Kasie, tumezaa four kids*, nawaza nikiondoka vipi kuhusu hawa watoto.....ingawa hanipigi siku hizi Ila simuamini tena....na hanipigi kwa sababu nimeamua kujifanya mjinga, though wakati mwingine uzalendo unanishinda....
Imagine na hapo nimesoma psychology....Ila nashindwa!
Kheeeh kumbe ni mzazi mwenzako, wee usivumilie plz utakuja kufa buree.
 
Pole kwa yote Kasinde, tunaishi kwenye dunia ambayo ina watu wenye nafsi tofauti tofauti...

Wapo waliopangiwa kuoa au kuolewa na majambazi, lakini utakuta wanao au kuolewa na manesi na hapo ndipo kunatokea kutaniko na sio unganiko lamioyo iliyopaswa kuwa na hatma moja...

Ngoja nikuchokoze Kasinde, hivi wakati huo hukuwa wapiga msuba kama sasa?? [emoji848][emoji848]

[emoji336][emoji336] mlizitoa wapi Kasinde kipindi hiyo Mandela anapambana na makaburu
Hadithi yake hapo kwenye simu ndipo imemuharibia
 
Pole sana bibi mahusiano ambayo ni abuse ni hatari sana.

Kuna kitabu kizuri kinaitwa ITS END WITH US ni cha love story huyo dada naye alikuwa anapata dalili hizo hizo kutoka kwa Mpenzi wake mwisho wa siku aliweza kuji nusuru kutoka mikononi mwa monster.
 
Kwani wewe amekwambia yuko nchi gani? Mi kanambia yuko Tanzania na ni mstaafu. Kuna siku kapiga picha anatembea mjini Dar.

Kwani wewe unawashwa nini? Kidampa nini? Jikune.
Sasa wewe umejuaje kama yuko Tanzania?
 
Back
Top Bottom