That's what am doing, Ila mimi binadamu naogopa kuna siku nitamkwaza....!Kikubwa punguza mdomo wa juu, kua na kauli nzuri Kwa mumeo uone kama hajabadilika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's what am doing, Ila mimi binadamu naogopa kuna siku nitamkwaza....!Kikubwa punguza mdomo wa juu, kua na kauli nzuri Kwa mumeo uone kama hajabadilika.
Just kill yourself you need to rest sis enough is enough just leave that monster alone with kids ili ajifunze in hard ways
Namkemea kwa Jina la Yesu..!Shetani anakulia timing tu
aaaah' wapi...!!Then you are a very perfect brand new punching bag
Hahaha Haina nguvu kabisa....Namkemea kwa Jina la Yesu..!
Shindwaaa saitaaani..!!
Dawa ni kutafuta mchepukoDa Kasie, tumezaa four kids*, nawaza nikiondoka vipi kuhusu hawa watoto.....ingawa hanipigi siku hizi Ila simuamini tena....na hanipigi kwa sababu nimeamua kujifanya mjinga, though wakati mwingine uzalendo unanishinda....
Imagine na hapo nimesoma psychology....Ila nashindwa!
Bibi achana nae huyoo, wala asikusumbue. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]I don’t understand anything you are talking about...!
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nyie nimecheka mbavu cna. Wallah.Naongea with experience, najiona kabisa naelekea kufia mikononi mwa mtoto wa mtu, Ila ndo hivo nimevurugwa na show, nakitoka kupewa kichapo nabembelezwa hadi natamani niseme nipige tena....
Niombeeni.
Kheeeh kumbe ni mzazi mwenzako, wee usivumilie plz utakuja kufa buree.Da Kasie, tumezaa four kids*, nawaza nikiondoka vipi kuhusu hawa watoto.....ingawa hanipigi siku hizi Ila simuamini tena....na hanipigi kwa sababu nimeamua kujifanya mjinga, though wakati mwingine uzalendo unanishinda....
Imagine na hapo nimesoma psychology....Ila nashindwa!
Dogo mic u saana, [emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]pole mkuu
Hadithi yake hapo kwenye simu ndipo imemuharibiaPole kwa yote Kasinde, tunaishi kwenye dunia ambayo ina watu wenye nafsi tofauti tofauti...
Wapo waliopangiwa kuoa au kuolewa na majambazi, lakini utakuta wanao au kuolewa na manesi na hapo ndipo kunatokea kutaniko na sio unganiko lamioyo iliyopaswa kuwa na hatma moja...
Ngoja nikuchokoze Kasinde, hivi wakati huo hukuwa wapiga msuba kama sasa?? [emoji848][emoji848]
[emoji336][emoji336] mlizitoa wapi Kasinde kipindi hiyo Mandela anapambana na makaburu
Kumbuka na tayari alikuwa na Mobile, labda sasa a edit mwaka ili chai ikae sawaMwaka 1990?kasinde mwaka huo ulikuwa primary bana
jamaa akaniambia zima simu huyo utaenda kupambana nae kesho mwenyewe.
Sasa wewe umejuaje kama yuko Tanzania?