Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

Hongera kwa kusimama tena mkuu, waswahili huwa wana msemo wao kuwa kuteleza sio kuanguka! Hakika umepambana
 
Kwani nyinyi si munajifanya wajanja?

Halafu hao wanaotembea nao ni akina nani? Nyinyi wanaume waume za watu vile vile. Ngoma droo.
 
Kwani nyinyi si munajifanya wajanja?

Halafu hao wanaotembea nao ni akina nani? Nyinyi wanaume waume za watu vile vile. Ngoma droo.
Unakunywa kinywagi ganiiii


Kifupi ni hiviiiii...wanaume wa ss hivi( najua toka zamani pia wanafanya)
Nao ni vitombi.mnoooooooo hawatulii na mmoja

So wanavyoona wananwake wanajiachia na sisi ndivyo tunavyowaona wao wakijiachia



Hakuna wa kumcheka mwenzie
 
Hakuna mwanaume anaweza kuwa na mwanamke mmoja,haitawezekana I lush as Hindi kana.ukiizowea k inakuwa ya kawaida,ladha inaisha has a kma unlala nayo daily..
Kwahiyo nanyi ni vitombwiii?
 
Duuh asee kali sana
 
Nenda kaendelee na majukumu yako hamna mwendelezo hapa.

Huyu mchizi alimdanganya mama yake mzazi ili kulinda uzinzi wake, sasa wewe unayesubiri ahadi ya kuwekewa mwendelezo ni nani hata usidanganywe.

Imetoka hiyo [emoji4][emoji4][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Dah
 
Hahaha
 
Aiseee wake za watu imekua mada sana jf. Hivi hamna wake za watu humu nao watoe shuhuda za kusaliti ndoa zao tuwe na uhakika.
Maana wanaotoa shuhuda ni wanaume tu kua wamewala, mko wapi waliwa mtubitishe iwe 50/50 jama 😁😁
Wanq aibu kutoa ushuhuda mkuu
 
Storytelling Jct like insider man,sema mzee baba inachekesha sana hii simulizi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…