Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Mahusiano ya hivi kitaalamu yanaitwaje?

Nakupa zoezi dogo sana...Tembelea huyo mtoto wake shule, jifanye wewe ni rafiki wa babake then fanya kama mwanamme utapata ukweli wote wa lini babake ameonana nae, vp anamkubali nani zaidi baba au mama..
Tofauti na hapo kuna hatari inakuja mbele yako, wanaomwona huyo sister wako wengi sana au unadhani kitu gani anakificha hadi bodabada amwone kuwa ni wife materials?
 
Hana shida, ameniomba tu nimpe muda aniamini zaidi.

Ofcourse kwa namna anavyonishirikisha kuhusu personal life yake, nina kila sababu ya kuamini kwamba ananipenda, swali ni je, atanipenda kwa muda gani? [emoji2]

Jambo pekee asilopenda kulizungumzia ni mahusiano yake yaliyotangulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa unatakiwa ucheze kete vizuri mkuu
 
Nakupa zoezi dogo sana...Tembelea huyo mtoto wake shule, jifanye wewe ni rafiki wa babake then fanya kama mwanamme utapata ukweli wote wa lini babake ameonana nae, vp anamkubali nani zaidi baba au mama..
Tofauti na hapo kuna hatari inakuja mbele yako, wanaomwona huyo sister wako wengi sana au unadhani kitu gani anakificha hadi bodabada amwone kuwa ni wife materials?
Aisee [emoji119]

Nimekuelewa sana mkuu. Una hoja.

Ngoja nifanye kama ulivyoshauri halafu nitakuja na mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana shida, ameniomba tu nimpe muda aniamini zaidi.

Ofcourse kwa namna anavyonishirikisha kuhusu personal life yake, nina kila sababu ya kuamini kwamba ananipenda, swali ni je, atanipenda kwa muda gani? [emoji2]

Jambo pekee asilopenda kulizungumzia ni mahusiano yake yaliyotangulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nilipobold….. sidhani kama ni jambo la kukutia wasiwasi… sababu mahusiano lazima yaanzie mahali, na hatujui yataelekea wapi….

Kikubwa kama umempenda na we mpambanie. Usikae tu kinyonge….wanawake tunapenda kupendwa na kuongozwa. Tusipoongozwa tunakinai haraka.

Man up!
 
Mkuu, umenyumbulisha kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Kusema ukweli, huyu binti ananiheshimu sana. Yani kuna wakati huwa navunga nimechukia, mara zote huwa anashuka na kuniomba msamaha, tena kwa upole mno, no arrogance at all.

Nimewahi kumtania mara kadhaa kuhusu kuishi nae, hakukataa. Alichosema nimpe muda aendelee kuniamini.

Likizo ya juzi nilibahatika kukutana na mwanae, akanitambulisha. Ila kuna kitu kilinipa moyo, manake alinielezea tabia za huyo mtoto wake wa kiume kwamba anafanya vizuri sana darasani ila he is too demanding, yani akitaka kitu anataka hapohapo, sasa yeye anakereka anasema hawezi kumlea mtoto hivyo hata kama anacho, kwasababu akimzoesha halafu ikatokea siku kakosa mtoto hatamuelewa. Nikamuahidi nitazungumza na dogo, ilikuwa too late coz dogo alisharudi Shule.

Kwa kifupi ni kama ananielewa ingawa simuamini sana. Pia ameniomba nimsindikize kwa mwanae siku ya visiting day, anataka nikaongee nae siku hiyo kama mwanaume mwenzangu.

She is cooperative, understanding and humble. Sema ni vile tu moyo wa mtu ni kichaka mkuu [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ujue humu unaongea na watu tofauti tofauti. Wamo vijana,wastaarabu na wah*****.

Kama upo serious uje inbox nikupe akili
 
Hapo nilipobold….. sidhani kama ni jambo la kukutia wasiwasi… sababu mahusiano lazima yaanzie mahali, na hatujui yataelekea wapi….

Kikubwa kama umempenda na we mpambanie. Usikae tu kinyonge….wanawake tunapenda kupendwa na kuongozwa. Tusipoongozwa tunakinai haraka.

Man up!
Nashukuru kwa kunitia moyo mkuu.

Hapo kwenye wanawake kupenda kuongozwa, I second you. Kuna siku aliniambia kinachomfanya anipende zaidi ni kwasababu mimi ni 'problem(s) solver', yaani nyakati zote akiwa hana majibu ya changamoto zake akani-consult, huwa namshauri vizuri kwasababu ushauri ninaompaga huwa unamletea matokeo chanya, nadhani hii ni sawa na kusema namuongoza vizuri.

Hayo mengine uliyonishauri nitayafanyia kazi mkuu. Asante.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume unataka nn sasa ukiombwa pesa ulalame ukipewa pesa ww unalalama sa unataka nn tumia nafasi yako na mda wako ulonao kwa sasa utajuta ukiipoteza nafas iyo
 
We kwakuwa unapata papuchi, gonga tuliza mshono, unataka nini sasa zaidi? Uombwe pesa ulalame anakudanga, haridhiki wakati pesa ipo.
Kwenye mapenzi cha kwanza mbususu mengine ni nyongeza tu.

Miaka 28 mtoto form one.. watoto wengi form one ni miaka 14,15 hiv ina maana huyo binti aliolewa na miaka 13,14 hivi?🤣
Labda ni manzi mwarabu Mkuu
 
Wengine mna bahati sana, jitahidi kuitumia vizuri. Kumbuka kuna wanawake wengine hawana tamaa ya pesa ya mtu.

Jaribu kumuuliza kama alishapewa talaka na huyo mumewe.
 
Wengine mna bahati sana, jitahidi kuitumia vizuri. Kumbuka kuna wanawake wengine hawana tamaa ya pesa ya mtu.

Jaribu kumuuliza kama alishapewa talaka na huyo mumewe.
Talaka hawajapeana mkuu. Naweza kusema baada ya kugombana wakatengana. Hawakupeana talaka.

Sijamkatia tamaa bado. Muda utaamua mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom