Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Sehemu ya mwisho...........
........................

Nikatoka pale mti mmoja nikiwa sina hata ninapokwenda,yani sina plani yyt wala sielewi chochote cha kufanya,nikatoka pale kwa kamanyola nikaamua kuchanja kwa miguu hadi bamaga,bamaga nikakata kulia ile njia inayopita mabatini moja kwa moja,nikatembea kwa miguu hadi Biafra, muda huo nafika Biafra ni mchana SAA tisa,nikaingia kwa wakala nikatoa laki 3 crdb,nikapanda boda kurudi sinza tena maana nishachoka kutembea kwa miguu,nikafika mahali nikaona kibao cha massage nikaingia.kufika ndani nakuta mabinti kibao wote nusu uchi,udenda ukanitoka,nikaulizia bei ya massage nikatajiwa,nikalipa 40,000,nikaingia na mdada chumbani,akanipiga massage yake na baada ya kuona nimezidiwa akadai 30,000 ya nyongeza ili anipe tunda,ckubisha nikatoa,nikapewa goli 1 kwa elfu 30 na massage 40,jumla 70,nimetoka pale nyege zimeisha ndio najilaumu kwamba nimepoteza 70k hv hv,kwa kupata goli 1,muda huo SAA 11 jioni cjala chochote zaidi ya supu nilikunywa muda ule natoka mti mmoja,....nikachukua boda hadi mawasiliano nikapanda gari za tabata,nikashuka bima,nikatafuta lodge nzuri pale nikapata ya elf 30,000.nikatoka nikaenda zangu kwetu pazuri,nikaagiza kuku mzima bila ndizi choma wala ugali,nikamchakata akaisha nikashusha maji kubwa.
Muda huo SAA 12 jioni,
Nikaagiza Serengeti lite bariidi nikaanza kuzishusha,nikanogewa,nilizishusha sijui ngapi hata sikumbuki idadi,...ila zaidi ya kumi na kuendelea,...... Sasa nimelewa,nikatamani kutafuta demu nikaogopa ataniibia maana nishalewa.SAA tano ucku nikatafuta bajaji ikanirudisha kulala Lodge,
Cku inayofuata nikaona hapa dar kwa stress nilizonazo nitakula hii hela hadi iishe bila kufanya chochote,....nikampigia jamaa mmoja tulifanyaga nae kazi kipindi cha nyuma,nikamuuliza alipo akanambia yuko kwao Dodoma wilaya ya chemba anapambana na kilimo,...huyu jamaa yy alitumbuliwa na Magu kwa kufoji cheti 2017,na Mimi nikatimuliwa kwa makosa ya kizembe na kusababisha eti wao wanasema hasara kwa serikali kwa kuingia mkataba mbovu,mkataba wenyewe ulikuwa unahusu jamaa mmoja aliekuwa ana supply vifaa vya ofisi,na kweli kwenye ile ishu nilipiga hela kidogo kama milioni 2 ila wao wakanambia nimesababisha hasara ya 18 milioni,nikaishia jela miezi kadhaa na kazi nikakosa,.
Bac huyu jamaa aliitwa sele,sele nikamwambia bwana nimejiingiza mwenye biashara ya mazao imenipiga hasara kubwa,....sele akanambia niachane na biashara,akanishawishi niende chemba nikakodi mashamba tulime,na yy akaahidi kunisaidia ushauri maana yy ni mzoefu kiasi..cku inayofuata nikapanda basi zinazoenda hadi babati kutoka dar,...nikashuka chemba pale SAA tisa mchana,jamaa akanipokea vzr tu.jioni tukakaa mahali na kupanga mipango yetu,akanambia kuwa sasa tuwahi mashamba kabla hayajapanda bei za kukodi,kwa wakati huo tulipata sh 20,000 kwa kila heka,nikachukua heka 40 kwa sh laki 8,tukaanza kuandaa shamba kwa kusafisha.baadae tukatulia kusubiri msimu wa mvua uanze tulime na kupanda,...wakati tukisubiri msimu wa mvua nikaondoka kwanza kurudi home arusha kusalimia familia,....
Dah jamani ukimtegemea Mungu kwa kweli unafanikiwa sana,nimefika Arusha nikakuta wife biashara imekubali kweli kweli,duka limependeza na ile 2m nilomuongezea ameongeza vitu vingi ambavyo hakuwa navyo mwanzo,na biashara ilikua inatoka kweli kweli,wife akanambia napoteza muda tu kuzunguka mwenye mabiashara yanayonipa hasara wakati pesa IPO pale pale mjini,akanishauri sana nifungue duka lingine tofauti na like lake na kujaza Mali kisha kila mmoja asimame na duka lake,nikamwambia kuwa nishaingiza pesa nyingi kwenye kukodi shamba na kulisafisha,tukashauriana na wife kuwa baada ya kuvuna na kuuza bac nirudi mjini nikawekeze zaidi,ukweli nilitamani kuanza biashara kama ya wife maana kwa Siku nilozokaa nae pale dukani kwake nilishuhudia mauzo yake yalivyo mazuri.
Cku zilienda hatimae msimu wa kilimo ukawadia,nikafunga safari kurudi chemba kwenye kilimo,tulipanga kupanda alizeti na mahindi.nikaingiza trekta shambani kulima,on kanunua mbegu na kupanda,nikaendelea na matunzo ya shamba hadi kupalilia na kuvuna,mavuno hayakuwa mazuri sana kiasi cha kupata faida nzuri,baada ya kuvuna ckutaka kupoteza muda nikauza mazao,kwa msoto wote niliopata shambani nikaambulia faida ya sh laki 8 pekee,nilikua naandika kila shilingi niliyotumia hadi nauli za basi,chakula na malazi,mwisho wa cku naambulia faida ya laki 8 kwa miezi zaidi ya 6,nikashukuru Mungu kwa hicho kidogo maana angalau hela ilirudi,
Nikaondoka kurudi mjini,nikakuta wife kwa biashara yake ile ndogo ametengeneza faida ya milioni na laki 4 kwa kipindi mm nipo nahangaika na shamba lililonipa faida ya laki 8 pekee,hio milioni na laki 4 ya wife ni faida alotengeneza tofauti na mtaji matumizi ya nyumbani.
Nikaanza kutafuta fremu nzuri iliopo site nzuri ya kazi.nikapata maeneo ya Shamsi,fremu nzuri tu nikalipa kodi ya mwaka,nikafungua duka LA nafaka,.....nauza mchele wa magugu,wa kahama,na wa mbeya,nauza maharage ya sina mbalimbali,nauza choroko,kunde,ufuta,ulezi,karanga,mahindi,na unga wa mahindi,nauza pia njugu,unga wa ngano,mafuta ya alizeti,dagaa,na vingine vingine.nilipata shida kidogo kukusanya mahitaji ila baadae nikajaza kila kitu,hio ilikua 2019 mwezi wa 7,kazi nikawa napiga mwenyewe,na kazi ikaenda vizuri sana,nikatafuta kijana wa kunisaidia ambae alikua shemeji yangu mdogo ake wife.Nikarudi kufanya ibada zilizonyooka,kifupi nikamrudia Mungu baada ya kuona nimetulia na hela inaingia....
Akiba Benki nikabakisha milioni 2 tu,zingine zote nikaingia dukani,jamani asikwambie MTU Mungu ukimtegemea anakuokoa,nilishakata tamaa kabisa ya maisha baada ya kwenda jela...,Sasa hivi mtaji umekuwa mkubwa hadi nafata Mali mwenyewe,kama mchele napiga simu kahama natumiwa hadi tani 10.hela kiukweli imeongezeka sana na usafiri nimenunua mwaka huu mwez wa 3,japo nimenunua gar ya kawaida tu raum lakini inanisaidia sana,...Mambo yakienda hivi natarajia mwisho wa mwaka nifungur duka lingine LA nafaka mtaa mwingine maana nataka zinalipa,MTU hawezi kushinda na njaa,lazima atakuja kununua tu chakula,tofauti na maduka ya vitu kama nguo,nguo MTU akiwa hana pesa atavaa nguo za zamani ila chakula atakopa hata pesa anunue chakula cku ziende,nawashauri wadau mjaribu hii biashara,ukiangalia faida yake ni ndogo ila inauzika sana,unajikuta jioni mauzo yako ni laki 4 hadi 4.5,ukitoa mtaji hapo faida inachezea 50-70 kwa cku,ni pesa nzuri sana,wife nae hakosi faida ya 30 kwa cku,maisha yanasonga kwa Uwezo wake Allah.Nilikuja kumuomba wife msamaha kwa yote machafu nikimfanyia nae akanisamehe na kusema nizidishe kuomba msamaha kwa Mungu maana ndio nimemkosea zaidi.
Eti cku moja mwaka huu mwanzoni yule Sauda akanitafuta tena,cjui anatoaga wapi namba zangu huyu Dada,akadai yupo arusha na amenimisi,akaomba tuonane,nikajua hapa narudishwa tena kule kule kwenye mabalaa na manuksi ya wake za watu,nilimfokea sana kwenye cm,nikamwambia we mwanamke koma kabisa kunitafuta,kwa tulia na ndoa yako na umuheshimu mumeo,mm sio yule wa miaka ya nyuma tena km ulivyozoea,mm nimerudi kutenda mema na nikaomba asipige namba zangu maana zitaanza kuleta vishawishi,wanawake wengine cjui wakoje jamani,akawa hasikii na kuzidi kunisumbua hadi nikamtukana matusi ndio akakoma(Mungu nisamehe kwa kumtukana),...ilikua sina jinsi ya kufanya maana alitaka kunizoea,...
Namshukuru Mungu hadi hapa nilipo na ninatamani Mungu anisamehe kwa maovu niliyofanya.
Nawashauri vijana wenzangu na wakubwa zangu na wadogo zangu waume kwa wanawake,tujifunze kuheshimu ndoa zetu na ndoa za watu wengine,tuzihifadhi tupu zetu pia.
Majanga mengine ktk maisha huwa yanakuja kwa mikosi na lawama za watu wengine tunaowadhulumu,kudhulumu sio lazima udhulumu Mali tu,Bali hata kuzini na mke wake au muwe wake pia umemdhulumu,..
Nimependa kuwashirikisha ili atakaejifunza na wajifunze,asije kupita nikipopita mimi na kupata madhara kama yangu au makubwa zaidi yangu,Mimi Mungu aliniepusha kuuwawa,kufanyiwa unyama wa kudhalilishwa na pia aliniepusha na maradhi japo alichapa fimbo ya kuniadhibu kimaisha lakini nimetubu kwa dhati na sasa naona nafuu ya maisha.
Asanteni sana kuwa kushiriki pamoja,na ninawaomba mjifunze kutokana na matukio hayo,msisome tu kama burudani na kisha mkaja kupita nilipopita ndugnizangu.Leo nimeutua mzigo mzito
Naweka kalamu chini...
Amani ya Mungu iwe nanyi.
Hongera kwa kusimama tena mkuu, waswahili huwa wana msemo wao kuwa kuteleza sio kuanguka! Hakika umepambana
 
Kiukweli wake za watu wanaliwa sana tena sana ....
narudia tena wake za watu wepesi kulika kiulaini na wanaliwa mnooooo na masela kitaa.
Jamani eee sijui kama mnanielewa yaani now days mbususu za wake za watu zinachakatwa vilivyo.
Kama umeoa shukuru sana mke wako hujamkamata ila amini nawaambia wanawake hawa ni wanjanja mno kutuzidi sisi wanaume!
Kwani nyinyi si munajifanya wajanja?

Halafu hao wanaotembea nao ni akina nani? Nyinyi wanaume waume za watu vile vile. Ngoma droo.
 
Kwani nyinyi si munajifanya wajanja?

Halafu hao wanaotembea nao ni akina nani? Nyinyi wanaume waume za watu vile vile. Ngoma droo.
Unakunywa kinywagi ganiiii


Kifupi ni hiviiiii...wanaume wa ss hivi( najua toka zamani pia wanafanya)
Nao ni vitombi.mnoooooooo hawatulii na mmoja

So wanavyoona wananwake wanajiachia na sisi ndivyo tunavyowaona wao wakijiachia



Hakuna wa kumcheka mwenzie
 
Unakunywa kinywagi ganiiii


Kifupi ni hiviiiii...wanaume wa ss hivi( najua toka zamani pia wanafanya)
Nao ni vitombi.mnoooooooo hawatulii na mmoja

So wanavyoona wananwake wanajiachia na sisi ndivyo tunavyowaona wao wakijiachia



Hakuna wa kumcheka mwenzie
Hakuna mwanaume anaweza kuwa na mwanamke mmoja,haitawezekana I lush as Hindi kana.ukiizowea k inakuwa ya kawaida,ladha inaisha has a kma unlala nayo daily..
Kwahiyo nanyi ni vitombwiii?
 
Habari za Leo wana Jf wenzangu,

Mimi sio mgeni humu. ndani,Nina ID ninayoitumia tangu mwaka 2013 ila kutokana na kitu ninachotaka kukiandika humu basi nimelazimika kufungua ID mpya kabisa.

Nimezaliwa miaka 40 iliyopita ktk moja ya wilaya zilizopo kaskazini ya Tanzania, ni mtoto wa 4 kuzaliwa ktk familia yenye watoto 6,wazazi wangu wote walikua watumishi na sasa amebaki mama tu baada ya baba mzazi kufariki miaka takribani 28 iliyopita.

Twende moja kwa moja kwenye mada yangu.Mnamo mwaka 2009 nilipata ajira katika kampuni moja kubwa tu huko kaskazini mwa Tanzania,nilifanya kazi pale kwa uhodari mkubwa kiasi cha kupelekea kufahamiana na karibu kila mtumishi wa tawi lile,(nasema tawi maana kampuni ina matawi mengi sana Tanzania),ktk kipindi cha miezi mi4 tu ya mwanzo niliaminika na mabosi wa vitengo na idara zote na haikuchukua muda nikapewa ukuu wa kitengo,hapo nikaongeza hadi marupurupu kibao kazini.

Stori yangu ni ya kweli kabisa ambayo ni misukosuko niliyoipata na wala si ya uongo,ukiona INA dalili ya chai basi hulazimishwi kuisoma bali waachie ambao itawafunza na kuwafurahisha,na wala sitarajii kupewa ushauri maana ni mambo yalikwishatokea muda mrefu na yalishapita na sasa naendelea na maisha yangu mapya japokua nimerudi nyuma kidogo kimaisha.

Mimi Nina mke na watoto wawili,wakike na wakiume,. Wakati huo ninaanza kazi pale nilikua na mtoto mmoja tu wa kike na baadae nilikuja kupata mtoto mwingine wa kiume. Naweza kusema mke wangu ni mke bora na ni zawadi kutoka kwa Mungu maana ni mama mwenye Tabia njema na mwenye hofu ya Mungu sana,sisi ni waislamu....

Mke huyu hakimpiti kipindi cha swala hata kimoja(zile sala 5 tunazosali waislamu nadhani wengi mnazijua),sala zake anasalia nyumbani kama dini inavyotutaka kwamba mwanamke asalie nyumbani unless km ana dharura au jambo lolote linalomfanya asiwepo nyumbani basi anaweza kusalia msikitini,...

Nikiwa kazini yy ndio anaenipigia cm na Kunikumbusha kuwa huu ni muda wa swala kwa hio nijitahidi sana niswali, nami wakati mwingine huwa nasali na ninapobanwa na mambo mengi najikuta muda wa swala umepita bila kuswali....kifupi mke huyu ni MTU amelelewa ktk familia iliyoshiba dini sana na hadi namuoa hakuwahi kunipa tunda japo niliwahi kumshawishi aje kwangu ninapoishi kuja Kunisalimia kipindi tukiwa wachumba ila yy alikataa kabisa kufika akidai akifika huko tutapata vishawishi vya shetani na kuingia ktk dhambi ya zinaa.

Kwa kuwa ni binti mrembo basi ckutaka kumkosa nikajikuta tu navumilia hadi cku ya ndoa bila kula tunda,ckuwahi kumwambia MTU yyt kuwa nilivumilia na kuoa bila kuonjeshwa tunda maana nilihofia yule ninaemweleza ataniona fala kwa kununua mbuzi kwenye gunia kutokana na watu wengi kujiwekea utaratibu kuwa hawezi kuoa bila kuonja asali, mimi kwangu kwa kweli ilishindikana kabisa kabisa, hadi namuoa alikua na miaka 21 lakini cha ajabi nilimkuta akiwa hajaguswa na mwanaume, nilijawa na furaha ya ajabu kumuanza mke wangu Mimi mwenyewe.

Nikamuuliza aliwezaje kujilinda hadi umri huo?,Akajibu alishajiwekea nadhiri ya kumlindia heshima mume wake toka akiwa darasa LA 7,.akasema tulipokua wachumba ningemlazimisha sana kutoa penzi basi angeniacha maana angeona Nina tamaa ya penzi na sina nia ya kuoa, ila alinipenda maana ckuwahi kumuomba penzi ktk kipindi chote cha kujuana zaidi ya Kumwomba aje home kunisalimia nae akagoma kwa kuhofia kuwa akifika tu ataliwa hata kwa nguvu....kipindi hicho naoa nilikua nishapitia wasichana si chini ya 50 tangu kubalehe, nakumbuka shule ya msingi nilikula mmoja tukiwa darasa LA 7, sekondary hadi form four pale shuleni nilikula zaidi ya wanafunzi 12 wa vidato tofauti tofauti,...

Hawa nawakumbuka hadi majina mmoja baada ya mwingine, katika kipindi hicho hicho cha sekondari nilikula wanawake wengine ambao either hawakuwa wanafunzi kabisa na wengine walikuwa wanafunzi wa shule nyingine,hawa kwa kweli ckumbuki walikua wangapi,baadae nikaenda chuo ambapo nlisoma miaka 4 vyuo viwili tofauti,huko chuoni napo nilikua wengi sana tu hata idadi sijui,baadae nikaingia mitaani kwenye volunteering na ajira mdogo mdogo za temporary ambapo nilipata ujuzi zaidi na uzoefu zaidi wa kazi zangu,napo huko niliwapiga piga sana tu,na ndio kipindi nilichooa hapo nikiwa sina kazi ya maana kivile,ndio maana nikasema hadi naoa nilishapiga kama 50+ kwa makadirio ya haraka haraka ila inawezekana wakazidi zaidi.

Nilipomkuta mke wangu ni bikra hajachezewa nilifurahi sana, nikajisemea kimoyo moyo jmn na Mimi nitulie sasa, maana km mke nishampata, nisimkere binti wa watu. (hizi nyege hizi jamani nyie acheni tu, kwani niliweza sasa kuacha?)
Nikajitahidi sana kuvunja mahusiano na wanawake wote baada ya kuoa nikijipa imani kuwa nitakuwa muaminifu kwa mke wangu,.
Miaka miwili tangu nioe nikiwa na mtoto wangu tayari binti mzuri kama mama yake nikafanikiwa kupata ajira kwenye kampuni hiyo niliyokwisha ieleza hapo mwanzo.

Miezi ikaisha nikiendelea na kazi na baada ya kuanza kupata marupurupu maisha yakawa bora zaidi,nikanunua hadi kiwanja na kuanza ujenzi hatua za mwanzo. Baadae majaribu ya ngono yakaanzia pale pale ofisini, Nikiwa kijana mtanashati secretary wa bosi wangu akaanza kuonyesha kila dalili ya kunitaka kimapenzi,alikua binti mdogo na mrembo sana jina lake lake naomba nilihifadhi maana anaweza akawepo humu. Binti huyu mrembo kwa haraka haraka ukimtizama utasema hana mume na Mimi ckutaka sana kumuuliza kama ameolewa wala kuuliza kama ana mtoto zaidi nikijiaminisha kuwa hajaolewa.

Basi mwanzoni nilijifanya mgumu kumwelewa nae akawa hakati tamaa,asbh na mapema nikiingia ofcn yy anakuja Kunisalimia na kuniletea vizawadi vya kimtego mtego,Mara Leo aniletee pipi ya lolipop Mara kesho anileletee kiua Mara SAA ya mkononi,basi tu ili mradi kuonyesha ananijali na Kunithamini japo alikua anajua kuwa Nina mke,cku moja asbh akaniletea zawadi eti ya boksa mpya 3 na kuniambia eti hizo ni size yangu na ameninunulia km zawadi,nikagoma kuzipokea lkn akaniomba sana kuwa nizipokee maana ameshazinunua na nisipopokea atazipeleka wapi?.

Mpaka wakati huo nikajiaminisha kuwa hakuolewa na kwa ujinga wangu ckumuuliza ,...nikazipokea.
Rafiki yangu mmoja pale oficn akaugundua mchezo kwa ukaribu nilokua nao kwa binti yule nae akawa ananikazania kuwa Nile mzigo.
Kuna cku tulikua tunatoka kwenda kwenye kazi za nje ya ofisi kama timu Mimi nikiwa kiongozi maana wakati huo nlishapewa ukuu wa kitengo changu.bac binti alinifata na kuniomba nikirudi ofcn nimletee zawadi,nikamuuliza zawadi gani akanambia pipi ya lollipop, na nikaleta kweli.

Weekend ilofuata nikamuomba tuonane mahali flan ambapo palikua restaurant ambayo pia INA lodge kwa nyuma,Nilishaamua kwamba liwalo na liwe,kwa uroho wangu nikaamua sasa namsaliti mke wangu kwa Mara ya kwanza tangu nifunge nae ndoa.jumapili ikafika SAA Tisa mchana nikitangulia kufika mimi kisha nikamtext kuwa nakusubiri nae akajibu yuko njiani anakuja,binti akafika SAA Tisa na nusu akiwa kapendeza hatari kwa nguo zake za heshima,alipofika tu nilipokaa akanibusu shavuni huku akiniomba radhi kwa kuchelewa.Alinikuta nimeagiza juice ya ukwaju nae akaomba kama hiyo.

Pamoja na umalaya wangu wote wa cku za nyuma lkn nilijikuta nakosa mambo ya kuongea na kubaki kimya Mara nyingi au kuongelea mambo ya kazini,.binti alielewa mchezo nae akawa km ndio muongeaji mkuu huku akinitaka niwe huru maana yy alitamani sana kuwa nami mahali kama pale toka zamani sana. Baadae nikajiona fala,nikatest mitambo na kumwambia kuwa cjisikii amani kukaa nae pale maana anaweza kutokea MTU na Kuniona nipo nae pale,nikamwomba twende mahali private ambapo tutakuwa peke yetu bila kuonekana ndio tuzungumze,nae bila hiyana akakubali.

Nikaenda reception kuulizia room nikapata chumba safi kwa 25k,nikalipa then nikatangulia ndani kisha nikamtext njoo chumba namba 9 nipo ndani(ckutaka tuongozane nae),akajibu nakuja mume. Alipofika ndani bila hata ajizi akafunga mlango kwa ufunguo na Kunifata nilipo akanikumbatia kwa nguvu kisha akasema,..." my love nilikusubiri kwa kipindi kirefu sana ili unilete sehemu kama hii,naomba penzi lako maana nakupenda sana,Mara akaudaka mdomo wangu na kuanza kunipa denda,nikaona kanirahisishia maana ckua na jeuri ya kumuanza,mtoto alinipa penzi LA hatari,mtoto mtamu,mtoto wa moto hatari,nilienda raund 2 za ukweli nae akanisifia kuwa nimemkojolesha kwa Mara ya kwanza tokea miaka 2 ipite hajawahi kojoleshwa,hapo ndio akavunja ukimya kwa kunambia kuwa mume wake hajawahi mkojolesha,eti jamaa akipampu Mara NNE au tano kashamwaga,na akimwaga harudii tena,analala usingizi mzito huku anakoroma na kumwacha bibie na hamu zake,akashangaa mm nimepiga mwanzo mwisho hadi anakojoa yy kwanza kisha Mimi,.

Kiukweli nilishtuka kutajiwa neno mume,nikaogopa sana,pa1 na kulala na wanawake kibao huko nyuma ckuwahi kabisa kuwaza kuwa cku moja ntakuja kulala na mke wa MTU,nikamuuliza kuwa mbona hakunambia kama ameolewa?,..akajibu kirahisi tu kuwa alidhani ninajua,eti mbona watu wote wanajua kaolewa na ana mtoto mmoja wa miaka mitatu?,..akanitoa hofu kuwa nisiwe na wasiwasi maana mume wake ana duka lake mjini na hawezi jua maana anarudi home SAA NNE au tano ucku,akaniaminisha kwa maneno kibao kuwa tutakua makini na jamaa hatojua,

Ukweli niliogapa sana na japo nilipanga kurudia round ya mwisho lkn mzigo ukagoma hata kuamka tena kwa woga,nikamwambia tuondoke,tukavaa na kuondoka,baadae nikawaza mbona hata vimatiti vyake ni vidogo na havionyeshi kama kashanyonyesha?,nikakosa jibu.nilifika home SAA moja kasoro na Kumkuta wife anasali swala ya magharibi, nikawahi bafuni chap chap kuoga kisha na Mimi nikasali na kuungana na wife sebuleni,baadae kidogo cm yangu ikaingiza msg WhatsApp, kufungua ni yeye,akanambia VP uko poa?,...ckuijibu maana nikaona nikijibu itaendeleza charting kisha tushikwe,...................
..................,,
...........

Endelea zaidi

Duuh asee kali sana
 
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.

Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.

Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
😂😂😂😂😂Dah
 
Kiukweli wake za watu wanaliwa sana tena sana ....
narudia tena wake za watu wepesi kulika kiulaini na wanaliwa mnooooo na masela kitaa.
Jamani eee sijui kama mnanielewa yaani now days mbususu za wake za watu zinachakatwa vilivyo.
Kama umeoa shukuru sana mke wako hujamkamata ila amini nawaambia wanawake hawa ni wanjanja mno kutuzidi sisi wanaume!
Hahaha
 
Aiseee wake za watu imekua mada sana jf. Hivi hamna wake za watu humu nao watoe shuhuda za kusaliti ndoa zao tuwe na uhakika.
Maana wanaotoa shuhuda ni wanaume tu kua wamewala, mko wapi waliwa mtubitishe iwe 50/50 jama 😁😁
Wanq aibu kutoa ushuhuda mkuu
 
Storytelling Jct like insider man,sema mzee baba inachekesha sana hii simulizi yako
 
Back
Top Bottom